Naomba kupewa majina ya wapigaji Invoice kutoka USD 37 milioni mpaka USD 86 milioni

Naomba kupewa majina ya wapigaji Invoice kutoka USD 37 milioni mpaka USD 86 milioni

badison

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2015
Posts
1,450
Reaction score
2,761
Hizo ni pesa nyingi sana zinaweza kumjengea kila Mtanzania mkazi wa Dar es Salaam nyumba ya vyumba vitatu iweje watu wachache mgawane mgao mkubwa hivyo?

Hapa watu wa kuwahusisha ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Mwanasheria Mkuu wa serikali, Waziri wa Fedha pamoja na baadhi ya maofisa wa Ikulu.

Tumsaidie Mheshimiwa Rais manake huwezi jua kuna watu wanakusanya pesa za kuhonga uchaguzi mkuu ujao TISS mko wapi?
 
Hizo ni pesa nyingi sana zinaweza kumjengea kila mtanzania mkazi wa dar es salaam nyumba ya vyumba vitatu iweje watu wachache mgawane mgao mkubwa hivyo?

Hapa watu wa kuwahusisha ni katibu mkuu wizara ya fedha, mwanasheria Mkuu wa serikali, waziri wa fedha pamoja na baadhi ya maofisa wa Ikulu.
Tumsaidie Mheshimiwa Rais manake huwezi jua kuna watu wanakusanya pesa za kuhonga uchaguzi mkuu ujao TISS mko wapi?
Tiss ipo kwenye usingizi wa pono, na hizi porous borders zetu hawazioni, hayo majina upewe na nani?,why huyatafuti mwenyewe, why utegemee watu wengine wakusaidie kufanya hiyo push back yako?,pigana mwenyewe ukiona haki yako inazimwa
 
Subiri ripoti itinge Bungeni, nadhani wiki ijayo itawasilishwa; majina/Idara/taasisi zote za Serikali na watendaji wake utawasikia wakitajwa.

Ila mijitu mingine inataamaa sana, yaani unakuta tayari anamaisha mazuri lakini bado tamaa ya kukwapua anayo!!!!

Katika maazimio ya Bunge nawaomba wabunge watunge Sheria ya kuwanyonga wale wanao iba fedha za umma au kusababisha hasara kwa uzembe.
 
Kwa vile mamlaka ya uteuzi inashindwa kuwawajibisha ni vema watutajie majina yao na anuani zao ili sisi walipa tozo tuwashughulikie kama tunavyowashughulikia vibaka wa simu na kuku.

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
mmmmmm vibaka wa simu, always ushujaa kwenye soft targets zenye soft landing!,shoga anakwenda 30yrs behind bar(tako lake mwenyewe kaamua kulitumia )mwizi wa more than 30M usd (ndege ya mizigo)yupo Masaki peninsula anakunywa Double Black JW
 
Hizo ni pesa nyingi sana zinaweza kumjengea kila mtanzania mkazi wa dar es salaam nyumba ya vyumba vitatu iweje watu wachache mgawane mgao mkubwa hivyo?

Hapa watu wa kuwahusisha ni katibu mkuu wizara ya fedha, mwanasheria Mkuu wa serikali, waziri wa fedha pamoja na baadhi ya maofisa wa Ikulu.
Tumsaidie Mheshimiwa Rais manake huwezi jua kuna watu wanakusanya pesa za kuhonga uchaguzi mkuu ujao TISS mko wapi?
Haha unaweza kuta wameilipa, ila wanataka tuone tofauti
 
Hizo ni pesa nyingi sana zinaweza kumjengea kila mtanzania mkazi wa dar es salaam nyumba ya vyumba vitatu iweje watu wachache mgawane mgao mkubwa hivyo?

Hapa watu wa kuwahusisha ni katibu mkuu wizara ya fedha, mwanasheria Mkuu wa serikali, waziri wa fedha pamoja na baadhi ya maofisa wa Ikulu.
Tumsaidie Mheshimiwa Rais manake huwezi jua kuna watu wanakusanya pesa za kuhonga uchaguzi mkuu ujao TISS mko wapi?
Ni kweli mkuu hili jambo lisiishie hivi hivi wah. Wabunge Wakomae nalo, lazima wajulikane ili iwe fundisho huo ni usaliti wa hali ya juu,mambo ya Spika kusema kuwa hilo halipo kwenye ripoti ya cag,aache tu lijadiliwe kwani Mh.Rais alilitoa hadharani alikuwa Ana maana yake kubwa labda anataka pia mrejesho,sometimes inaweza kuwa ni tactic ya mh.rais kupata ushauri au mawazo ya wananchi namna hilo jambo lishughulikiwe,so tusiconclude yeye kulitoa hadharani ilikuwa ni jambo la kimkakati pia yawezekana ni ili vyombo vya kiuchunguzi vinaposhughulikia visiingie uoga wowote maana ameshaonyesha msimamo wake ,kwasababu ni wazi pia jambo kama hili linagusa watu wazito wenye mamlaka makubwa.tumpongeze mh. Rais kulitolea kauli hili na mengine mengi hii inawapa confidence wanaoyashughulikia haya kama,Bunge Takukuru,Polisi,DPP, na Taasisi nyingine za kiuchunguzi na kinidhamu
 
Back
Top Bottom