Naomba mbinu (zisizo dhahiri sana) za kumfanya mwanaume akutongoze

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Nimecheka
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ ukitukuta na serum zetu za Larocheposay tunapambana. Ila 35 bado mteke bwana dunia ya leo labda uwe hujipendi.

Wafunzeni watoto wenu wa kiume maadili la sivyo tutapita nao (joking)
mambo ya sunscreenπŸ˜‚ serum sijui dah, oyaa sio poa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ ukitukuta na serum zetu za Larocheposay tunapambana. Ila 35 bado mteke bwana dunia ya leo labda uwe hujipendi.

Wafunzeni watoto wenu wa kiume maadili la sivyo tutapita nao (joking)
Amtoe aut wakanywe bia wakishalewa mambo mengine yatajipa
Hata akimind kesho yake atamwambia zilikua bia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…