Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

Na mimi nauliza iviiii kipindi yesu anavamia masoko na kumwaga bidhaa za watu RPC wa eneo lile alikuwa nani ...... na alichukua hatua gani
Mpigie simu Pilato, alikuwa Gavana wa huko, lazima ana majibu!
 
Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako


Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
Yesu asingeweza kupiga alama ya msalaba wakati msalaba haukuwa umewahi kutumika kama alama ya ukombozi bali ulikuwa unatumika kuadhibu wenye hatia.Kitendo cha yeye kusuubiwa msalabani ndiyo kilichoufanya msalaba kuwa alama ya ukombozi.
 
Ongezea Alikunywa mvinyo/divai au hakunywa?
Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako


Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
 
Kuna masiha yeyote alitumia simu?Kuna nabii Yeyote alikula makande? Kuna nabii Yeyote alisema Kwiyo? Kuna nabii Yeyote alicheza mpira? Kuna nabii aliyekuwa mbunge?
 
Sikuomba nukuu na hiyo picha sio Biblia. Nilichouliza ambacho hujajibu, wewe binafsi, una tatizo gani na Uungu wa Yesu? Yaani jisemee wewe na sio cpy and paste au picha, una tatizo gani na Yesu kuwa Mungu?
Kwa sababu Mungu hawezi kuwa mtu au kufanana na viumbe wake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Charles kama hakuwa na madukuduku mengine basi hakuwa sawa upstairs, ungejaribu kumdodosa zaidi.
ajabu ni kwamba hizi hoja kuna mtu zimemfanya awe muislam kinda kinda na yupo tayari kuzifia akiamini ana hoja zinto.
Wakati fulan uko nyuma nikapata Msala nikatupwa Gwanta siku 14.
ndani ya Sero yetu kulikuwa na sehem ndogo kwa ajili ya ibada ya waislamu nikawa najumuika kama kawaida.
katika kundi ilo la waumini ndani ya sero yetu nikafahamiana na kijana mmoja mwenye mkazo wa imani mbali na kuwa ni mtu pekee aliyekuwa ana hakikisha maji ya kushikia hudhu hayakosekani alikuwa ni mtoa Adhana.
baadae nikagundua anaitwa Charles, na ameslimu miezi kadhaa uko nyuma.
siku moja sikumbuki nini kilituingiza katika mjadala wa uislamu na ukristo.
akaniambia:, kilichofanya nislim mbali na sababu zingine zote ni pale kila nikifungua Biblia kuisoma na kutana na Neno Wagidion WAFANYABIASHARA .anaendelea kusema:, nilikuwa najiuliza, kwanini neno la Mungu lifanyiwe biashara?.
Inamaana hawa Wagidion wamekoswa biashara ya kufanya hadi wafanye biashara ya neno la Mungu!! toka hapo nikajua ukristo na biblia kwa ujumla ni utapeli, nikaamua kuslimu.

kwake Charles concept ya TRINITY haikuwa shida , swala la Yesu kuvaa ama kutovaa kanzu, kusujudu etc vyote hivyo kwake si hoja, hoja kwake ni WAGIDION wafanyabiashara[emoji23][emoji23].

nilimuangalia kwa sekunde kadhaa kwa umakini nikagundua upungufu wa maarifa ndiyo umemtoa katika imani yake ya hawali si wa Gideon, angelijaribu kutafuta maarifa jina wagidion lisingempa shida.
Watu wangu wanaangamia kwa kukoswa MAARIFA*.
kuna makumi out there wanaslimu kwa hoja kama hizi.
Hoja za kuwafanya waslimu ni hizi hizi kama za mleta Mada , kwakuwa hawana maarifa uwaona wahubiri wa hoja hizi kama watu watafiti na makini kumbe ni chenga tupu.
 
Biblia imeandikwa kama instructions kwa wanafunzi. Huyo unayejadili naye yupo hapo ili akosoe na sio kujifunza.

Anyway yangu macho. Ngoja tuone mtakapoishia!
Mimi sina shida Mkuu cha muhimu alete hoja tu na siyo mihemko
 
Kwa sababu Mungu hawezi kuwa mtu au kufanana na viumbe wake.
Hili umejifunza wapi kuwa Mungu hawezi uongeza uanadamu katika uungu wake?

Unajua Allah ana mguu na mikono? Unasemaje juu ya hili? Nae unamkana sio mungu kwako?
 
Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako


Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
MJADALA MZURI SANA HUU

KUNA WANAO VAA KANZU, KUSALI KWA MASAA, KUSUJUDU NA KUTAWADHA PIA.
LAKINI NDIO HAO HAO WAFIRAJ.I,WATESAJI NA WATU WA VISASI VISASI, MAGAIDI(UGAIDI UNASHIKA NAFASI YA PILI KWA KUUA WATUBAADA YA VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE).

NA LA KUSHANGA ZA KUPITA YOTE, BWANA ALLAH ANATETEA ZAIDI NA BINADAMU KULIKO YEYE MWENYEE KUJITETEA.KIASI NINA AMINI HATA YEYE NI MFU KAMA WAFU WENGINE.
 
Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako


Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
Kama vile umelaaniwa
 
Hili umejifunza wapi kuwa Mungu hawezi uongeza uanadamu katika uungu wake?

Unajua Allah ana mguu na mikono? Unasemaje juu ya hili? Nae unamkana sio mungu kwako?
Hiyo imezungumza kama figurative language haina maana kama unavyofikiria wewe. Ngoja nikupe mfano kwenye biblia. Kwenye huo mstari ukisikia mbingu zatangaza utukufu wa Mungu haina maana mbingu zina mdomo. Mfano mwingine kijiti kiliongea na Musa kwenye biblia haina maana kijiti kilikuwa na mdomo au Mungu wenu.


Zaburi 19:1​

Mbingu zatangaza utukufu wa Mungu; anga ladhihirisha kazi ya mikono yake
 
😂 na kwa mahubiri hayo upata wafuasi wapya kila siku.
hao jamaa ni conmen wa theolojia.
Taqiya ndiyo mpango mzima.
wakati wewe umeamliwa kuto ongeza wala kupunguza Neno, wao wameruhusiwa kudanganya kwa namna yoyote ili uingie katika dini.
Ndoivyo at the end Wana win maana bongo hii wanaofatilia mambo au kufikirisha bongo zao Ni wachache mno
 
Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako


Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
Sijui majibu ya maswali yako ila nina hakika hata Mtume Mohamad hakupanda gari, misikiti aliyoingia haikuwa na spika nje, hakuwa na simu ya kuingia JF. Yaani ninachotaka kusema ni kuwa haiwezekani kuishi kama wao kwa kuwa miaka na teknolojia hubadilisha watu....dini ya kiislamu ilienea kwa ncha ya upanga lakini kwa sasa hamna mwenye jeuri ya kufanya hayo..
 
Hiyo imezungumza kama figurative language haina maana kama unavyofikiria wewe.
Nimesoma na nimesikiliza wanazuoni wa Kiislam, hii ya figurative unaitoa wapi? Unaweza kuleta hadith au Quran verse inayoonesha ni figurative?

Ngoja nikupe mfano kwenye biblia. Kwenye huo mstari ukisikia mbingu zatangaza utukufu wa Mungu haina maana mbingu zina mdomo. Mfano mwingine kijiti kiliongea na Musa kwenye biblia haina maana kijiti kilikuwa na mdomo au Mungu wenu.


Zaburi 19:1​

Mbingu zatangaza utukufu wa Mungu; anga ladhihirisha kazi ya mikono yake
Biblia iko wazi kwenye hilo. Inatumia devices kama Anthromophism, hyperboles, parables et al.

Ila tunaongelea Allah, Quran na Hadith. So achana na Biblia kwa sasa. Kwa sababu Allah ana Mguu na Mikono, Je kwa criteria zako unamkana kuwa siyo Mungu wako?



Hii ya pili ni video ya critic but inanukuu wanazuoni wa kiislam



Narudia tena swali langu. Kwa kuwa Allah ana jicho, mguu na mikono, unamkana kuwa hawezi kuwa Mungu?

I hope utajibu swali this time badala ya kujizingusha na kuja na nukuu badala ya jibu. Na katika hili swali weka pembeni Biblia, Yesu au Ukristo
 
Sijajua swali lako linahusu nini?lakini kama lengo lako lilikuwa ni kuuliza kwa nini Mtume Muhamad (S.A.W)alimuoa bi aisha akiwa na miaka sita huko Macca akaenda kumjua Madinina akiwa na miaka 9



Inawezekana wewe ndiye unayeliona la kipuuzi lakini lina ukweli mzito ndani yake,chukulia mfano unaambiwa Yesu yuko Uwanja wa Taifa,katika kufikili kwako kabla hujaenda kumuona,utafikiria utamkuta katika hari gani?kavaa kanzu anaswali au utamkuta kavaa suti anahubiri kwa sauti?hilo ndiyo jibu ninalolitaka,sababu dini zote zinahubiri Yesu ataludi
Naomba unisamehe bure! Maandiko matakatifu yanasema hatarudi kama mwanzo! Zaidi ya yote, tunafunzwa kuwa, waabuduo halisi watamuabudu katika roho na kweli! Siyo katika mavazi! Siyo msikitini! Siyo kanisani! Bali katika roho na kweli!!! Yaani ndani ya moyo wako ndimo ilimo ibada yako ya kweli na si katika mwili! Na yeye anachunguza mioyo yetu haangaiki na muonekano wetu wa nje! Unajua unaweza sema unampenda fulani kwa midomo lakini moyoni ukawa unamchukia kwa 100%!!!

Anyway, inawezekana akarudi na kanzu lakini hiyo siyo hoja ya msingi kwetu! Hoja ni je, atakaporudi atatukuta katika hali gani hasa kiroho? Atatukuta tunazini au tunahubiri? Atatukuta tunaiba au tunatenda haki? Atatukuta tunadhurumu au tunatenda mema! Ndiyo maana nikasema, badala ya kuhaika na makanzu ambayo hayatatupeleka popote ni heli tukajikita kutenda mema na kumuabudu yeye katika roho na kweli!
 
Enzi hizo hatukuwepo tumesimuliwa tu kwenye biblia na kuweka kumbukumbu kwa njia ya video

Ukitaka kufahu alivaaje ,alisali aje nenda kwenye utamaduni wa wayahudi utapata majibu unayoyahitaji

utayapata yote kwenye biblia maandishi ya meandika wayahudi sio wafuasi wa yesu
 
Back
Top Bottom