SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Yani kuna comments za watu ukizisoma unaona kabisa anabeba kichwa kama kifuniko cha shingo. Msamehe tu bureYaani mechi ya juzi na TP Mazembe? Yaani viungo wa simba waliwafunika viungo wa TP Mazembe? 😀 😀 😀
Pole sana
Naona unamlinganisha Defensive midfielder na Attacking midfielder kwa kigezo cha assist na magoli.
Hivi unajua hata position wanazocheza uwanjani?
Analinganisha defensive midfielder na Attacking Midfielder. Alafu anaandika weee kama anamwaga mambo ya maana vile...[emoji23][emoji23] ... Huyu atakuja kufananisha Manula na Mayele...Pole sana
Naona unamlinganisha Defensive midfielder na Attacking midfielder kwa kigezo cha assist na magoli.
Hivi unajua hata position wanazocheza uwanjani?
Mngelijua wakina nani?Mngelijua hilo mngethubutu kusema aucho kamzidi chama, bwalya, mzamiru nk?
Yaani sometimes unajikuta unabishana na mtu ambaye hajui lolote ila anabisha tu ilimradiAnalinganisha defensive midfielder na Attacking Midfielder. Alafu anaandika weee kama anamwaga mambo ya maana vile...[emoji23][emoji23] ... Huyu atakuja kufananisha Manula na Mayele...
kwasababu sijakubaliana na mtazamo wako?
Wewe jamaa unapenda timu lakini sio mpira,so utabishana mpaka ufe kama kadi yenu inavyosema huko kolokwinyoUnazungumzia aucho egypt kua alikua kwenye mgogoro kua ndio sababu ya kutokuwekwa hata kwenye squad as if kwamba angekuwepo angeleta impact, wakati katika hizo mechi tatu alizocheza na timu yake ya taifa kwa dakika zote 90 hakuna goli wala assist aliyopata zaidi ya yellow card?
Yani kutoka 2013-2021 mshkaji ana assit 2, halafu bado mnamuita mchezaji si utani huu?
AUCHO ni mutu na nusu asee, binafsi nilishangaa kuachwa aende yanga
Mo ni kituko.
Wewe jamaa unapenda timu lakini sio mpira,so utabishana mpaka ufe kama kadi yenu inavyosema huko kolokwinyo
Anakukuna wapo mkuu na kwa kifaa gani !!Unahitaji Chama, Bwalya, Mkude, Muzamiru, Lwanga na hata Ndemla ili angalau tu kuufikia uwezo mkubwa alionao Kiungo ninayempenda na namkubali wa Yanga SC Khalid Aucho.
Naomba Yanga SC ikirejea Dar es Salaam japo Mimi Mightier ni mwana Simba SC lia lia lakini Furaha yangu Kubwa ni kupiga tu Picha nae hata kama akiwa amevalia Jezi za Yanga SC sitojali.
Ana kila Kitu ambacho Kiungo makini na wa Kimataifa anatakiwa awe nacho na si hawa Wengine ambao Sifa yao Kubwa ni Kucheza tu Mirafu ya Kipumbavu na kupatapata Mikadi tu ya Njano na Nyekundu.
Shikamoo Khalid Aucho unanikuna sana.
Ni kweli mtu azuiliwi kutoa maoni yake au kuamini kile anachokiamini hata kikiwa upupu mtupuNa wewe utopolo hujioni,Kila mtu ana haki ya kutoa maoni yake, wewe ulitakaje sasa?
Kwa hiyo umeanza kumuona akiwa Yanga ... Bora nafaka ukiitwanga utaitenganisha na makapi yake ..ila ni ngumu kukutenganisha we we na ujinga wako hata tukutwange vipi ..mfano unamtoa nani pale simba ili acheze huyo. hebu niambie huyo aucho anacheza na timu zipi pinzani ili umsfie. mfano luanga, mkude, mzamiru wanapambana na viungo wa al ahly, mazembe, kaizer. sasa aucho anacheza na viungo wa DTB, FRIENDS RANGERS, KAGERA ALAFU UNASIFU
Wale wa simba nao hawalipwi si ndio .. FICHA UJINGA WAKO KIDOGO KUMBAAAFU.unakabana na viungo ambao hata mshahara hawapati alafu unasifia.
Ila Waliokuja simba ni wakali !!!?? MNA upuuzi sana makoloAucho kacheza level gani champions league. Ni wakawaida sana shida media za bongo hovyoo zikiamua kumpamba mchezaji.
Mkumbuke mdogo wake Dany Serenkuma alivyosifiwa simba na aliupiga hasa baadae aliondoka kimya kimya. Hata Shiboub. Kiungo mkali haji bongo anasonga ulaya acheni uzuzuuu
Umewaza kama mimi mkuu, huyu ni al rounder [emoji23].Wewe ndo yule yule al rounder nk!! Ni utopolo lia lia!! Hujawahi kuwa simba!!
Msalimie GentamycinUnahitaji Chama, Bwalya, Mkude, Muzamiru, Lwanga na hata Ndemla ili angalau tu kuufikia uwezo mkubwa alionao Kiungo ninayempenda na namkubali wa Yanga SC Khalid Aucho.
Naomba Yanga SC ikirejea Dar es Salaam japo Mimi Mightier ni mwana Simba SC lia lia lakini Furaha yangu Kubwa ni kupiga tu Picha nae hata kama akiwa amevalia Jezi za Yanga SC sitojali.
Ana kila Kitu ambacho Kiungo makini na wa Kimataifa anatakiwa awe nacho na si hawa Wengine ambao Sifa yao Kubwa ni Kucheza tu Mirafu ya Kipumbavu na kupatapata Mikadi tu ya Njano na Nyekundu.
Shikamoo Khalid Aucho unanikuna sana.
Mzee hizo ni data sio maneno yangu nimejitungia, kama kweli unapenda soka ulipaswa uje na data za ku disprove, hivyo ndivyo mambo hufanyikaWewe jamaa unapenda timu lakini sio mpira,so utabishana mpaka ufe kama kadi yenu inavyosema huko kolokwinyo
huyu wengi wamekua wakimhusisha na genta kwa aina ya uandishhi na hata panic za kijinga, yani kwenye uzi wake ukitofautiana naye kimtazamo unakua adui yakeHuyu mleta mada huwa ana tatizo kubwa la kisaikolojia,huwezi kuwa unatukana ovyo watu usiowajua,ni kama huwa analeta frustration zake za maisha hapa JF.Msamehe bure