Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣 Nilimuangaliaaa, nikashindwa nianzie wapi kumfafanulia, nikaona nimpuuze, nisimjibu chochote.[emoji23][emoji23][emoji23]
Charles kama hakuwa na madukuduku mengine basi hakuwa sawa upstairs, ungejaribu kumdodosa zaidi.
Kwa hiyo kama Yesu ataludi leo kupitia Tanzania tungali wazima atavaa kanzu au suruali?Aliyafanya yote yapaswayo kufanywa katika tamaduni ya myahudi wa wakati huo. Naye mama yake vivyo hivyo alitenda sawa na taratibu za mwanamke wa Kiyahudi. Asante.
Yesu au Issa bin mariamu ni mtume wa mwenyezi Mungu kama mitume wengine,ingawa alisema wengine watasema tulihubiri kwa jina lako,lakini yeye atawakana.Swali langu linakuja je kina nani hao wanaohubiri kwa jina lake?Unauliza kwa sababu huelewi,unapima uelewa wa watu au kuna mambo umekaririshwa unakuja kupima upepo kwa wenye Yesu wao.
Yesu alizikwa na sanda hakuzikwa na jeneza,lakini kinafirauni ndiyo waliokuwa wanazikwa na majeneza,jamani mnakosea wapi?Aliwai kuniambia mtu mmoja kuwa yesu by nature kabisa ni muislam kwasababu alifata mila na tamaduni za kiyaud na pengine mpaka kuzifanya zaidi ya mafundisho ya kidini yakiyaudi
Alitawadha,aliingia msikitini(sinagodi) kama waislam wasalivyo ko yesu ni muislam hakuna mkristo anayeingia msikitini,kutawadha wala kuvaa kanzu asalipo
-Wisdom
Nikamwambia kwamba Kitu cha msingi kabisa hawa watu usije ukawakatalia wanapokwambia hoja zao
Nikamwambia nikweli yoteee usemayo lakin mim nitakuuliza jambo moja nikweli uliyosema kuwa yesu alikuwa muislam kwa takwimu ambazo umesema na zina ushaid pia ktk biblia
Lakin katika iyoiyo biblia yesu pia aliingia hekalun kusali
Sasa ukimuona mtu anaingia msikitini na kanisani unawezaje kubagua ukamwita ni muislam
Kuna muislam anaweza kusali msikitini na kanisani kwa iyo unaona kabisa swala la kusema yesu alikuwa muislam by nature ni uwongo hakuna muislam anayeingia msikitin na kanisan itoshe kusema yesu alikuja kutukomboa sisi wanadumu zidi ya dhambi zetu na kuchukua madhaifu yetu na kutupa tumain la milele maswala muislam au mkristo niyeye ndiye ajuaye yeye ni yeye tu.
Yesu sio Isa!Yesu au Issa bin mariamu ni mtume wa mwenyezi Mungu kama mitume wengine,ingawa alisema wengine watasema tulihubiri kwa jina lako,lakini yeye atawakana.Swali langu linakuja je kina nani hao wanaohubiri kwa jina lake?
Kwa unajua tafsiri ya Uisilamu?na je ukiambiwa mitume wote wa Mwenyezi Mungu walikuwa waisilamu utaamini?Yaani sinagogi ni msikiti? Alikuwa anatania au serious?
Pili Yesu hakuwahi kuwa Muislam, unless uamue tu kufanya uhuni wa kulazimisha awe. Yesu alizaliwa na Wayahudi, aliwekwa Wakfu na Simoni Myahudi katika hekalu la Mungu wa Wayahudi. Akakulia kati ya Baba seremala Myahudi, Mama Myahudi na waalimu Wayahudi. Aliishi katika Yudea na Samaria pekee, eneo la Wayahudi, na alifundisha juu ya Mungu wa Wayahudi na Mungu wa Baba zao, Yakobo (Israeli), Isaka na Ibrahimu, wote hawa Wayahudi.
Akafundisha kuhusu sheria ya Musa (Myahudi) na namna ilivyompasa Masihi wa Mungu (Myahudi wa kabila la Yuda), kufa kwa ajili ya kuukomboa Ulimwengu wote. Akashtakiwa na Baraza la kidini la Wayahudi, Sanhedrin. Kwa kuwa Yudea na Samaria lilikuwa koloni la Warumi, Wayahudi hawakuwa na ruhusa ya kuua mtu pasipo na ruhusa ya Kaisari. Ndio maana walipompeleka kwa Herode akawaambia wampeleke kwa Pilato (Mrumi) kwa sababu alikuwa ndiye mwakilishi wa Kaisari.
Yesu akashtakiwa kwa sheria ya Kiyahudi kuwa alikufuru kwa kuwa alisema Yeye ni Mwana wa Mungu na Wayahudi walielewa wazi hii ni kusema Yesu ni Mungu. Pilato hakuona kama Yesu alistahili kifo cha juu kabisa kwa sababu hakufanya kosa lolote. Wayahudi wakasema tuna sheria yetu na kwa hiyo tunamshtaki. Pilato (Mrumi), akawaruhusu Wayahudi wakamwue Yesu sawa na sheria yao baada ya kuwanawa. Wayahudi kwa msaaada wa Warumi wakamtundika Yesu. Na kibao cha mashtaka kiliandikwa Yesu, Mfalme wa Wayahudi. Wazee wa Kiyahudi walilalamikia kuwa kibadilishwe Pilato akagoma!
Kwa hiyo Yesu hajawahi kuwa Muislam. Usilam ulianza miaka zaidi ya 700 baada ya Yesu kuwapo duniani!
Mtu anayedai Yesu alikuwa Muislamu ni mmoja kati ya hawa
1. Hajui anachokisema/Kakariri
2. Hamjui Yesu au Uislam na Historia yake au hajui vyote
3. Ni tapeli!
Tafsiri manyotuambia leo au halisi?Kwa unajua tafsiri ya Uisilamu?na je ukiambiwa mitume wote wa Mwenyezi Mungu walikuwa waisilamu utaamini?
pole sana,kama aliyekufundisha Quruani ni mkristo mwenzeko,kweli atakuwa amekwambia Yesu na Issa ni tofauti, na mama yake Mariamu ni nani?Yesu sio Isa. Unasoma comments lakini?
Aliyewafundisha Yesu ni Isa ni nani? Maana Quran haifundishi hivyo wala hakuna hadith ya Yesu kuwa Isa. Wewe umejifunza wapi?
pole sana,kama aliyekufundisha Quruani ni mkristo mwenzeko,kweli atakuwa amekwambia Yesu na Issa ni tofauti, na mama yake Mariamu ni nani?Yesu sio Isa. Unasoma comments lakini?
Aliyewafundisha Yesu ni Isa ni nani? Maana Quran haifundishi hivyo wala hakuna hadith ya Yesu kuwa Isa. Wewe umejifunza wapi?
kwa hiyo aliyeanzisha alama ya msalaba na ishara ya msalaba ni nani? na mitume wake Yesu pamoja na mama yake walifanya ishara ya msalaba?Yesu asingeweza kupiga alama ya msalaba wakati msalaba haukuwa umewahi kutumika kama alama ya ukombozi bali ulikuwa unatumika kuadhibu wenye hatia.Kitendo cha yeye kusuubiwa msalabani ndiyo kilichoufanya msalaba kuwa alama ya ukombozi.
Pole sana bwana jibu hoja siyo kutukanaMJADALA MZURI SANA HUU
KUNA WANAO VAA KANZU, KUSALI KWA MASAA, KUSUJUDU NA KUTAWADHA PIA.
LAKINI NDIO HAO HAO WAFIRAJ.I,WATESAJI NA WATU WA VISASI VISASI, MAGAIDI(UGAIDI UNASHIKA NAFASI YA PILI KWA KUUA WATUBAADA YA VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE).
NA LA KUSHANGA ZA KUPITA YOTE, BWANA ALLAH ANATETEA ZAIDI NA BINADAMU KULIKO YEYE MWENYEE KUJITETEA.KIASI NINA AMINI HATA YEYE NI MFU KAMA WAFU WENGINE.
Umechanganya sana mambo,Yesu ataludi kama mwanadamu na kwa sura yake aliyeondoka nayo,sasa kama huwa mnamtafsiri kwa sura za watu wengine wa kuchora,hapo ndipo utakapokuwa mtihaniNaomba unisamehe bure! Maandiko matakatifu yanasema hatarudi kama mwanzo! Zaidi ya yote, tunafunzwa kuwa, waabuduo halisi watamuabudu katika roho na kweli! Siyo katika mavazi! Siyo msikitini! Siyo kanisani! Bali katika roho na kweli!!! Yaani ndani ya moyo wako ndimo ilimo ibada yako ya kweli na si katika mwili! Na yeye anachunguza mioyo yetu haangaiki na muonekano wetu wa nje! Unajua unaweza sema unampenda fulani kwa midomo lakini moyoni ukawa unamchukia kwa 100%!!!
Anyway, inawezekana akarudi na kanzu lakini hiyo siyo hoja ya msingi kwetu! Hoja ni je, atakaporudi atatukuta katika hali gani hasa kiroho? Atatukuta tunazini au tunahubiri? Atatukuta tunaiba au tunatenda haki? Atatukuta tunadhurumu au tunatenda mema! Ndiyo maana nikasema, badala ya kuhaika na makanzu ambayo hayatatupeleka popote ni heli tukajikita kutenda mema na kumuabudu yeye katika roho na kweli!
Vp mavazi ya wanawake yenye kufunika mwili mzima huko mashariki hawaogopi joto?Kanzu ni vazi la mashariki sababu ya upepo na joto. Kavae sweta mashariki uive.
Kavae kanzu Urusi au ulaya kama ujaganda
Kwa hiyo atakaporudi atarudi na kanzu yake?Yohane 19:23-37
Yesu vazi lake ni kanzu ni vazi la kikristo
Yohane 19:23-37 BHN
Askari walipokwisha msulubisha Yesu, walizichukua nguo zake, wakazigawa mafungu manne, fungu moja kwa kila askari. Walichukua pia na kanzu yake; kanzu hiyo ilikuwa imefumwa kwa kipande kimoja tu, bila mshono. Basi, hao askari wakashauriana: “Tusiipasue, ila tuipigie kura itakuwa ya nani.” Jambo hilo lilifanyika ili yatimie Maandiko Matakatifu yasemayo: “Waligawana mavazi yangu, na nguo yangu wakaipigia kura.” Basi
Aliyekufundisha alikudanganya ndugu yangu, na Yohana sio Yahya?Yesu sio Isa!
Yesu sio Isa!
Yesu sio Isa!
Na kama una akili timamu elewa Yesu sio Isa!
Uwe na usiku mwema.