That white dude so called jesus he never existed...
Tafuta ushahid popote pale dunian kamwe hutoona ushahid wa mabaki wala ya kihistoria kuhusu uwepo wa icho kiumbe mnachokiita yesu.
Kwanza hilo taifa la huyo yesu wenu hapo middle East halijawai kuwepo before 1945 so where your jesus found?[emoji23][emoji23].
Someni histories za kweli achaneni na vijihabar vya kutunga vya uongo wa biblia na Quran, hakuna ukwel huko, ni makanjanja wachache waliamua kuchakachua history ya mtu mweusi wa kale na kuamua kuedit ili kupata matoleo ya nakala za vitabu vya hizo dini za kizushi zinazowatawala leo akili zenu na roho zenu.
Kuna mengi ya kuthibitisha kuwa hao Bible's characters wenu mnaowaabudu na kuwaita watakatifu hawajawai kuwepo na hawatowai kuwepo.
Ni aibu jitu jeusi kupigania na kushadadia dini za mtu mweupe, aibu sana, babu zenu wakifufuka hivi leo, watashangaa sana , yale waliyoyapinga ninyi mmeyakubari kiwepesi japo maisha yao yalipotezwa na hao waliokupeni hizo takataka mnazoabudu..
SHAME ON YOU religions believers
Sent from my Infinix X655 using
JamiiForums mobile app
View attachment 2166502