Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

Jibu rahisi biblia imejaa contradictions na uongo mwingi kuliko ukweli. Kuna mtu duniani ana propaganda kushinda mzungu. Hizi historia za karibuni wametupiga porojo nyingi itakuwa kwenye biblia yenye matoleo mbalimbali


Okay inahusianaje na Allah kuwa na mwili na kama ana qualify kwa vigezo vyako? Assume Biblia ina hayo yoote unayoyasema.
Sasa jibu swali kama Allah ni mungu kwako ama la!
 
Nashukuru kwa kuelewa Yesu sio Mungu. Kwanza uelewe kwanza Allah ni kiarabu kwa kingereza ni 'the God' Nikutoe huo ukilaza kwanza. Wayahudi wanamwita jina lingine 'Hashem'.
Usije ukawa jina linakuchanganya.
Nimeshakupa mfano

Je! Huoni kwamba vinamsujudia Mwenyezi Mungu viliomo mbinguni na viliomo katika ardhi, na jua, na mwezi, na nyota, na milima, na miti, na wanyama, na wengi miongoni mwa watu. Na wengi imewastahiki adhabu. Na anaye fedheheshwa na Mwenyezi Mungu hana wa kumhishimu. Hakika Mwenyezi Mungu hutenda apendayo.
(Qur'an 22:18)

Nakupa mfano hapo milima, jua, mwezi na nyota vimepewa sifa ya kusujudu ambayo ni viumbe hai na haina maana ni maumbo ya kibinadamu.
We akili yako inakutuma Mungu yupo mfano kama wa huyu mzungu matokeo yake mnamuabudu.


Hizo copy n paste unazozinukuu hazihalalishi huyu jamaa kuwa Mungu. Swali ushajibiwa Mwenyezi Mungu hafanani na hata mmoja kwa viumbe vyake alivyoumbwa. Hizo 'human attributes' zinakuchanganya matokeo yake unakuja kukufuru hapa.
Ndiyo maana makanisani wanaibuka watu wanajiita miungu. Kijana Acha kukufuru Mwenyezi Mungu hafanani na kiumbe chake hata mmoja.
Naona swali limekuwa zito, unawayawaya tu, mara Biblia mara Wayahudi wakati swali halihusishi Biblia wala hayo matakataka ya picha unayookoteza.

Umeajikamata kwa maneno yako sasa unakukuruka tu. Acha nikupotezeee. Wenye akili wameelewa kuwa huna hoja!
 
Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako


Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
We anakuhusu nini?
Pambana na hali yako
 
Okay inahusianaje na Allah kuwa na mwili na kama ana qualify kwa vigezo vyako? Assume Biblia ina hayo yoote unayoyasema.
Sasa jibu swali kama Allah ni mungu kwako ama la!
Allah ni Mungu wa viumbe vyote sio kwangu tu. Ndiye aliyeumba kila kitu.
 
Naona swali limekuwa zito, unawayawaya tu, mara Biblia mara Wayahudi wakati swali halihusishi Biblia wala hayo matakataka ya picha unayookoteza.

Umeajikamata kwa maneno yako sasa unakukuruka tu. Acha nikupotezeee. Wenye akili wameelewa kuwa huna hoja!
Najua umeelewa. Nitakuewekea picha na video sababu maandishi matupu kichwa kimekuwa kigumu.
 
yesu hajasali hekaluni ila aliwakataza kuweka meza na viti kufanya ibada na kufanya biashara kama wanavyofanya sasa makanisani
 
soma hii hajasali hekaluni : 15 Walipofika Yerusalemu, Yesu aliingia Hekaluni akaanza kuwafukuza watu waliokuwa wakifanya biashara humo. Akapindua meza za waliokuwa wakibadilisha fedha na viti vya watu waliokuwa wakiuza njiwa. 16 Hakuruhusu mtu ye yote kuchukua bidhaa kupi tia ukumbi wa Hekalu. 17 Akawafundisha akisema, “Je, haikuan dikwa katika Maandiko kuwa: ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa watu wote’? Mbona ninyi mmeigeuza kuwa pango la wany ang’anyi?” marko 11 16
 
. 34 (angalieni yesu alivyoomba kwa kusujudu) Akawaambia, “Moyo wangu umejaa huzuni kiasi cha kufa; kaeni hapa mkeshe.” 35 Akaenda mbele kidogo, akajitupa chi ni akaomba kuwa kama ikiwezekana saa hiyo ya mateso aiepuke:
 
Kifupi kabisa ni kwamba, Uislamu haujakanilika!
Ni imani pekee Duniani ambayo inategemea imani nyingine ili ikamilike.
Bora hata wabaoabudu Ng'ombe hawahitaji dini nyingine kujikamilisha.

Uislamu haupo bila kujihalalisha kwa Ukristo
Hujui kama ndani ya Quruani kuna vitabu vyote
Pamoja na kujiunga jf juzi ila maswali kama haya yanaulizwa huko facebook, ni ya kitoto sana.

Then kama walivaa kanzu na akasujudu what gonna get fixed your heart.
Nauliza maswali kutokana na uelewa wa watu jinsi watakavyojibu,labda nikuulize wewe Ukristo ulianzishwa na nani?
 
ajabu ni kwamba hizi hoja kuna mtu zimemfanya awe muislam kinda kinda na yupo tayari kuzifia akiamini ana hoja zinto.
Wakati fulan uko nyuma nikapata Msala nikatupwa Gwanta siku 14.
ndani ya Sero yetu kulikuwa na sehem ndogo kwa ajili ya ibada ya waislamu nikawa najumuika kama kawaida.
katika kundi ilo la waumini ndani ya sero yetu nikafahamiana na kijana mmoja mwenye mkazo wa imani mbali na kuwa ni mtu pekee aliyekuwa ana hakikisha maji ya kushikia hudhu hayakosekani alikuwa ni mtoa Adhana.
baadae nikagundua anaitwa Charles, na ameslimu miezi kadhaa uko nyuma.
siku moja sikumbuki nini kilituingiza katika mjadala wa uislamu na ukristo.
akaniambia:, kilichofanya nislim mbali na sababu zingine zote ni pale kila nikifungua Biblia kuisoma na kutana na Neno Wagidion WAFANYABIASHARA .anaendelea kusema:, nilikuwa najiuliza, kwanini neno la Mungu lifanyiwe biashara?.
Inamaana hawa Wagidion wamekoswa biashara ya kufanya hadi wafanye biashara ya neno la Mungu!! toka hapo nikajua ukristo na biblia kwa ujumla ni utapeli, nikaamua kuslimu.

kwake Charles concept ya TRINITY haikuwa shida , swala la Yesu kuvaa ama kutovaa kanzu, kusujudu etc vyote hivyo kwake si hoja, hoja kwake ni WAGIDION wafanyabiashara😂😂.

nilimuangalia kwa sekunde kadhaa kwa umakini nikagundua upungufu wa maarifa ndiyo umemtoa katika imani yake ya hawali si wa Gideon, angelijaribu kutafuta maarifa jina wagidion lisingempa shida.
Watu wangu wanaangamia kwa kukoswa MAARIFA*.
kuna makumi out there wanaslimu kwa hoja kama hizi.
Hoja za kuwafanya waslimu ni hizi hizi kama za mleta Mada , kwakuwa hawana maarifa uwaona wahubiri wa hoja hizi kama watu watafiti na makini kumbe ni chenga tupu.
Wewe una amini una maarifa, hayo maarifa ya hicho kitabu yanakufanya uamini ni cha kweli?
Kama una maarifa unaweza thibitisha kuwa una maarifa au ndio nyani haoni kundule!
Relegion books are all myth_ so you have to belive myth or not, nothing can be proven outside those books.
Unavyomuona huyo charles hana maarifa nawe kuna watu wanakuona huna maarifa kwa kujenga imani isiothibitika kwa mwingine.
Dini moja huiona dini nyingine kituko. Ukweli ni kwamba umerithi imani kutoka kwa wazazi, huja fanya analysis ya dini zote na kubaini ukweli. Ukifanya critical analysis utagundua mengi ni hadith zinazokulazimu uziamini bila ithibati.
 
Sikuomba nukuu na hiyo picha sio Biblia. Nilichouliza ambacho hujajibu, wewe binafsi, una tatizo gani na Uungu wa Yesu? Yaani jisemee wewe na sio cpy and paste au picha, una tatizo gani na Yesu kuwa Mungu?
MwenyEnzi MUNGU ni wa pekee Ametakasika Hajazaa wala kuzaliwa ,hana anayefanana naye hata mmoja Yesu ni mtume na Nabii wa MUNGU kama mitume & Nabii wengine kazaliwa na mama kama wewe MUNGU hawezi kuzaliwa sasa kipindi yupo tumboni mwa mama yake maryam nae alikuwa mwanamke mchaMungu alikuwa unataka kusema akiomba kile kilichopo tumboni mwake ?pia baadhi ya wengi kwa kutokuwa na uelewa hushindw kutofautisha miujiza waliopewa mitume kwa mitume mfn Nabii Adam hakuwa na Baba wala mama tofauti na mitume wote na ndio Mwanzo was binadamu wote ulimwenguni mfn mwingine musa kupita kati ya bahari na wana Israel ,mfalme Suleiman kuamrisha majini kufanya shughuli mblmbl pmoja na hekima aliobarikiwa na utajiri ambao hautawahi kuwa nao yeyote ule ulimwenguni ,yunus kumezwa na samaki n.k
 
Ni Upuuzi mkubwa sana kumuamini Mtu aliyejitokea tu Pangoni mwaka 600AD kisha akaanza kusema yaliyotokea mwaka 33AD Ni uongo....
Na kwamba yeye ndiye mkweli Wakati hata kusoma na Kuandika Tu Hufahamu.

Ni hudhuni kwa kweli.
 
Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako


Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
Kwani Wayahudi ni Waisalam?
 
Ukiona hadi sasa ujapata likes tambua umeandika takataka
 
MwenyEnzi MUNGU ni wa pekee Ametakasika Hajazaa wala kuzaliwa ,hana anayefanana naye hata mmoja Yesu ni mtume na Nabii wa MUNGU kama mitume & Nabii wengine kazaliwa na mama kama wewe MUNGU hawezi kuzaliwa sasa kipindi yupo tumboni mwa mama yake maryam nae alikuwa mwanamke mchaMungu alikuwa unataka kusema akiomba kile kilichopo tumboni mwake ?pia baadhi ya wengi kwa kutokuwa na uelewa hushindw kutofautisha miujiza waliopewa mitume kwa mitume mfn Nabii Adam hakuwa na Baba wala mama tofauti na mitume wote na ndio Mwanzo was binadamu wote ulimwenguni mfn mwingine musa kupita kati ya bahari na wana Israel ,mfalme Suleiman kuamrisha majini kufanya shughuli mblmbl pmoja na hekima aliobarikiwa na utajiri ambao hautawahi kuwa nao yeyote ule ulimwenguni ,yunus kumezwa na samaki n.k
Ukitaka kufikiria mambo ya Mungu wa wakristo unatakiwa dhana Yako ya Mungu wako Allah ambae ni physical being uiweke pembeni

Mungu wa wakristo ni Roho
 
Back
Top Bottom