Naomba kupewa majina ya wapigaji Invoice kutoka USD 37 milioni mpaka USD 86 milioni

Naomba kupewa majina ya wapigaji Invoice kutoka USD 37 milioni mpaka USD 86 milioni

Ni kweli mkuu hili jambo lisiishie hivi hivi wah. Wabunge Wakomae nalo, lazima wajulikane ili iwe fundisho huo ni usaliti wa hali ya juu,mambo ya Spika kusema kuwa hilo halipo kwenye ripoti ya cag,aache tu lijadiliwe kwani Mh.Rais alilitoa hadharani alikuwa Ana maana yake kubwa labda anataka pia mrejesho,sometimes inaweza kuwa ni tactic ya mh.rais kupata ushauri au mawazo ya wananchi namna hilo jambo lishughulikiwe,so tusiconclude yeye kulitoa hadharani ilikuwa ni jambo la kimkakati pia yawezekana ni ili vyombo vya kiuchunguzi vinaposhughulikia visiingie uoga wowote maana ameshaonyesha msimamo wake ,kwasababu ni wazi pia jambo kama hili linagusa watu wazito wenye mamlaka makubwa.tumpongeze mh. Rais kulitolea kauli hili na mengine mengi hii inawapa confidence wanaoyashughulikia haya kama,Bunge Takukuru,Polisi,DPP, na Taasisi nyingine za kiuchunguzi na kinidhamu
Huyo spika anabore utadhani tunaongelea ya Burundi, hana uzalendo kabsaa.
 
huwezi jua kuna watu wanakusanya pesa za kuhonga uchaguzi mkuu ujao


Hapo ndio umepiga kwenye mshono. Bila shaka mkuu analijua hilo naye bila shaka yumo ndani ya huo mpango kazi na ndio maana akatoa lugha laini ya "mtupishe", na sio "nawaondoa" 😀😀
 
Hizo ni pesa nyingi sana zinaweza kumjengea kila Mtanzania mkazi wa Dar es Salaam nyumba ya vyumba vitatu iweje watu wachache mgawane mgao mkubwa hivyo?

Hapa watu wa kuwahusisha ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Mwanasheria Mkuu wa serikali, Waziri wa Fedha pamoja na baadhi ya maofisa wa Ikulu.

Tumsaidie Mheshimiwa Rais manake huwezi jua kuna watu wanakusanya pesa za kuhonga uchaguzi mkuu ujao TISS mko wapi?

Hao watu ni mashujaa wajengewe sanamu. Pesa za serikali si zako hata wewe ukipata nafasi butua, ukijidai una huruma utakufa maskini wajuba hawana huruma. Cha muhimu uliza walipataje connection.
 
Hizo ni pesa nyingi sana zinaweza kumjengea kila Mtanzania mkazi wa Dar es Salaam nyumba ya vyumba vitatu iweje watu wachache mgawane mgao mkubwa hivyo?

Hapa watu wa kuwahusisha ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Mwanasheria Mkuu wa serikali, Waziri wa Fedha pamoja na baadhi ya maofisa wa Ikulu.

Tumsaidie Mheshimiwa Rais manake huwezi jua kuna watu wanakusanya pesa za kuhonga uchaguzi mkuu ujao TISS mko wapi?
Ukisikia mama anafungua nchi ndo mambo kama hayo mama hana ajizi ya kubania wezi .ukweli ni kuwa over invoice zimekuwa nyingi na huwa zinapitishwa hapo kwake .sema wezi walikosea baada ya kuongeza hela nyingi zaisdi wangeweka kama 10m USD isingekuwa shida na bi tuzo angeanguka tu saini kama kawaida yake
 
Hizo ni pesa nyingi sana zinaweza kumjengea kila Mtanzania mkazi wa Dar es Salaam nyumba ya vyumba vitatu iweje watu wachache mgawane mgao mkubwa hivyo?

Hapa watu wa kuwahusisha ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Mwanasheria Mkuu wa serikali, Waziri wa Fedha pamoja na baadhi ya maofisa wa Ikulu.

Tumsaidie Mheshimiwa Rais manake huwezi jua kuna watu wanakusanya pesa za kuhonga uchaguzi mkuu ujao TISS mko wapi?
Kamati kuu ya CCM
 
Subiri ripoti itinge Bungeni, nadhani wiki ijayo itawasilishwa; majina/Idara/taasisi zote za Serikali na watendaji wake utawasikia wakitajwa.

Ila mijitu mingine inataamaa sana, yaani unakuta tayari anamaisha mazuri lakini bado tamaa ya kukwapua anayo!!!!

Katika maazimio ya Bunge nawaomba wabunge watunge Sheria ya kuwanyonga wale wanao iba fedha za umma au kusababisha hasara kwa uzembe.
Huoni magari ya kifahari yalivyozida mabrabarani huku unakutu mtumishi wa serikali anadrive range 2023 kirahisi tu .
 
Hao watu ni mashujaa wajengewe sanamu. Pesa za serikali si zako hata wewe ukipata nafasi butua, ukijidai una huruma utakufa maskini wajuba hawana huruma. Cha muhimu uliza walipataje connection.
Samia ni dhaifu kuliko uzi wa baibui wezi sii kwamba wamekurupuka tu huwa wanapitisha tu hapo mara kwa mara na mama anasaini walichokosea ni kuweka invoice kubwa zaidi wangeweka labda 10b usd
 
ukipata upenyo wa kupiga piga haswa...OVER

Karibuni chato.
 
Back
Top Bottom