Naomba mbinu ya kumuacha mwanamke aliyekuganda

Kama amekuganda kasimame juani au kakae karibu na moto atayeyuka tu, au kama vipi tafuta watu wakubandue
 
Bro upo sawa ndio maana mimi nimeng'ang'ana na ephen_
 
Haki ukimuacha huyo shangazi utarogwa! Chezea wabena ww huogopi? Hili kabila wanajua kupenda na ni wavumilivu, ila Sasa mwanamke kakuzidi umri , pambana na Hali Yako, kama humtaki mwambie sikutaki au mblock
 
Sitisha kabisa mawasiliano naye. Njia nyepesi ya kuachana ni kusitisha mawasiliano, baaassiiii
 
Elfu tano ndo nini aat, bado unakupiga hela huyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…