mimi na wasabato ni maji na mafuta.naona tutadumu milele Amina
Haswaaa mwezi huuπ₯ΆWabena wanajua kuganda !!!
bila kuandka ilo neno wasabato hupumuimimi na wasabato ni maji na mafuta.
Kabaridi haka au!!?Haswaaa mwezi huuπ₯Ά
Sasa si ndio ukwelibila kuandka ilo neno wasabato hupumui
uuuuweeeeh haka kabaridi bila jiko lenye mkaa unaganda kufaKabaridi haka au!!?
mimi sio msabato,, niltaka nikugande ila umenikata hamu yoteSasa si ndio ukweli
Unataka unigande kwani tunapiga picha za kugandana za kuchukulia mkopo kausha damu?mimi sio msabato,, niltaka nikugande ila umenikata hamu yote
ππΎππΎππΎββοΈππΎββοΈ Kwaheri yaani mwanaume unachamba hiviUnataka unigande kwani tunapiga picha za kugandana za kuchukulia mkopo kausha damu?
Nmekuuliza, mwanaume hachambi anasema.ππΎππΎππΎββοΈππΎββοΈ Kwaheri yaani mwanaume unachamba hivi
kwenda zako sikugandi tenaNmekuuliza, mwanaume hachambi anasema.
Yani mi nkubali mrangi anigande? π€£kwenda zako sikugandi tena
Kama alivyoandika mada yake
sema usemavyo ila sitaki tenaYani mi nkubali mrangi anigande? π€£
Kaza kamba na moyo kwa pamojasema usemavyo ila sitaki tena
narud zangu kwa Mpaji Mungu ,,afu sijamuona leo sijui yuko wap,,nitamganda hadi kielewekeKaza kamba na moyo kwa pamoja
mkeka umetiki huku kaka Mpaji Mungu .narud zangu kwa Mpaji Mungu ,,afu sijamuona leo sijui yuko wap,,nitamganda hadi kieleweke
ππππ Aaah mshenga mbon umenitega pazuuuri sana,,, nilkua natania tumkeka umetiki huku kaka Mpaji Mungu .
Huyo ndio halali yako maana yeye na Wasabato ni kama moto na petrol.