Hii nchi ngumu sana kwakweli ina maana mkristu ana kauspesho gani kushindwa kuishi mafia?yani tunakeraga sie makafiri basi tuMbona ni hatari,,, Basi hii sehemu sio nzuri ya kwa raia wangeni kuishi, na kwa mkristu ataishije
Ndugu yangu makafiri sisi tuache tu kwa kujifaharisha atujambo.kumbe ndgu bado hauja elimika? karne hii na udini na ukabila?
Kanisa lipo la katoliki mbonaImeisha iyo, na lazima uwe muislamu? Na kwenye Ramadhani wakristo wa uko wanaishije
Ukiwa na mawazo hayo hutatusuaHujaona comments za hapo juu watu wameogopesha eti kwenye Ramadhani Kama we sio muislamu utajuta
Kuna jamii unaweza ukaishi kwa hapa Tanzania na kuviepuka? SidhaniHivyo vipo bali udini uswahili na majungu pia vipo sana
Hii nchi ngumu sana kwakweli ina maana mkristu ana kauspesho gani kushindwa kuishi mafia?yani tunakeraga sie makafiri basi tu
Ndugu yangu makafiri sisi tuache tu kwa kujifaharisha atujambo.
Basi washambaWengi huwaonea wivu na kuwanyanyasa watumishi ambao sio wenyeji..na kunza kulialia kuwa wamekuja kuwatawala na kuchukua kazi zao..wakati jamii nzima wasomi hawafiki hata 10.
Akili finyu sana..wanajua kuozesha na kucheza watoto nothing more.
#MaendeleoHayanaChama
Ukweli ni kwamba Mafia ki Elimu IPO nyuma, wilaya nzima ina shule 8 za sekondarijamii nzima wasomi hawafiki kumi... maajabu haya...! mkuu historia ya mafia waielewa kweli mkuu? wapo wengi sana serikalini na katika mashirika kwa mfano WFP, FAO... tuache hawa wanao fahamika na wengi kama Balozi Dr. Ramadhani Kitwana...
Wakuhesabu ndio mana mnafahamiana...licha ya hivyo wanatija gani kwa ndugu zao hapo kisiwani..penye njaa na umasikini.jamii nzima wasomi hawafiki kumi... maajabu haya...! mkuu historia ya mafia waielewa kweli mkuu? wapo wengi sana serikalini na katika mashirika kwa mfano WFP, FAO... tuache hawa wanao fahamika na wengi kama Balozi Dr. Ramadhani Kitwana...
We ndo yule mke wa Diwani?Dada una maswali ya kitoto sana.
Yaani unajua kuna JF lakini hujui kuhusu google map wala google as a search engine.
Eti unauliza kama mtu anaenda kazini anapanda boti?
Hivi walio Unguja wakiwa wanaenda kazini wanapanda boti?
Eti kuna mitandao ya simu? Hivi Mafia unavyodhani ni kisiwa kama kijiji? Ni Wilaya nzima ile ujue.
Sijui elimu uliyosoma miaka mingi imekusaidia nini? Ufanye mambo 2:
1. Ukadai ada zako shuleni kwa sababu hujaelimika.
2. Umuombe radhi baba/mama yako kwa kupoteza pesa zao kwa sababu shule wamekufunza vitu vizuri na uligoma kabisa kuelemika
Pathetic.
Nimekaa sana Mafia sijawahi kukorofishana na mwenyeji hata mmoja, niliishi vizuri sana, inategemea na mwenendo wa mtu lakini in general people are humbleMbona watu wengine wananitisha eti Kama ni mgeni huwezi kuishi
wilaya nzima ina kata ngapi? ndio maana nime kwambia mafia unaimaliza kwa siku moja... hapo haujelewa ndugu? wilaya gani unaweza maliza kwa siku huku bara?Ukweli ni kwamba Mafia ki Elimu IPO nyuma, wilaya nzima ina shule 8 za sekondari
idadi ya wamafia ni sawa na wasukuma au masai? ukija kuweka rates wasio soma na walio soma hata ktk kabila lako au eneo unalotoka utaelewa...Wakuhesabu ndio mana mnafahamiana...licha ya hivyo wanatija gani kwa ndugu zao hapo kisiwani..penye njaa na umasikini.
#MaendeleoHayanaChama
Ya wapi mzee, mbele au nyumaMafia Raha. Bikra za kumwaga