Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Mwenyewe 🤣🤣🤣🤣Mxxiiiieeeewww [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyewe 🤣🤣🤣🤣Mxxiiiieeeewww [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anauhakika huyo jamaa bado yumo kwenye group hajaleft?Hello hello..
I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)
Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe😀") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.
Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.
Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
Unamsifia kama vile ni mzur wakat ni bati bovuSio mtakatifu, ila sio kicheche. Niamini mimi
Pia sio mrembo kama Tyla wa South Africa ila ni pisi na shepu ipo.
Ilikuwa na mate mazito tuSasa imagine on your mid 20's atokee mshangazi ako 35 plus ile confidence unaitoa wapi ya kumtongoza hata kama unamtaka? Obvious utakuwa unajibebisha tu kwenye sms ila hausemi kile unataka kiwe. I was in that situation kipindi niko Certificate, kuna madam lecture alikuwa anatufundisha Law alikuwa anavutiwa sana na mimi na nilipata kulijua hilo na hasa baada ya kujua nilikuwa zinachaji kuliko wote class. Ilikuwa hivyo hadi namaliza Diploma 2 akawa anakuja hadi nyumbani kumtembelea sister nae alikuwa staff just to see me picha nilikuwa naielewa ila confidence hamna sababu ya age gap.
Asemee UuwiiiiiAtakavyomjubu hajambo yeye asemaje tena?[emoji23]
Mwambie aache ujinga skuizi hakuna mboo za mchezo mchezoHello hello..
I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)
Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe😀") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.
Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.
Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
Aache umalaya, atalala na wanaume wangapi kwa style hiyo ?Yuko single.
Mwambie aandae 20 aje DM nikisomo tuuu hata Kikwette hachomoi shart aplay voice utakayomtumia au uongee naye liveHello hello..
I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)
Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe😀") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.
Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.
Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
AiseeHello hello..
I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)
Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe😀") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.
Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.
Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kitaa kugumu mpaka hamtongozwi 😂 safi sana wanaume tujiepushe na hawa matapeli
Kwendraaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23]Mwenyewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unaweza kudhani ni chai lakini ni jambo la kweli sijawahi hata kumuhadithia yule roommate wangu wala mtu yoyote na sitomuhadithia mtu baada ya kuhadithia humu hii leoUongoo!! [emoji23][emoji23][emoji23]
Eh! kwa mtu unayempenda inauma sana bora asitume tu kuepuka matatizo madogomadogo ya kujitakia[emoji16]Kumbe inawaumiza ?
Basi aache ajaribu mbinu nyingine.Eh! kwa mtu unayempenda inauma sana bora asitume tu kuepuka matatizo madogomadogo ya kujitakia[emoji16]
Kwa njia zote alizoambiwa atakuwa kashaipata moja , aitumie aje kutushuhudia.Basi aache ajaribu mbinu nyingine.
Awe tayari kwa lolote pia.Kwa njia zote alizoambiwa atakuwa kashaipata moja , aitumie aje kutushuhudia.
Me ni mwanaume Joline.No no usijaribu kumtongoza mwanaume kwa kumwambia
baba acha tu na alikuwa mke wa mtu sasa to make matters worse.Ilikuwa na mate mazito tu