Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

naona povu jingi m situkani haswaaa ila nimequote tu from your bible hlf unaikataa bible yko mwenyewe
I have some space in my ignore list. Little empty headed kids belong there. You are officially ignored.

Enjoy your day!
 
Ukiachana na mambo ya kimwili (kuvaa, kula, kutembea nk), naona ungeweka ya kiroho, mfano, hivi Yesu alihubiri kulipa kisasi au kutoa msamaha? Nadhani hapo ndipo panapotofautisha uisilamu (unaohimiza kulipa kisasi) na Ukristu (unaohimiza kutoa msamaha)
Umeongea vzuri.
Wamwabuduo Mungu ,humwabudi katika Roho na kweli.

Ukiwaza kimwili, hutoelewa mambo ya Rohoni.
 
kwani mm mara ya kwanza kuona comments zako? Elimu Elimu Elimu
Unakumbuka comments zangu ambazo hata Mimi nishazisahau...acha ujinga jibu hoja ya Sasa achana Na mambo ya mwaka juzi
 
Ndiyo maana nikasema nimetolea huo mfano wa kibinadamu ili binadamu waelewe na siyo kwamba eti Mungu ni yai! Ni kama biblia ilivyotoa mfano wa watoto kuwa chini ya mama na mama kuwa chini ya baba kama ambavyo kanisa liko chini ya Yesu na Yesu yuko chini ya Mungu, hiyo haimaanishi kuwa Mungu ni baba huyu tunayemjua ama Yesu ni mama huyu tunayemjua ama kanisa ni watoto hawa tunaowajua, hiyo ni mifano tu ya kibinadamu katika kutufafanulia sisi binadamu ili tuelewe!
Mifano inayotolewa kwa disciples huwa inakubalika ikiwa imperfect kwa sababu lengo la mwanafunzi ni kuelewa. Ukitumia same example kwa critic ni recipe for disaster kwa sababu lengo lake sio kuelewa, kwa hiyo ataiacha point ya msingi na kuanza kuhangaika na imperfections.

Nipo nafuatilia nione mifano yako kama itatiliwa maanani basi. At the end of the tunnel utaelewa ninachomaanisha.
 
Aliwai kuniambia mtu mmoja kuwa yesu by nature kabisa ni muislam kwasababu alifata mila na tamaduni za kiyaud na pengine mpaka kuzifanya zaidi ya mafundisho ya kidini yakiyaudi
Alitawadha,aliingia msikitini(sinagodi) kama waislam wasalivyo ko yesu ni muislam hakuna mkristo anayeingia msikitini,kutawadha wala kuvaa kanzu asalipo
-Wisdom
Nikamwambia kwamba Kitu cha msingi kabisa hawa watu usije ukawakatalia wanapokwambia hoja zao
Nikamwambia nikweli yoteee usemayo lakin mim nitakuuliza jambo moja nikweli uliyosema kuwa yesu alikuwa muislam kwa takwimu ambazo umesema na zina ushaid pia ktk biblia
Lakin katika iyoiyo biblia yesu pia aliingia hekalun kusali
Sasa ukimuona mtu anaingia msikitini na kanisani unawezaje kubagua ukamwita ni muislam
Kuna muislam anaweza kusali msikitini na kanisani kwa iyo unaona kabisa swala la kusema yesu alikuwa muislam by nature ni uwongo hakuna muislam anayeingia msikitin na kanisan itoshe kusema yesu alikuja kutukomboa sisi wanadumu zidi ya dhambi zetu na kuchukua madhaifu yetu na kutupa tumain la milele maswala muislam au mkristo niyeye ndiye ajuaye yeye ni yeye tu.
 
Aliwai kuniambia mtu mmoja kuwa yesu by nature kabisa ni muislam kwasababu alifata mila na tamaduni za kiyaud na pengine mpaka kuzifanya zaidi ya mafundisho ya kidini yakiyaudi
Alitawadha,aliingia msikitini(sinagodi) kama waislam wasalivyo ko yesu ni muislam hakuna mkristo anayeingia msikitini,kutawadha wala kuvaa kanzu asalipo
-Wisdom
Nikamwambia kwamba Kitu cha msingi kabisa hawa watu usije ukawakatalia wanapokwambia hoja zao
Nikamwambia nikweli yoteee usemayo lakin mim nitakuuliza jambo moja nikweli uliyosema kuwa yesu alikuwa muislam kwa takwimu ambazo umesema na zina ushaid pia ktk biblia
Lakin katika iyoiyo biblia yesu pia aliingia hekalun kusali
Sasa ukimuona mtu anaingia msikitini na kanisani unawezaje kubagua ukamwita ni muislam
Kuna muislam anaweza kusali msikitini na kanisani kwa iyo unaona kabisa swala la kusema yesu alikuwa muislam by nature ni uwongo hakuna muislam anayeingia msikitin na kanisan itoshe kusema yesu alikuja kutukomboa sisi wanadumu zidi ya dhambi zetu na kuchukua madhaifu yetu na kutupa tumain la milele maswala muislam au mkristo niyeye ndiye ajuaye yeye ni yeye tu.
Yaani sinagogi ni msikiti? Alikuwa anatania au serious?
Pili Yesu hakuwahi kuwa Muislam, unless uamue tu kufanya uhuni wa kulazimisha awe. Yesu alizaliwa na Wayahudi, aliwekwa Wakfu na Simoni Myahudi katika hekalu la Mungu wa Wayahudi. Akakulia kati ya Baba seremala Myahudi, Mama Myahudi na waalimu Wayahudi. Aliishi katika Yudea na Samaria pekee, eneo la Wayahudi, na alifundisha juu ya Mungu wa Wayahudi na Mungu wa Baba zao, Yakobo (Israeli), Isaka na Ibrahimu, wote hawa Wayahudi.

Akafundisha kuhusu sheria ya Musa (Myahudi) na namna ilivyompasa Masihi wa Mungu (Myahudi wa kabila la Yuda), kufa kwa ajili ya kuukomboa Ulimwengu wote. Akashtakiwa na Baraza la kidini la Wayahudi, Sanhedrin. Kwa kuwa Yudea na Samaria lilikuwa koloni la Warumi, Wayahudi hawakuwa na ruhusa ya kuua mtu pasipo na ruhusa ya Kaisari. Ndio maana walipompeleka kwa Herode akawaambia wampeleke kwa Pilato (Mrumi) kwa sababu alikuwa ndiye mwakilishi wa Kaisari.

Yesu akashtakiwa kwa sheria ya Kiyahudi kuwa alikufuru kwa kuwa alisema Yeye ni Mwana wa Mungu na Wayahudi walielewa wazi hii ni kusema Yesu ni Mungu. Pilato hakuona kama Yesu alistahili kifo cha juu kabisa kwa sababu hakufanya kosa lolote. Wayahudi wakasema tuna sheria yetu na kwa hiyo tunamshtaki. Pilato (Mrumi), akawaruhusu Wayahudi wakamwue Yesu sawa na sheria yao baada ya kuwanawa. Wayahudi kwa msaaada wa Warumi wakamtundika Yesu. Na kibao cha mashtaka kiliandikwa Yesu, Mfalme wa Wayahudi. Wazee wa Kiyahudi walilalamikia kuwa kibadilishwe Pilato akagoma!

Kwa hiyo Yesu hajawahi kuwa Muislam. Usilam ulianza miaka zaidi ya 700 baada ya Yesu kuwapo duniani!
Mtu anayedai Yesu alikuwa Muislamu ni mmoja kati ya hawa
1. Hajui anachokisema/Kakariri
2. Hamjui Yesu au Uislam na Historia yake au hajui vyote
3. Ni tapeli!
 
Yaani sinagogi ni msikiti? Alikuwa anatania au serious?
Pili Yesu hakuwahi kuwa Muislam, unless uamue tu kufanya uhuni wa kulazimisha awe. Yesu alizaliwa na Wayahudi, aliwekwa Wakfu na Simoni Myahudi katika hekalu la Mungu wa Wayahudi. Akakulia kati ya Baba seremala Myahudi, Mama Myahudi na waalimu Wayahudi. Aliishi katika Yudea na Samaria pekee, eneo la Wayahudi, na alifundisha juu ya Mungu wa Wayahudi na Mungu wa Baba zao, Yakobo (Israeli), Isaka na Ibrahimu, wote hawa Wayahudi.

Akafundisha kuhusu sheria ya Musa (Myahudi) na namna ilivyompasa Masihi wa Mungu (Myahudi wa kabila la Yuda), kufa kwa ajili ya kuukomboa Ulimwengu wote. Akashtakiwa na Baraza la kidini la Wayahudi, Sanhedrin. Kwa kuwa Yudea na Samaria lilikuwa koloni la Warumi, Wayahudi hawakuwa na ruhusa ya kuua mtu pasipo na ruhusa ya Kaisari. Ndio maana walipompeleka kwa Herode akawaambia wampeleke kwa Pilato (Mrumi) kwa sababu alikuwa ndiye mwakilishi wa Kaisari.

Yesu akashtakiwa kwa sheria ya Kiyahudi kuwa alikufuru kwa kuwa alisema Yeye ni Mwana wa Mungu na Wayahudi walielewa wazi hii ni kusema Yesu ni Mungu. Pilato hakuona kama Yesu alistahili kifo cha juu kabisa kwa sababu hakufanya kosa lolote. Wayahudi wakasema tuna sheria yetu na kwa hiyo tunamshtaki. Pilato (Mrumi), akawaruhusu Wayahudi wakamwue Yesu sawa na sheria yao baada ya kuwanawa. Wayahudi kwa msaaada wa Warumi wakamtundika Yesu. Na kibao cha mashtaka kiliandikwa Yesu, Mfalme wa Wayahudi. Wazee wa Kiyahudi walilalamikia kuwa kibadilishwe Pilato akagoma!

Kwa hiyo Yesu hajawahi kuwa Muislam. Usilam ulianza miaka zaidi ya 700 baada ya Yesu kuwapo duniani!
Mtu anayedai Yesu alikuwa Muislamu ni mmoja kati ya hawa
1. Hajui anachokisema/Kakariri
2. Hamjui Yesu au Uislam na Historia yake au hajui vyote
3. Ni tapeli!
Kaangalie nyuma ya bible maana ya sinagogi
 
Sijajua swali lako linahusu nini?lakini kama lengo lako lilikuwa ni kuuliza kwa nini Mtume Muhamad (S.A.W)alimuoa bi aisha akiwa na miaka sita huko Macca akaenda kumjua Madinina akiwa na miaka 9



Inawezekana wewe ndiye unayeliona la kipuuzi lakini lina ukweli mzito ndani yake,chukulia mfano unaambiwa Yesu yuko Uwanja wa Taifa,katika kufikili kwako kabla hujaenda kumuona,utafikiria utamkuta katika hari gani?kavaa kanzu anaswali au utamkuta kavaa suti anahubiri kwa sauti?hilo ndiyo jibu ninalolitaka,sababu dini zote zinahubiri Yesu ataludi
Achana na hizo primitive mythogies
 
Na mimi nauliza iviiii kipindi yesu anavamia masoko na kumwaga bidhaa za watu RPC wa eneo lile alikuwa nani ...... na alichukua hatua gani
 
Badala ya kueleza tatizo unaloliona unanukuu vifungu vya Biblia (actually imefanya copy paste na mtu anayejua kufanya simple search anajua umenakili wapi)

Sasa achana na mambo ya copy paste. Andika kwa maneno yako mwenyewe una tatizo gani na Uungunwa Yesu, wewe kama wewe?
Mi sijakubishia hoja yako. Mwanzo ulipinga ule mchoro wa miungu wa tatu. Nukuu nyingi zinaonesha kwenye biblia Yesu analia kwenda kwa Mungu wake alivyosulubiwa msalabani.
Hiyo mistari yote nimekutolea nukuu zake.
 
Mi sijakubishia hoja yako. Mwanzo ulipinga ule mchoro wa miungu wa tatu. Nukuu nyingi zinaonesha kwenye biblia Yesu analia kwenda kwa Mungu wake alivyosulubiwa msalabani.
Hiyo mistari yote nimekutolea nukuu zake.
Sikuomba nukuu na hiyo picha sio Biblia. Nilichouliza ambacho hujajibu, wewe binafsi, una tatizo gani na Uungu wa Yesu? Yaani jisemee wewe na sio cpy and paste au picha, una tatizo gani na Yesu kuwa Mungu?
 
Mkuu hapo unachoshindwa kuelewa ni nini? Kwahiyo mnaona hiyo ndiyo hoja ya kupinga utatu wa Mungu?

Labda tufanye hivi ili uelewe kuhusu utatu wa Mungu! Chukulia mfano wa yai la kuku:

Yai lile unavyoliona ni moja lakini limegawanyika katika sehemu tatu ambazo ni kiini, ute, ganda. Na kila kimoja kina form yake na kazi yake.

Pamoja na kwamba hivyo vyote ukiviweka kwa pamoja vinaitwa yai lakini kamwe kiini hakiwezi kuwa ute au ute hauwezi kuwa ganda

Kwa sababu vipo katika form tofauti lakini hiyo haibadilishi ukweli kwamba hivyo ni sehemu ya yai na vyote kwa pamoja vinaitwa yai
Kwa hiyo unakubali kwamba kwenye huo utatu kuna mmoja ana ujuzi kuliko mwingine?
 
Mkuu lengo hapa ni kuelewesha suala la mtu kukubali au kutokukubali halibadilishi ukweli na kama akipinga basi aje na hoja za kumsupport

Kuacha point ya msingi na kudeal na imperfections ni ishara tosha kuwa amekosa hoja hivyo hapo kosa siyo langu tena bali ni lake kupinga hoja bila hoja

Kama mifano hiyo yenye imperfections ilivyotumika kwenye biblia basi vivyo hivyo na mimi pia nimeitumia kwenye hii concept hivyo yeye kuamua kukataa tu siyo hoja
Biblia imeandikwa kama instructions kwa wanafunzi. Huyo unayejadili naye yupo hapo ili akosoe na sio kujifunza.

Anyway yangu macho. Ngoja tuone mtakapoishia!
 
Yesu(issa) alikuwa muislam na ndio dini ya manabii wote....na sio mungu kama wakiristo wanavyodai...
Yesu sio Isa. Unasoma comments lakini?
Aliyewafundisha Yesu ni Isa ni nani? Maana Quran haifundishi hivyo wala hakuna hadith ya Yesu kuwa Isa. Wewe umejifunza wapi?
 
Back
Top Bottom