Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HapanaLakini miaka ike Yesu anazaliwa kulikuwa na Waislam?
Hiyo ni imani yako,na inaweza ikawa ni kishamba tu hata MUNGU haitambui, eti ikitungwa mimba kuna dua inasomwa, aliyekwambia watu wengine hawaombei mimba zao nani?watu wengi kwenye hizi imani mmevaa ujinga mwingi sana wa kidharau imani ya mwingine ilihali yamkini ninyi ndo mko wrong kuliko hata mpaganiNgoja leo upewe elimu ya bure,Mungu amemfundisha mwanadamu kila kitu ila ni ukaidi tu wa Mwanadamu,Kuanzia inapotungwa mimba yako kuna Dua ya kusoma,Mtoto anapozaliwa inabidi asomewe adhana kwenye sikio lake la kulia na Ikama kwenye sikio lake la kushoto,Unapokula ule kwa mkono wa kulia,unapokaa chooni kuna stairi yake ya kukaa,unapolala usilalie upande uliyopo moyo kwa mda mrefu,unapotembea kwa Miguu kama unaende kulia pindi upande wa kushoto.Mengi sana ngoja niishie hapa
MwenyEnzi MUNGU ni wa pekee Ametakasika Hajazaa wala kuzaliwa ,hana anayefanana naye hata mmoja Yesu ni mtume na Nabii wa MUNGU kama mitume & Nabii wengine kazaliwa na mama kama wewe MUNGU hawezi kuzaliwa sasa kipindi yupo tumboni mwa mama yake maryam nae alikuwa mwanamke mchaMungu alikuwa unataka kusema akiomba kile kilichopo tumboni mwake ?pia baadhi ya wengi kwa kutokuwa na uelewa hushindw kutofautisha miujiza waliopewa mitume kwa mitume mfn Nabii Adam hakuwa na Baba wala mama tofauti na mitume wote na ndio Mwanzo was binadamu wote ulimwenguni mfn mwingine musa kupita kati ya bahari na wana Israel ,mfalme Suleiman kuamrisha majini kufanya shughuli mblmbl pmoja na hekima aliobarikiwa na utajiri ambao hautawahi kuwa nao yeyote ule ulimwenguni ,yunus kumezwa na samaki n.k
Elewa nachozungumza mkuu hili jambo hata sio la kuhitaji ubishi, nakwambia anayekusudiwa hapo ni mmoja pamoja ingawa kuna hizo tofauti kutoka kwenye vyanzo tofauti. Sasa ukisema hao ni watu wawili tofauti vp hayo mengine wanayofanana?Uliisoma comment yangu inayotofautisha Isa siyo Yesu?
Kama hukuisoma, kaisome tena uniambie Isa anakuwaje Yesu.
Ukiweza kujenga hoja kuwa Isa ni Yesu sina neno kabisa.
Shida siyo hiyo. Unaamini mtu anaweza kuzaliwa na mama wawili tofauti akawa bado mtu yuleyule?
Lakini ukisoma kitabu chake hakina makandokando kinaeleza ukweli mtupuNi Upuuzi mkubwa sana kumuamini Mtu aliyejitokea tu Pangoni mwaka 600AD kisha akaanza kusema yaliyotokea mwaka 33AD Ni uongo....
Na kwamba yeye ndiye mkweli Wakati hata kusoma na Kuandika Tu Hufahamu.
Ni hudhuni kwa kweli.
Kwahiyo point ni kutangulia kusema ndio huhesabika kuwa ni yaliyosemwa ni ya ukweli?Ni Upuuzi mkubwa sana kumuamini Mtu aliyejitokea tu Pangoni mwaka 600AD kisha akaanza kusema yaliyotokea mwaka 33AD Ni uongo....
Na kwamba yeye ndiye mkweli Wakati hata kusoma na Kuandika Tu Hufahamu.
Ni hudhuni kwa kweli.
Pole sana ndugu yangu na mimi mwenywe nilikuwa kama wewe nilikuwa nafuata ya wanadamu baadala ya mwenyezi MunguHiyo ni imani yako,na inaweza ikawa ni kishamba tu hata MUNGU haitambui, eti ikitungwa mimba kuna dua inasomwa, aliyekwambia watu wengine hawaombei mimba zao nani?watu wengi kwenye hizi imani mmevaa ujinga mwingi sana wa kidharau imani ya mwingine ilihali yamkini ninyi ndo mko wrong kuliko hata mpagani
Ulizia dini zilizoko Israel ndiyo utapata jibu lakeKwani Wayahudi ni Waisalam?
Dah! Isa mama yake ni Mariam mtoto wa Amrani.Elewa nachozungumza mkuu hili jambo hata sio la kuhitaji ubishi, nakwambia anayekusudiwa hapo ni mmoja pamoja ingawa kuna hizo tofauti kutoka kwenye vyanzo tofauti. Sasa ukisema hao ni watu wawili tofauti vp hayo mengine wanayofanana?
Hii ndii similarity ambayo tunaweza sasa kuijadili kwa sababu Biblia pia inasema Malaika wana asili ya moto na kuwa kuna malaika waasi na Malaika wema. At least hiki ni kitu ambacho kina mantiki ya kujadili bila kulazimishiaMfano waislamu huwa wanazungumzia viumbe majini kwamba ni viumbe vilivyoumbwa kwa moto na kwamba kuna wema na waovu ila wakristo wanasema majini ndio wale malaika waovu na ukiangalia sifa za majini zinazoelezwa ni tofauti na hao malaika, je tuseme Mungu kaumba malaika ambao ndio kuna wengine ni wale malaika waovu na pia kaumba viumbe majini?
Wewe si umeuliza wakati wa Yesu? Sasa wakati huo kulikuwa na Uislam?Ulizia dini zilizoko Israel ndiyo utapata jibu lake
Uislam upo toka kuumbwa kwa AdamuWewe si umeuliza wakati wa Yesu? Sasa wakati huo kulikuwa na Uislam?
🙊🙊🙊🙊Uislam upo toka kuumbwa kwa Adamu
common sense isn't common.Wewe una amini una maarifa, hayo maarifa ya hicho kitabu yanakufanya uamini ni cha kweli?
Kama una maarifa unaweza thibitisha kuwa una maarifa au ndio nyani haoni kundule!
Relegion books are all myth_ so you have to belive myth or not, nothing can be proven outside those books.
Unavyomuona huyo charles hana maarifa nawe kuna watu wanakuona huna maarifa kwa kujenga imani isiothibitika kwa mwingine.
Dini moja huiona dini nyingine kituko. Ukweli ni kwamba umerithi imani kutoka kwa wazazi, huja fanya analysis ya dini zote na kubaini ukweli. Ukifanya critical analysis utagundua mengi ni hadith zinazokulazimu uziamini bila ithibati.
Mkuu nakuheshimu,Ila nakuonea huruma jinsi ulivyo mtupu kichwani.
Tatizo mnachanganya vitu viwili yaani mila na desturi na hicho unachokiita dini
Ina maana kama Yesu,Masihi angezaliwa Ngorongoro wote sahizi tuvae mashuka,masime viunoni huku wanawake wamejaza mzigo wa shanga shingoni
Na kichwani upara Dunia nzima.
Halafu kama wewe unaipenda Dini yako mbona hujajilipua mpaka muda huu
Wenzio saizi Wana baruti na mabomu mfukoni stand by kwaajili ya Allah ,we upo na Tecno yako unakuja na hoja za kipuuzi
Au hutaki mabikira sabini[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako
Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
Mababu zetu walivaa magome ya miti wewe unavaa?Hivi yesu alivaa kanzu au Suluari?na alitawaadha au hakutawadha,na alipiga ishara ya Msalaba au alisujudu. Alikaa kwenye mabenji wakati wa kuswali au alikaa chini kitako
Na mama yake pia Bikira Maria alivaa gauni,sketi,suluari,au Baibui? Alivaa Hijabu au aliacha kichwa wazi,alipiga ishara ya msalaba au alisujudu,aliimba kwaya wakati wa kusali au alikaa kimya
Sifa za majini ni tofauti na malaika, kwanza waislamu wanawazungumzia majini kama viumbe ambao wameumbwa na Mungu na si kwamba ni kundi fulani la malaika ila wakristo hawasemi kwamba Mungu aliwahi kuumba majini bali kundi fulani la malaika ndio huwaita majini na ukiangalia sifa za hao majini ni tofauti na malaika.Dah! Isa mama yake ni Mariam mtoto wa Amrani.
Mariam mtoto wa Imrani katika Biblia ni dada wa Musa na Haruni. Kwa mujibu wa Biblia waliishi miaka yapata 900+ kabla ya Yesu.
Sasa kama kwenye Biblia angetajwa mtoto wa Mariamu dada wa Musa tjen akaja mtu akasema huyu ndio Isa wa Qurani, kichaa pekee angekataa. Kwa sababu kimsingi angekuwa mi mtu yule yule.
Ika kusema Mariam aliyeishi karne ya 1000BC somehow ndiye Mariamu aliyeishi karne ya 1AD haina mantiki kabisa
Hii ndii similarity ambayo tunaweza sasa kuijadili kwa sababu Biblia pia inasema Malaika wana asili ya moto na kuwa kuna malaika waasi na Malaika wema. At least hiki ni kitu ambacho kina mantiki ya kujadili bila kulazimishia