Naomba mbinu (zisizo dhahiri sana) za kumfanya mwanaume akutongoze

Naomba mbinu (zisizo dhahiri sana) za kumfanya mwanaume akutongoze

Unaweza ukawa uko sahihi kabisa. Mimi ni mwanaume hivyo najua. Kama unampenda msichana ki-haswa na huyo msichana mnakuwa wote mara kwa mara, na anakuonyesha positive response kwa namna yoyote basi ni lazima utataka kuwahi kumtaka urafiki kabla hajawahiwa na wengine. Mwanzisha thread mwambie huyo rafiki yako afanyie mtihani mdogo sana huyo mwanaume. Wanapokuwa wapokutana huyo dada amwambie nina haraka nakwenda kumuwahi boyfriend wangu ananisubiri, halafu aone ata-respond namna gani.
Hapa itakuwa ni sawa na "Supu Kulitia Nazi"
 
Mi ni mwanaume.

Kwa uelewa wangu hapo jamaa pia anatafuta timing za kuingia.

Naona watu wanasema sijui ataonekana kicheche. Siyo kweli, wanaume pia tunatamani kujua tunavutia mtu, so kama una guts maliza.

Hauna guts.
Mtumie picha za nguo muombe ushauri uvae ipi. Do this for five days.

Kisha kula bati.

Ona mchizi atavyokuja na spidi, in fact katikati ya kukuchagulia nguo atataka akuchagulie pants (if he can read between the lines)
 
Well said mkuu.
Na wanaume wengine sio ' eat and run.'
Yawezekana pia anamwangalia na kumtathmini Kwa lengo la kumfanya awe mwenza wa maisha. Kama ni hivyo basi, mbinu yoyote ya mdada kutaka kuliwa kimasihara haitafanikiwa na endapo itafanikiwa basi huenda ikawa ndo mwisho wa mahusiano yao, maana wanakuwa wametoka nje ya mission ya kijana.
Upande wa pili , iwapo mdada anamwitaji kijana Kwa malengo ya muda mrefu, ana chance kubwa kuwin sababu pia Kwa namna Moja kijana amemwelewa.
Hapa yapasa Binti aendelee ubora wake kama mke mtarajiwa Kwa kificha makucha yake(mfano huu ukicheche uliopelekea kuanzishwa izi huu),
Kuzungumza nae Kwa busara sana, kuonesha utii na heshima, kuonesha upendo lakini pia kujenga interest na kupenda interest za kijana.
Hapa kijana atasema wow!!!
Huyu ni nyama katika nyama zangu, na mfupa katika mifupa yangu.
Nikumbishe TU kwamba , wanawake wengi walioolewa , ilianza hivo.
Kwa hiyo upon kwenye mtihani Binti, japo umeanza kuonesha dalili za kufeli mapema, ila kama uko interested una nafasi ya kuwa mke au nyumba ndogo ya kijana.
Hii njia nzuri [emoji3]
 
Us
Hello hello..

I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)

Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe😀") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.

Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.

Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
Ushaur kwa wadada. Olewa na mtu anaekupenda sio unaempenda utakuja kujuta sana mbeleni.
 
Hello hello..

I am asking this for a friend (Wallahi Wabillahi)

Huyu rafiki yangu (kuna mtu basi atasema "ni wewe mwenyewe😀") kuna mwanaume amempenda. Alikutana naye kama sehemu ya kazi so walipeana namba kwa madhumuni ya kuwasiliana kikazi. Kilichotokea ni kwamba kuna cheche zinaruka kati yao wakiwasiliana.

Rafiki yangu amemtamani huyu jamaa na anahisi jamaa kamuelewa pia sababu muda wote yeye (kijana) ndo anaanzisha maongezi lakini he keeps it very decent; anamjulia tu hali, anamuuliza issue za kazi za hapa na pale, akiweka WhatsApp status atamsifia lakini ile ya ki-kaka nothing flirty or romantic.

Sasa, afanye nini ili kijana amtongoze? Ofcourse sio lazima kuwa na longterm relationship naye wala nini anataka wakulane tu lakini asingependa kumuanza mwenyewe asije kumuona kicheche.
Basi asiogope kuonekana kicheche 😂 kama ameubeba ukicheche enewei hataki mume au ndio anasubiri mrefu mweusi
 
Kuna wanaume ukiwatongoza inakuwa ndiyo kibwagizo kwenye wimbo 🤣🤣🤣
Unawatongoza wa nini, wakati wanaume wenyewe siku hizi hatutongozi , tunachombeza TU..
Anamtoaje out na wanawasiliana tu kwa simu sio kwamba wako eneo moja? Anaanzaje kumwambia wakanywe bia na hata hajui kama anakunywa au la? Mtihani
Labda atuambie kwenye simu wanachati nini, maana kupitia chatting waweza mfaham viziri mwenzio, mkapanga mipango, ikabaki utekelezwaji.
 
Kuna wanaume ukiwatongoza inakuwa ndiyo kibwagizo kwenye wimbo 🤣🤣🤣
Unawatongoza wa nini, wakati wanaume wenyewe siku hizi hatutongozi , tunachombeza TU..
Anamtoaje out na wanawasiliana tu kwa simu sio kwamba wako eneo moja? Anaanzaje kumwambia wakanywe bia na hata hajui kama anakunywa au la? Mtihani
Labda atuambie kwenye simu wanachati nini, maana kupitia chatting waweza mfaham viziri mwenzio, mkapanga mipango, ikabaki utekelezwaji.
 
Unawatongoza wa nini, wakati wanaume wenyewe siku hizi hatutongozi , tunachombeza TU..

Labda atuambie kwenye simu wanachati nini, maana kupitia chatting waweza mfaham viziri mwenzio, mkapanga mipango, ikabaki utekelezwaji.
Wanachat kazi, wako profession moja na same sector so updates na kadhalika. Kampuni zao pia ni kampuni rafiki so kuombana ushauri hapa na pale on how to handle things. Socially sio sana, ni kumcheck tu hujambo, au jokes za hapa na pale but sio sexual au romantic jokes. Akiweka picha ya chakula anamwambia maybe "kumbe hujafunga bwana"....vitu kama hivyo....
 
Back
Top Bottom