Naomba mbinu (zisizo dhahiri sana) za kumfanya mwanaume akutongoze

Naomba mbinu (zisizo dhahiri sana) za kumfanya mwanaume akutongoze

Kila mtu anahisia, na anavutiwa na mtu Fulani awe makini sana, wanaume Huwa wanapenda sana kwa kuvutiwa na baadhi ya mambo!
1. Ajitahidi sana mwonekano, afanye mazoezi, anywe maji mengi ale matunda, mwili uwe vzuri avutie.

2.awe nadhifu, sio mambo mengi, awe na ule unadhifu wa kiasili sio ma urembo mengi no.

3.asiwe na papara, aende taratibu kufanya mengine ambayo wenzangu wameyataja hapo juu!!
 
Ukitaka mwanaume akupende/avutiwe na wewe, mpotezee (ignore him)..
Utammaliza halafu utakuja niita mi kungwi[emoji38]
Watu hatuna muda huo siku hizi wa kuzingushana wakati hizi sukari zinapatikana kwa wingi.
 
Kwani siku hizi wanaume wanatongoza?? Akikuomba namba ndio tyr ushatongozwa hapo jamaa linakulia timing sema ww una haraka tyuuu.!!!
Kweli kabisa..
Akikuomba namba maana yake kakuelewa, na wewe ukitoa namba maana yake umemkubalia. Hapo ni muda muafaka tu unasubiriwa kufanya finishing
 
Hello hello..

I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)

Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe😀") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.

Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.

Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
Content za hivi zinaniboa sijui akili yangu imekuwa kwenda juu au nakaribia utajiri. Samahani mtoa thread
 
Hello hello..

I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)

Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe😀") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.

Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.

Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
Iliwahi kunitokea hii 2019,kuna dada tulikuwa tukiwasilina naye mambo mengine kabisa, kumbe yeye alisha legea nyang'anyang'a na kuoza ju yangu .

Kwahivo alikuwa anatafuta njia ya kunipata ,lakini mimi sikumpa nafasi hiyo kwani alikuwa ni demu wa rafiki yangu na niliheshimu sana mahusiano yao.

Siku moja kanipigia simu majira ya saa kuminambili jioni akiwa ana toka kazini na kwamba tukutane maeneo fulani hapa Dar ,nikamuuliza kuna jambo gani?, akasema wewe njoo nitakwambia ukifika.

Nikaona isiwe tabu ngoja nikamsikiluze shemeji yangu huenda anachangamoto nimsaidie .

Nikawasha chombo huyo nusu saa nyingi nishafika eneo husika .

Nikapiga simu "Hey uko wapi?" ,Kaniambia utaona loge upande wa kulia ,ingia getini kisha uliza counter akuelekeze chumba no (....)

Ooo! Hisia zika anza kuja !!!! , ile namkuta loo!! Kitanda kimetandikwa vema ,sikuuliza tena kuna issue gani mwili ukaanza kujitayarisha na kazi inayo weza kufanyika mda wowote ,Jogoo akawa anawika kwa sauti kuu .

Nikamsalimia kwa salama ya mahaba mazito ,kisha tukavua nguo nzito tukabaki na nyepesi ,tukaanza kupiga stories za hapa napale huku akiniambia namna alivyo umizwa na jamaa yake kwahivo akaona mimi naweza kupunguzia stress zake .Sikuwa na kipingamizi kulingana na mazingira.
Japo kawoga flani kalikuwepo.

Nikamuuliza kama loge inadaiwa ,akaniambia amesha lipa amemalizana nao.

Looo!! Basi tukaoga pamoja na kurudi kitandani halaka sana , fujo zisizo umiza zikaanza ,hatimae mechi !!!!.....


Kwakweli ilikuwa ni siku tamu sana kwangu!! na siwezi isahau!

Namshauri atumie njia hiyo kama njia zingine zimeshindikana.
 
Hello hello..

I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)

Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe😀") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.

Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.

Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
Mwanamme hatongozwi, anaambiwa tu nataka nikutoe out na yeye anaingia kingi ndio hivyo tena.

NB.
Wanaume wengine wanampenda Mungu hivyo wanaweza wasikubali. Heshimu maamuzi yao.
 
Watu hatuna muda huo siku hizi wa kuzingushana wakati hizi sukari zinapatikana kwa wingi.
Hii mbinu si kwa wanaume hit and run, mbinu hii hufanya kazi kwa wanaume fulani tuwaite levels😛 ambao kila mwanamke anatamani kuwadate, kwahiyo mbinu hii inategemea dizaini yako na level/class ya madem unaopendelea.
 
Hii mbinu si kwa wanaume hit and run, mbinu hii hufanya kazi kwa wanaume fulani tuwaite levels[emoji14] ambao kila mwanamke anatamani kuwadate, kwahiyo mbinu hii inategemea dizaini yako na level/class ya madem unaopendelea.
Ukihit ndo mara nyingi unajua ubaki ama urun.

In short kupoteza muda kufukuzia mdada. Wakati unawakosa wadada wengine wazuri wakati muda unaupoteza kwa huyu anae leta mapozi. [emoji3][emoji3]
 
Hello hello..

I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)

Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe😀") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.

Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.

Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
Hidden kicheche
 
Back
Top Bottom