Until_The_End
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 1,456
- 2,202
Petro mwamba alisurubiwa wapi? Hakuna Ukristo bila kanisa katoliki, hili unajidanganya mwenyewe.Tatizo wana theolojia wengi hujikita zaidi kwenye historia ya kanisa katoliki sio historia ya Ukristo kwenye Biblia
Kwa hiyo wana theolojia wengi huelezea historia ya Ukristo kama historia ya kanisa la Roman Catholic
Wanaanza na u roman Catholic ulivyoanza na baadaye kugawanyika na kuongelea madhehebu yaliyoibuka kutokea Ukatoliki na kujifanya wasomi wa Historia ya kanisa
Historia ya kanisa haianzii kwenye mwanzo wa kanisa katoliki.Hilo lilianzishwa miaka kibao toka Yesu afe ,kusulubiwa na kufufuka ni dini ilikuja baadaye sana tena mno
Ndio maana hupotoka wakiongelea historia ya Ukristo
Wanajikita kuongelea historia ya kanisa la Roman Catholic badala ya historia ya Ukristo
Mchawi baba yako kuwa na heshimu na dini za watuDini ya ugaidi na uchawi
Dini ya ugaidi na uchawiMchawi baba yako kuwa na heshimu na dini za watu
Waislam ndio wanaingoza kwa kutoa sadaka ya maji kama hili hulijui basi labda unaishi mwakaleliWasabato, wakatoliki na waislam wanaabudu wasichokijua
"Ulitoka kwa wayahudi" sasa wokovu upoWokovu unatoka kwa wayahudi , sio Vatican!
Shetani na mwanadamu walitupwa Duniani baada ya kumuasi MunguSwali alifahamu huyo shetani atamuasi? Regardless na free will unayozungumzia
Nakubali.... !!"Ulitoka kwa wayahudi" sasa wokovu upo
Walokole wana tofauti gani na Zumaridi? Wahuni waliojificha kwenye unafki tuWasabato, wakatoliki na waislam wanaabudu wasichokijua
Hakuna mtumishi wa Mungu wa namna hiyo.Mwamposa usimguse hapo, huyo ni Mtumishi wa Mungu.
Watu wamekesha leo kwenye mkesha wa chako ni chako.
huwezi kuwapangia watu waishi unavyotaka weweMzee me sitaki kuwapangia maisha lakn najaribu kuwaza kwa sauti,inakuaje kanisani jumamosi hio hio unaenda kutoa sadaka ili mchungaji aishi halafu ww hutak kuuza maji
Inategemea na Mtazamo wako, mti wenye matunda ndio unarushiwa mawe.Hakuna mtumishi wa Mungu wa namna hiyo.
Wasabato wenzangu tunafeli wapi ,tusiifanye sabato kua mzigo ndugu zangu , angetakiwa afungue mlango msalimiane kwa upendo akuruhusu kuchota maji ,alafu wakati wakumpa pesa akuambie leo nisabato siuzi maji hayo nimekusaidia ,ingekusaidia wew pia kujua kumbe siku ya sabato maji hayauzwi, pole sana kwakukwazwaHUwez amini yaan kanikuta lilipo bomba ye anakua kwa ndan mnaongea kwny tundu la ukuta,asee kanambia hawauzi kisa leo sabato,yan nshu km maji ambayo unajua umuhimu wake ila dini yako ya mapokeo inakukataza kuuza maji kwa jirani yako
Mm nimsabato nazani huyo msabato mwenzangu kakosea ,angetakiwa ampe maji bure nakumwambia leo nisabato siuz maji ,ingemsaidia sik nyingine kujua kua leo nisabato majirani hawauzi maji, lakini muuza maji angefanya jambo la huruma na laupendo ,sabato njemaMIMI SIO MSABAYO ILA NAHESHIMU ITIKADI ZAO,HUPUNGUKIWI KITU UKIHESHIMU UTARATIBU WA MTU,LEO IMEKUKUTA SABATO SABABU SIKU YA SABATO HAWAFANYI KAZI MPAKA SAA 1 JIONI.HAWA NDUGU HATA KUPIKA HAWAPIKI SEMBUSE KUKUUZIA MAJI.
Hoyo mama hakufanya vizuri kwanini asingempa maji bure nakumwambia leo nisabato hatuuzi maji , Wasabato tunaufanya unjilisti kua kitu kigumu sanaAliyekunyima maji Yuko sahihi Kwa sababu zifuatazo.
1. Uumbaji. Mungu aliumba mbingu na nchi Kwa siku sita na siku ya saba siku ya sabato mungu alipumzika na kustarehe hakufanya kazi yoyote.
2. Kutakasa sabato. Mungu kaagiza katika amri kumi kwamba ikumbuke siku ya sabato na uitakase usifanye kazi yoyote wala mnyama wako wala mgeni aliye ndani ya malango yako wala chochote ulichonacho kisifanye kazi siku ya sabato.
Maji anauza. Ni biashara. Mbona waislamu saa ya kuswali maduka hayaachwi wazi mchukue bure? Wewe siku ya sabato unatoaga vitu bure? Acha unafiki kwa msabato mwenzio.Mm nimsabato nazani huyo msabato mwenzangu kakosea ,angetakiwa ampe maji bure nakumwambia leo nisabato siuz maji ,ingemsaidia sik nyingine kujua kua leo nisabato majirani hawauzi maji, lakini muuza maji angefanya jambo la huruma na laupendo ,sabato njema
Nikweli nibiashara lakin ndio maana siku ya sabato hauzi kwasababu ya imani yake , so yeye angempa maji bure kuliko kumnyima,Maji anauza. Ni biashara. Mbona waislamu saa ya kuswali maduka hayaachwi wazi mchukue bure? Wewe siku ya sabato unatoaga vitu bure? Acha unafiki kwa msabato mwenzio.
Sasa ikishakuwa biashara unatoaje bure? Ndo nimeuliza siku ya sabato wewe unatoa vitu bure?Nikweli nibiashara lakin ndio maana siku ya sabato hauzi kwasababu ya imani yake , so yeye angempa maji bure kuliko kumnyima,