Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,041
- 46,239
Namwambia maharage ya Mbeya wewe hamna kitu😂😂😂Atakuambia wanaume huwa hawakatai wanaojileta 😸😸
Baada ya dakika 30 nitakuwa MOI😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namwambia maharage ya Mbeya wewe hamna kitu😂😂😂Atakuambia wanaume huwa hawakatai wanaojileta 😸😸
Anamtoaje out na wanawasiliana tu kwa simu sio kwamba wako eneo moja? Anaanzaje kumwambia wakanywe bia na hata hajui kama anakunywa au la? MtihaniAmtoe aut wakanywe bia wakishalewa mambo mengine yatajipa
Hata akimind kesho yake atamwambia zilikua bia
Nione mbwinu zako hizo... 😂😂Siwezi yani.
😂😂😂si nilitaka kipenyo😅
Kuna flirt zinaonaonesha huyu anakutaka. Azitumie ila kamwe asimwambie nakutaka. Kwa mwanaume kutongozwa Ina cut off Ile Hali ya kiumbe. Atakuto*ba ndio ila ujue anaweza asikurudie. Hapo unltajiona kama mavi. We want what is expensive and not what is cheap. Don't be cheap but flirt.Asante kwa statistics zinazotoa moyo. Yeye uoga wake sio kukataliwa; anaogopa tu jamaa kumuona kicheche na pia kumtangazia kuwa kamtongoza mwenyewe.
Sio ngumu kumtoa out wakifika anamuuliza unakunywa bia au pombeAnamtoaje out na wanawasiliana tu kwa simu sio kwamba wako eneo moja? Anaanzaje kumwambia wakanywe bia na hata hajui kama anakunywa au la? Mtihani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namwambia maharage ya Mbeya wewe hamna kitu[emoji23][emoji23][emoji23]
Baada ya dakika 30 nitakuwa MOI[emoji23]
Kwanini?Hii ndio usijaribu kabisa
Yah, ni hivyo kabisa. Mtu unajistukia kwamba sasa huyu hata akinikubali ntaweza kumudu hata kidogo atakachoniombaSio kujiona hatupo tayari, unakuta mtu anajiweka expensive sana unaona kabisa gharama zitakuwa nyingi bila sababu 😅 maana pisi kali ukiianza kama vile umenenunua madeni ya Songesha.
😂 kuna pisi nadhani siku nikisema nikubali itakuwa hivyo.Kuna demi alitokea kunipenda me nikawa namkazia kimtindo yani siku niliyotamka nakupenda alikuja geto akiwa ameshavua chupi tayari kilichofuata nilimtembezea mkuyenge mwanzo mwisho
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Mbona mnaipinga sana hii mbinu ambayo iliwahi kufanya kazi kwangu, baadae nikaambiwa ulikuwa mtego tu.Zurie hii mbinu usifanye, haina plan b
🤣🤣🤣🤣 hamna maana nyie, na ukiona mwanamke had kakubali kukupa namba ujue na vya sirini atakupa ni suala la muda..!!Kumbe ndio maana namba yako hutaki kutoa eeh😅
😂😂😂😂😂 utoe tu vya sirini ndio maana mi nikinyimwa namba sihangaikagi🤣🤣🤣🤣 hamna maana nyie, na ukiona mwanamke had kakubali kukupa namba ujue na vya sirini atakupa ni suala la muda..!!
Tena ukichelewa kumtafuta anakutafuta yy kukuuliza mbona hupigi au bando huna??
🤣🤣🤣🤣 wifi huyu zurie yy asubiri jamaa anapanga pa kumtafunia bado hajawasoma hawa viumbe..!!😂😂😂😂Huyu ndo wifiyangu naemjua
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kitaa kugumu mpaka hamtongozwi [emoji23] safi sana wanaume tujiepushe na hawa matapeli
Asante kwa nasaha. ItazingatiwaKuna flirt zinaonaonesha huyu anakutaka. Azitumie ila kamwe asimwambie nakutaka. Kwa mwanaume kutongozwa Ina cut off Ile Hali ya kiumbe. Atakuto*ba ndio ila ujue anaweza asikurudie. Hapo unltajiona kama mavi. We want what is expensive and not what is cheap. Don't be cheap but flirt.
Panyaaa ulitegwa na ka punje ka karanga🤣🤣🤣🤣Mbona mnaipinga sana hii mbinu ambayo iliwahi kufanya kazi kwangu, baadae nikaambiwa ulikuwa mtego tu.
Am sure atamwambia msalimie shemej🤣Unaweza ukawa uko sahihi kabisa. Mimi ni mwanaume hivyo najua. Kama unampenda msichana ki-haswa na huyo msichana mnakuwa wote mara kwa mara, na anakuonyesha positive response kwa namna yoyote basi ni lazima utataka kuwahi kumtaka urafiki kabla hajawahiwa na wengine. Mwanzisha thread mwambie huyo rafiki yako afanyie mtihani mdogo sana huyo mwanaume. Wanapokuwa wapokutana huyo dada amwambie nina haraka nakwenda kumuwahi boyfriend wangu ananisubiri, halafu aone ata-respond namna gani.