Naomba kumjua tu Kiongozi wa Simba SC aliyeshindwa Kukamilisha Dili la Khalid Aucho kutua Msimbazi na Yanga SC wakamuwahi na kutua Kwao rasmi

Naomba kumjua tu Kiongozi wa Simba SC aliyeshindwa Kukamilisha Dili la Khalid Aucho kutua Msimbazi na Yanga SC wakamuwahi na kutua Kwao rasmi

Aucho kacheza level gani champions league. Ni wakawaida sana shida media za bongo hovyoo zikiamua kumpamba mchezaji.
Mkumbuke mdogo wake Dany Serenkuma alivyosifiwa simba na aliupiga hasa baadae aliondoka kimya kimya. Hata Shiboub. Kiungo mkali haji bongo anasonga ulaya acheni uzuzuuu
Shiboub kufanyaje? Teh teh
 
Mkude na Aucho ni mbingu na Ardhi, mkude afikii ata uwezo wa chuji achana na Aucho. Khalid Aucho ana CAPS 50 za nationational team ya Uganda ambayo kwenye Ranks za Fiffa Uganda Ina soma 74-76 kwa miaka Mingi achana na sisi wa 130-140.
Aucho amecheza Ligi Uganda, Kenya, South Africa, Serbia, India, Missi n.k. ivi kweli uta mfananisha na mkude Ambaye National Team hafikishi CAPS 20 tangu aanze kucheza Soka.
Mkude ni Kiungo wa ulinzi ambaye hanasifa ya kuruka juu, ku press opponent, kunyang'anya mipira, kupiga penetration pass mda wote aki kabwa pass ya Kwanza inarudishwa nyuma.
Ndio maana anaweza akaitwa timu ya taifa na anaishia bench.
Mkuu Aucho kule Red Star Belgrade hakucheza hata mechi moja.
 
anacheza na viungo gani, usimsifie anaekimbia muangalie na anayemkimbiza pia. viungo wa simba wamecheza na viungo bora kabisa Afrika wakiwemo wale viungo wa mabingwa mara nyingi Afrika yaani al ahly na mabingwa wa pili Afrika yaani tp mazembe na bado wapo kimya. aucho amecheza na viungo gani wa maana. mbona swali rahisi sana
Akikujibu nitag
 
Wazee wa return of champion's walijua mpira ni maneno sema manara anawafanya watu mazuzu sana.
 
Back
Top Bottom