Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

Naomba kuuliza kwa wote wanaomuamini Yesu

Hivi Muhamad angezaliwa Greenland angevaa kanzu au sweta?
Hivi Muhamad alikuwa Na smartphone?
Hivi Muhamad aliingia Jamii forums?
Hivi kipindi cha Muhamad kulikuwa Na maspika misikitini?
Kipindi cha Muhamad walivaa miwani Na Boxa?
Kipindi cha Muhamad waliweka umeme misikitini? Walipikia gesi?
Kipindi cha Muhamad walisafiri Kwa gari au ngamia?
Hivi wanaopigana jihad sikuizi (kina Al-Shabaab) wanatumia mapanga au bunduki? Muhamad alitumia Nini?
 
Kuna ushahidi wowote wa jibril kuongea na muhammad?

History ya Yesu ipo mpaka nje ya Biblia , historian wameandika alikuwepo

Ila ya Isa haipo popote zaidi ya muhammad kutuambia kaambiwa na jibril
Unamjua lakini Jibril?
 
Nina akili timamu ati! Swali lilikuwa wafuasi wa Yesu ni akina nani. Nimekupa mistari ya alichosema Yesu na waliokifuata. Unaanza kuleta spins kama ilivyo ada.

Nimazikataa hizo spins. Jibu limeeleweka..!!
maneno meeengi m nijibu kile kijiswali tu kma kweli unajiamini
 
maneno meeengi m nijibu kile kijiswali tu kma kweli unajiamini
Si nimekwambia ufungue uzi kama ni swali la muhimu. Ni tag majibu yapo. Kukwepesha hilo jibu mujarab ndio kitu hutaweza kunishawishi. Acha libaki hivyo wasomaji waelimike. Hakuna spinning hapa!
 
Hivi Muhamad angezaliwa Greenland angevaa kanzu au sweta?
Hivi Muhamad alikuwa Na smartphone?
Hivi Muhamad aliingia Jamii forums?
Hivi kipindi cha Muhamad kulikuwa Na maspika misikitini?
Kipindi cha Muhamad walivaa miwani Na Boxa?
Kipindi cha Muhamad waliweka umeme misikitini? Walipikia gesi?
Kipindi cha Muhamad walisafiri Kwa gari au ngamia?
Hivi wanaopigana jihad sikuizi (kina Al-Shabaab) wanatumia mapanga au bunduki? Muhamad alitumia Nini?
Aiseee chuki haisaidii bali elimu itakutoa kwenye huo ujinga ulokuwepo
umesikia we kafiri?
 
Si nimekwambia ufungue uzi kama ni swali la muhimu. Ni tag majibu yapo. Kukwepesha hilo jibu mujarab ndio kitu hutaweza kunishawishi. Acha libaki hivyo wasomaji waelimike. Hakuna spinning hapa!
hizi ndo hoja za kukubali kushindwa
kubali kua Mungu wa biblia ni mpumbavu
 
Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako


Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
Ngoja na mimi nikuulize kitu, hivi kanzu ilikuwa ni vazi la ibada au lilikuwa ni vazi la utamaduni wa wayahudi? Au walikuwa wanashinda na mavaz mengine wakitaka kwenda kusali ndio wanavaa kanzu?
 
hizi ndo hoja za kukubali kushindwa
kubali kua Mungu wa biblia ni mpumbavu
Kama una hoja fungua uzi. Kutukana hakujawahi kuwa hoja. Kama unaona ni hoja nyepesi achana nayo. Majibu ya swali lako ni nani nimekuwekea pale na mifano halisi.

Naona yamekugusa sasa unahangaika na vitu ambavyo havihusiani. Kama huna kifua cha kupokea majibu magumu usipemde kuuliza maswali!
 
Kama una hoja fungua uzi. Kutukana hakujawahi kuwa hoja. Kama unaona ni hoja nyepesi achana nayo. Majibu ya swali lako ni nani nimekuwekea pale na mifano halisi.

Naona yamekugusa sasa unahangaika na vitu ambavyo havihusiani. Kama huna kifua cha kupokea majibu magumu usipemde kuuliza maswali!
hhhhhhhhhh biblia yenu ndo inasema ivo sio mm sasa mm nimekuuliza tu
 
nguo anazovaa baba yako ndizo Yesu alizivaa pia,hata anazovaa mama yako pia Bikira Maria alizivaa pia.hapo umeelewa bila shaka
 
Nani ana chuki Mimi au wewe?
Em ondoa chuki ujaribu hata kidogo kutumia Hilo boga juu ya Shingo yako kujibu maswali yangu
kwani mm mara ya kwanza kuona comments zako? Elimu Elimu Elimu
 
Mungu ana mifano mkuu maana hata sisi tu ni mfano wake! Na maandiko mengi yamemtolea mfano katika nafasi za kibinadamu maana maandiko yanaonesha yeye anawaadhibu viumbe wake kama baba mzazi anavyomuadhibu mwanaye!

Vile vile kuna maandiko yanasema mume anatakiwa awe kiongozi wa mkewe kama ambavyo Mungu Baba ni kiongozi kwa mwanaye Yesu! Yaani biblia inasema kwenye familia watoto wako chini ya mama na mama yuko chini ya baba!

Kama ambavyo kanisa liko chini ya Yesu na Yesu yuko chini ya Mungu! So biblia imemfananisha Mungu na baba, Yesu na mama, Kanisa na watoto kwahiyo katika uelewa wa kibinadamu Mungu hufananishwa na vitu ili sisi tumuelewe!

Ofcourse God is inseparable kama ambavyo yai ni inseparabale except under certain circumstances! Hata yai ukishaligawanya linakuwa siyo yai tena bali utaita kila kipande kutokana na jina lake ila vikiwa pamoja ndiyo yai!

So bado sijaona hoja ya wanaoupinga utatu mtakatifu! Hiyo mifano tunayotoa ni ili kuwaelewesha binadamu maana hata biblia kuna mifano imetoa kuhusu Mungu ambayo ni ya kibinadamu kabisa ili tuelewe lakini haiondoi sifa ya Mungu!
Sawa, ila ujue hakuna kitu kinachofanana na Mungu. Yai under circumstances umesema ni inseparable. Haliwezi kuwa mfano wa Mungu. Hata Biblia inaposema tumeumbwa kwa mfano na sura ya Mungu haimaanishi sisi ni mfano (illustration) bali mfano (image) Mungu ametuumba ku reflect baadhi ya tabia zake kama Haki, mantiki, utashi, utu na kadhalika. Ila haina maana ukimwangalia mwanadamu ana illustrate Mungu alivyo!
 
hhhhhhhhhh biblia yenu ndo inasema ivo sio mm sasa mm nimekuuliza tu
Ni ujinga wako tu. Biblia haisemi hivyo. Hiyo ni tafsiri yako na sio inachosema Biblia.

For the last time, kama ni mada muhimu sana kwako fungua uzi. Else utoto utoto wa aina hii haisaidii kumfanya maamuma empty wahed genius!
 
Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako


Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
Unauliza kwa sababu huelewi,unapima uelewa wa watu au kuna mambo umekaririshwa unakuja kupima upepo kwa wenye Yesu wao.
 
Ni ujinga wako tu. Biblia haisemi hivyo. Hiyo ni tafsiri yako na sio inachosema Biblia.

For the last time, kama ni mada muhimu sana kwako fungua uzi. Else utoto utoto wa aina hii haisaidii kumfanya maamuma empty wahed genius!
kafungue iyo kama hutokuta kwnye iyo bible yako
inaonekana ata huisomi iyo bible
 
Ni ujinga wako tu. Biblia haisemi hivyo. Hiyo ni tafsiri yako na sio inachosema Biblia.

For the last time, kama ni mada muhimu sana kwako fungua uzi. Else utoto utoto wa aina hii haisaidii kumfanya maamuma empty wahed genius!
naona povu jingi m situkani haswaaa ila nimequote tu from your bible hlf unaikataa bible yko mwenyewe
 
Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako


Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
Aliyafanya yote yapaswayo kufanywa katika tamaduni ya myahudi wa wakati huo. Naye mama yake vivyo hivyo alitenda sawa na taratibu za mwanamke wa Kiyahudi. Asante.
 
Back
Top Bottom