Naomba kusaidiwa kwanini mtandao wa Twitter haufunguki Kwangu Tangia jana?

Twitter haifunguki kwasababu siku hizi haipo. Labda ujaribu mtandao wa X!
 
Machozi yatubujijika kwa kujua comrade lucas una acc X haya unatumia jina gani tutembelee!
 
Nyie vijana wa uvccm mliomba tcra waufungie amuhitaji hyo X yaan Twitter.
Basi waungwana tcra wameona isiwe shida nyie msioitaka wamewapiga ngwara sisi tunayoitaka mambo supa kabisa tunadunda
 

Attachments

  • Screenshot_20240630-132925.jpg
    203.1 KB · Views: 3
Inasikitisha sana hata hela ya vocha hawakusaidii? Unavyojitoa kwenye uchawa dah . Is hiw uvisisiem ina treat watetezi wake?

Tafuta pesa 😂😂😂😂🇰
 
Kama unatumia android device nenda playstore search X au twitter kisha UPDATE.. mwezi huu kuna update mpya ndio maana inasumbua mpaka ufanye update
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…