Naomba kupewa majina ya wapigaji Invoice kutoka USD 37 milioni mpaka USD 86 milioni

Huyo spika anabore utadhani tunaongelea ya Burundi, hana uzalendo kabsaa.
 
huwezi jua kuna watu wanakusanya pesa za kuhonga uchaguzi mkuu ujao


Hapo ndio umepiga kwenye mshono. Bila shaka mkuu analijua hilo naye bila shaka yumo ndani ya huo mpango kazi na ndio maana akatoa lugha laini ya "mtupishe", na sio "nawaondoa" 😀😀
 

Hao watu ni mashujaa wajengewe sanamu. Pesa za serikali si zako hata wewe ukipata nafasi butua, ukijidai una huruma utakufa maskini wajuba hawana huruma. Cha muhimu uliza walipataje connection.
 
Ukisikia mama anafungua nchi ndo mambo kama hayo mama hana ajizi ya kubania wezi .ukweli ni kuwa over invoice zimekuwa nyingi na huwa zinapitishwa hapo kwake .sema wezi walikosea baada ya kuongeza hela nyingi zaisdi wangeweka kama 10m USD isingekuwa shida na bi tuzo angeanguka tu saini kama kawaida yake
 
Kamati kuu ya CCM
 
Huoni magari ya kifahari yalivyozida mabrabarani huku unakutu mtumishi wa serikali anadrive range 2023 kirahisi tu .
 
Hao watu ni mashujaa wajengewe sanamu. Pesa za serikali si zako hata wewe ukipata nafasi butua, ukijidai una huruma utakufa maskini wajuba hawana huruma. Cha muhimu uliza walipataje connection.
Samia ni dhaifu kuliko uzi wa baibui wezi sii kwamba wamekurupuka tu huwa wanapitisha tu hapo mara kwa mara na mama anasaini walichokosea ni kuweka invoice kubwa zaidi wangeweka labda 10b usd
 
ukipata upenyo wa kupiga piga haswa...OVER

Karibuni chato.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…