Naomba kujuzwa suluhisho la Uvimbe kwenye Ovary

Japo kuna uwezekano ikawa ni Cyst tu (Ovarian) na Sio Fibroid..
 
Duuh we kaka!
Mara ya mwisho nafanya surgery nilitolewa uvimbe kwenye mayai, na sasa umerudi kwenye mayai, fibroids tumbo linauma katikati chini, rafiki yangu alikua nayo, ovarian cyst ni upande mmoja ndio tumbo linauma
Ovarian Cyst sio lazima itokee upande mmoja .

Ovarian cyst nayo inachangiwa na vitu vingi ikiwemo matibabu ya utasa (matumizi ya muda marefu ya clomiphene kwa ajili ya ovulation) . Nawewe umesema huna mtoto ndio maana huko juu nilikuuliza swala la wewe kutokuwa na mtoto ni kwamba huna uwezo wa kuzaa au unatumia kondomu wakati unafanya mapenzi.

Vitu vingine nikakwambia kuhusu hormonal imbalance mf hypothyroidism nayo inachochea ovarian cyst.

Bado hapo hujaongelea suala la matibabu ya breast cancer zile dawa zake nazo zinachochea hormonal imbalance ambayo inapelekea kupata irregular periods unaishia kupata ovarian cyst.

Kitu kingine cha ziada early menarche nayo ni risk factor ya kupata hiyo ovarian cyst.
 
Sina mtoto kwasababu sijaamua kuzaa bado hivyo sijajikita kupata mtoto, sijawahi kutibiwa breast cancer, hormone Imbalance sijalima
Naona hapo nimejibu vzr
 
Sina mtoto kwasababu sijaamua kuzaa bado hivyo sijajikita kupata mtoto, sijawahi kutibiwa breast cancer, hormone Imbalance sijalima
Naona hapo nimejibu vzr
Nenda hospitali wakakufanyie hormonal panel test ili wa assess level za hormone kama zipo sawa.

Hata hizo irregular menses unazozipata zinaweza zinachangiwa pia na hormonal imbalance.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…