Okay inahusianaje na Allah kuwa na mwili na kama ana qualify kwa vigezo vyako? Assume Biblia ina hayo yoote unayoyasema.Jibu rahisi biblia imejaa contradictions na uongo mwingi kuliko ukweli. Kuna mtu duniani ana propaganda kushinda mzungu. Hizi historia za karibuni wametupiga porojo nyingi itakuwa kwenye biblia yenye matoleo mbalimbali
Naona swali limekuwa zito, unawayawaya tu, mara Biblia mara Wayahudi wakati swali halihusishi Biblia wala hayo matakataka ya picha unayookoteza.Nashukuru kwa kuelewa Yesu sio Mungu. Kwanza uelewe kwanza Allah ni kiarabu kwa kingereza ni 'the God' Nikutoe huo ukilaza kwanza. Wayahudi wanamwita jina lingine 'Hashem'.
Usije ukawa jina linakuchanganya.
Nimeshakupa mfano
Je! Huoni kwamba vinamsujudia Mwenyezi Mungu viliomo mbinguni na viliomo katika ardhi, na jua, na mwezi, na nyota, na milima, na miti, na wanyama, na wengi miongoni mwa watu. Na wengi imewastahiki adhabu. Na anaye fedheheshwa na Mwenyezi Mungu hana wa kumhishimu. Hakika Mwenyezi Mungu hutenda apendayo.
(Qur'an 22:18)
Nakupa mfano hapo milima, jua, mwezi na nyota vimepewa sifa ya kusujudu ambayo ni viumbe hai na haina maana ni maumbo ya kibinadamu.
We akili yako inakutuma Mungu yupo mfano kama wa huyu mzungu matokeo yake mnamuabudu.
Hizo copy n paste unazozinukuu hazihalalishi huyu jamaa kuwa Mungu. Swali ushajibiwa Mwenyezi Mungu hafanani na hata mmoja kwa viumbe vyake alivyoumbwa. Hizo 'human attributes' zinakuchanganya matokeo yake unakuja kukufuru hapa.
Ndiyo maana makanisani wanaibuka watu wanajiita miungu. Kijana Acha kukufuru Mwenyezi Mungu hafanani na kiumbe chake hata mmoja.
We anakuhusu nini?Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako
Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
Allah ni Mungu wa viumbe vyote sio kwangu tu. Ndiye aliyeumba kila kitu.Okay inahusianaje na Allah kuwa na mwili na kama ana qualify kwa vigezo vyako? Assume Biblia ina hayo yoote unayoyasema.
Sasa jibu swali kama Allah ni mungu kwako ama la!
Najua umeelewa. Nitakuewekea picha na video sababu maandishi matupu kichwa kimekuwa kigumu.Naona swali limekuwa zito, unawayawaya tu, mara Biblia mara Wayahudi wakati swali halihusishi Biblia wala hayo matakataka ya picha unayookoteza.
Umeajikamata kwa maneno yako sasa unakukuruka tu. Acha nikupotezeee. Wenye akili wameelewa kuwa huna hoja!
Nitakuwa najadiliana na mtoto tu. Akili za primary hizi!Najua umeelewa. Nitakuewekea picha na video sababu maandishi matupu kichwa kimekuwa kigumu.
Hiyo sio chokochoko ni mijadara ya kidiniSasa unauliza nini wakati unafahamu unachokiuliza acha chokochoko kwa watu wenye Yesu wao wewe endelea kuamini unavyoamini.
Ujumbe umefika. Yesu sio Mungu. Usilazimishe mambo ya propaganda.Nitakuwa najadiliana na mtoto tu. Akili za primary hizi!
Hujui kama ndani ya Quruani kuna vitabu vyoteKifupi kabisa ni kwamba, Uislamu haujakanilika!
Ni imani pekee Duniani ambayo inategemea imani nyingine ili ikamilike.
Bora hata wabaoabudu Ng'ombe hawahitaji dini nyingine kujikamilisha.
Uislamu haupo bila kujihalalisha kwa Ukristo
Nauliza maswali kutokana na uelewa wa watu jinsi watakavyojibu,labda nikuulize wewe Ukristo ulianzishwa na nani?Pamoja na kujiunga jf juzi ila maswali kama haya yanaulizwa huko facebook, ni ya kitoto sana.
Then kama walivaa kanzu na akasujudu what gonna get fixed your heart.
Wewe una amini una maarifa, hayo maarifa ya hicho kitabu yanakufanya uamini ni cha kweli?ajabu ni kwamba hizi hoja kuna mtu zimemfanya awe muislam kinda kinda na yupo tayari kuzifia akiamini ana hoja zinto.
Wakati fulan uko nyuma nikapata Msala nikatupwa Gwanta siku 14.
ndani ya Sero yetu kulikuwa na sehem ndogo kwa ajili ya ibada ya waislamu nikawa najumuika kama kawaida.
katika kundi ilo la waumini ndani ya sero yetu nikafahamiana na kijana mmoja mwenye mkazo wa imani mbali na kuwa ni mtu pekee aliyekuwa ana hakikisha maji ya kushikia hudhu hayakosekani alikuwa ni mtoa Adhana.
baadae nikagundua anaitwa Charles, na ameslimu miezi kadhaa uko nyuma.
siku moja sikumbuki nini kilituingiza katika mjadala wa uislamu na ukristo.
akaniambia:, kilichofanya nislim mbali na sababu zingine zote ni pale kila nikifungua Biblia kuisoma na kutana na Neno Wagidion WAFANYABIASHARA .anaendelea kusema:, nilikuwa najiuliza, kwanini neno la Mungu lifanyiwe biashara?.
Inamaana hawa Wagidion wamekoswa biashara ya kufanya hadi wafanye biashara ya neno la Mungu!! toka hapo nikajua ukristo na biblia kwa ujumla ni utapeli, nikaamua kuslimu.
kwake Charles concept ya TRINITY haikuwa shida , swala la Yesu kuvaa ama kutovaa kanzu, kusujudu etc vyote hivyo kwake si hoja, hoja kwake ni WAGIDION wafanyabiashara😂😂.
nilimuangalia kwa sekunde kadhaa kwa umakini nikagundua upungufu wa maarifa ndiyo umemtoa katika imani yake ya hawali si wa Gideon, angelijaribu kutafuta maarifa jina wagidion lisingempa shida.
Watu wangu wanaangamia kwa kukoswa MAARIFA*.
kuna makumi out there wanaslimu kwa hoja kama hizi.
Hoja za kuwafanya waslimu ni hizi hizi kama za mleta Mada , kwakuwa hawana maarifa uwaona wahubiri wa hoja hizi kama watu watafiti na makini kumbe ni chenga tupu.
MwenyEnzi MUNGU ni wa pekee Ametakasika Hajazaa wala kuzaliwa ,hana anayefanana naye hata mmoja Yesu ni mtume na Nabii wa MUNGU kama mitume & Nabii wengine kazaliwa na mama kama wewe MUNGU hawezi kuzaliwa sasa kipindi yupo tumboni mwa mama yake maryam nae alikuwa mwanamke mchaMungu alikuwa unataka kusema akiomba kile kilichopo tumboni mwake ?pia baadhi ya wengi kwa kutokuwa na uelewa hushindw kutofautisha miujiza waliopewa mitume kwa mitume mfn Nabii Adam hakuwa na Baba wala mama tofauti na mitume wote na ndio Mwanzo was binadamu wote ulimwenguni mfn mwingine musa kupita kati ya bahari na wana Israel ,mfalme Suleiman kuamrisha majini kufanya shughuli mblmbl pmoja na hekima aliobarikiwa na utajiri ambao hautawahi kuwa nao yeyote ule ulimwenguni ,yunus kumezwa na samaki n.kSikuomba nukuu na hiyo picha sio Biblia. Nilichouliza ambacho hujajibu, wewe binafsi, una tatizo gani na Uungu wa Yesu? Yaani jisemee wewe na sio cpy and paste au picha, una tatizo gani na Yesu kuwa Mungu?
Kwani Wayahudi ni Waisalam?Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako
Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
Wapo waislamu, Wakristo, judaism, paganism,nkKwani Wayahudi ni Waisalam?
Lakini miaka ike Yesu anazaliwa kulikuwa na Waislam?Wapo waislamu, Wakristo, judaism, paganism,nk
Ukitaka kufikiria mambo ya Mungu wa wakristo unatakiwa dhana Yako ya Mungu wako Allah ambae ni physical being uiweke pembeniMwenyEnzi MUNGU ni wa pekee Ametakasika Hajazaa wala kuzaliwa ,hana anayefanana naye hata mmoja Yesu ni mtume na Nabii wa MUNGU kama mitume & Nabii wengine kazaliwa na mama kama wewe MUNGU hawezi kuzaliwa sasa kipindi yupo tumboni mwa mama yake maryam nae alikuwa mwanamke mchaMungu alikuwa unataka kusema akiomba kile kilichopo tumboni mwake ?pia baadhi ya wengi kwa kutokuwa na uelewa hushindw kutofautisha miujiza waliopewa mitume kwa mitume mfn Nabii Adam hakuwa na Baba wala mama tofauti na mitume wote na ndio Mwanzo was binadamu wote ulimwenguni mfn mwingine musa kupita kati ya bahari na wana Israel ,mfalme Suleiman kuamrisha majini kufanya shughuli mblmbl pmoja na hekima aliobarikiwa na utajiri ambao hautawahi kuwa nao yeyote ule ulimwenguni ,yunus kumezwa na samaki n.k