Naomba kuuliza kwani Siku hizi tunavishana Nishani za JWTZ kwa Unguja na Pemba au ni kwa Utanzania wetu kumaanisha Umoja wetu?

Naomba kuuliza kwani Siku hizi tunavishana Nishani za JWTZ kwa Unguja na Pemba au ni kwa Utanzania wetu kumaanisha Umoja wetu?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob Mkunda kwa niaba ya Rais Samia Suluhu Hassan amewavisha nishani mbalimbali majenerali, maafisa na askari wa Jeshi la Ulinzi wa Wananchi Tanzania (JWTZ) kutoka Pemba na Unguja - Zanzibar katika hafla iliyofanyika leo Oktoba 25, 2024 .

Nishani hizo ni za utumishi uliotukuka, utumishi mrefu, tabia njema, miaka 60 ya muungano pamoja na nishani ya miaka 60 ya JWTZ.

Aidha, Jenerali Mkunda amewavisha nishani ya Jumuiya ya SADC maafisa na askari walioshiriki ulinzi wa amani nchini Msumbiji chini ya mwavuli wa jumuiya hiyo.

Chanzo: azamtvtz

Ukiona hata Mtu anayetakiwa Kujiamini mno mahala alipo nae anaanza Kujipendekeza jua Hatari imejificha mahala.
 
Jeshi lipo imara. Huko ni eneo la kimkakati lazima tuoneshe tunamamlaka nalo.
 
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania (CDF), Jenerali Jacob Mkunda kwa niaba ya Rais Samia Suluhu Hassan amewavisha nishani mbalimbali majenerali, maafisa na askari wa Jeshi la Ulinzi wa Wananchi Tanzania (JWTZ) kutoka Pemba na Unguja - Zanzibar katika hafla iliyofanyika leo Oktoba 25, 2024 .

Nishani hizo ni za utumishi uliotukuka, utumishi mrefu, tabia njema, miaka 60 ya muungano pamoja na nishani ya miaka 60 ya JWTZ.

Aidha, Jenerali Mkunda amewavisha nishani ya Jumuiya ya SADC maafisa na askari walioshiriki ulinzi wa amani nchini Msumbiji chini ya mwavuli wa jumuiya hiyo.

Chanzo: azamtvtz

Ukiona hata Mtu anayetakiwa Kujiamini mno mahala alipo nae anaanza Kujipendekeza jua Hatari imejificha mahala.
huyu mama must go. tumsaidie kwa kumnyima kura mwaka huu.
 
Back
Top Bottom