Kigugumiza
JF-Expert Member
- Mar 7, 2022
- 508
- 687
- Thread starter
-
- #421
Wewe umekula maharage ya wapi?huo Uisilamu unapozungumzia wa wapi?Je unaweza kutupatia ushahidi katika bibilia
Kumbuka uisilamu uliletwa Kwa ajiri ya majini ndo màana Muhamadi alipopokea Imani ya usilamu alienda katika fukwe za Madina na kuhubiria majini ndio viumbe vya kwanza kuamini na kusilimu
Je duniani usilam ulishuka Kwa mhamad ndiye mtu wa kwanza kuupokea usilamu
Kwa mjibu kitabu Cha maisha ya Muhamada na asili ya uislamu huko Madina na Taipei.
Mbali na mabikira sabini na mbili,Mkuu nakuheshimu,Ila nakuonea huruma jinsi ulivyo mtupu kichwani.
Tatizo mnachanganya vitu viwili yaani mila na desturi na hicho unachokiita dini
Ina maana kama Yesu,Masihi angezaliwa Ngorongoro wote sahizi tuvae mashuka,masime viunoni huku wanawake wamejaza mzigo wa shanga shingoni
Na kichwani upara Dunia nzima.
Halafu kama wewe unaipenda Dini yako mbona hujajilipua mpaka muda huu
Wenzio saizi Wana baruti na mabomu mfukoni stand by kwaajili ya Allah ,we upo na Tecno yako unakuja na hoja za kipuuzi
Au hutaki mabikira sabini[emoji23][emoji23][emoji23]