Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hata mimi ukiwa sexy ukanionesha interest lazma nikuchape naoNafikiri ni vile nilivyokuwa na kamuonekano Fulani hivi kama Unique Flower ndo maana walikuwa hawachomoi..
Joke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi ukiwa sexy ukanionesha interest lazma nikuchape naoNafikiri ni vile nilivyokuwa na kamuonekano Fulani hivi kama Unique Flower ndo maana walikuwa hawachomoi..
Joke
Na madogo wa field wanakulana hatari, huku wakijua maboss nao wanakulamtoto mwenzio huyo wa field😅
Yaani hii hali ya hewa ndio kwaanza wanapiga vimini na pamba yepesi 😄Hi Hali ya hewa huwa inafanya wanawake wawe Na hisia Sana mpaka unajishangaa
Hii yaweza kuwa kweli wanaume ni pretenders sanaAm sure Uyo kaka ana muenjoy tu hayuko serious
Ee bhana! Just short and clear🥴Asizunguke amfate amwambie anampenda
Sasa uniambie unamuwahi boyfriend wako kweli hata kama nilikuwa na mpango huo kwa 40% ndio nakacha kabisaMimi nitasema siyo kujimaliza bali atakuwa amejua ukweli. Huyu jamaa kama anampenda kweli anaweza ku-react positively.
Halafu mmefunga shule sio mtafungua shule lini mtutolee utoto humu ndani, maana Toka mfunge shule mnaleta sana mada za kitoto humuSio mimi Mkuu. Sio mimi kabisaa🤣🤣
Atakavyomjubu hajambo yeye asemaje tena?[emoji23]Amwambie tu wifi hajambo
Au amwambie anataman aende akamsalimie ila anaogopa atapigwa
Aache umalaya.Yuko single.
Thing is hawakutani. Walikutana kwenye tukio la kazi kama a year ago, exchanged contacts na tangu hapo walionana tena mara moja kwenye event nyingine ya kazi ila almost daily anamsalimia tu. Au anamuuliza issue za kazi via email baasi. One day aliweka status picha yuko beach alimuuliza “uko wapi?” Akamwambia alipo eti akamjibu “umependeza, enjoy”. Ndo nini sasa. Wanaume sometimes mnazingua.Unaweza ukawa uko sahihi kabisa. Mimi ni mwanaume hivyo najua. Kama unampenda msichana ki-haswa na huyo msichana mnakuwa wote mara kwa mara, na anakuonyesha positive response kwa namna yoyote basi ni lazima utataka kuwahi kumtaka urafiki kabla hajawahiwa na wengine. Mwanzisha thread mwambie huyo rafiki yako afanyie mtihani mdogo sana huyo mwanaume. Wanapokuwa wapokutana huyo dada amwambie nina haraka nakwenda kumuwahi boyfriend wangu ananisubiri, halafu aone ata-respond namna gani.
Zurie hii mbinu usifanye, haina plan bAmtumie sms ya kichokozi ya kimahaba alafu aseme kakosea, mwamba akipindua basi.
Ndio maana wanaukwaa mkono wa nyani kwenye dakika za mchanaNa madogo wa field wanakulana hatari, huku wakijua maboss nao wanakula
Yani hizo taarifa za meseji hadi wewe unazo 😂 na bado unajikana humu😅Thing is hawakutani. Walikutana kwenye tukio la kazi kama a year ago, exchanged contacts na tangu hapo walionana tena mara moja kwenye event nyingine ya kazi ila almost daily anamsalimia tu. Au anamuuliza issue za kazi via email baasi. One day aliweka status picha yuko beach alimuuliza “uko wapi?” Akamwambia alipo eti akamjibu “umependeza, enjoy”. Ndo nini sasa. Wanaume sometimes mnazingua.
Hii ndio usijaribu kabisaAmtumie sms ya kichokozi ya kimahaba alafu aseme kakosea, mwamba akipindua basi.
Hahahaaaa!Zurie usitufanye sie watoto😹😹...., Kweli umekosa pa kuanzia??
[emoji16][emoji16]Kitaa kugumu mpaka hamtongozwi [emoji23] safi sana wanaume tujiepushe na hawa matapeli
Kwangu mimi nadhani tena ndiyo itakuwa powa. Japo mwanzisha thread amesema hajali hata kama atakuwa wa hit and run, lakini kwangu naona anaongozwa na tamaa na siku zote tamaa mbele mauti nyuma. Bila kujua ni kwa nini huyo mwanaume anasitasita ni kujiingiza kwenye hatari au kudhalilishwa utu pasi na sababu.Sasa uniambie unamuwahi boyfriend wako kweli hata kama nilikuwa na mpango huo kwa 40% ndio nakacha kabisa