Naomba mfano wa Taifa lililoshusha gharama ya maisha kwa kutumia Katiba?

Naomba mfano wa Taifa lililoshusha gharama ya maisha kwa kutumia Katiba?


Kama tungekuwa na Katiba itakayotamka wazi idadi ya wizara unadhani leo hii tungekuwa mzigo wa kulipa mishahara na posho za msururu wa mawaziri wengine hata kazi zao zinaingiliana?

Kama mawaziri wetu wangepatikana kwa njia ya kutuma maombi na kuangaliwa nani ana vigezo unadhani tungekuwa na hawa akina Mwigulu?

Yapo mambo meengi sana, Katiba ndio inayokupa viongozi sahihi.
Yapo maeneo mengi ambayo watu huomba kazi kwa kuzingatia vigezo vyote hata hivyo wanaharibu na pia Kuna watu wamepatikana kwa kuteuliwa wamefanya kazi nzuri sana
 
Hawa hawa siku Rais Samia akisema sasa tunaandika katiba mpya...wata mpongeza mama, na kuja kusema eti wametoa machozi ya furaha.

Ni hawa hawa watamsifia na kuimba kila aina ya mapambio pale katiba mpya itakapo kuwa mezani.

Hawa si watu wanaofikiria..si watu wenye agenda..ni watu ambao wanajua kusifia tu kulingana na upepo wa boss.
Hao ni chawa timu sifia sifia
 

Kama tungekuwa na Katiba itakayotamka wazi idadi ya wizara unadhani leo hii tungekuwa mzigo wa kulipa mishahara na posho za msururu wa mawaziri wengine hata kazi zao zinaingiliana?

Kama mawaziri wetu wangepatikana kwa njia ya kutuma maombi na kuangaliwa nani ana vigezo unadhani tungekuwa na hawa akina Mwigulu?

Yapo mambo meengi sana, Katiba ndio inayokupa viongozi sahihi.
Umenena !
 
Acheni upotoshaji, katiba mpya haija contain ubora wa maisha kwa wananchi tu bali inajenga mustakabali mpya wa Taifa na muongozo thabiti kwa maendeleo ya nchi. Acheni ujinga wa kusema katiba mpya haikuletei chakula nyumban shubaamit!
Mashaka yangu mengine ni kwamba Kuna watu hudhani kaitiba mpya watakaa wapinzani wataipendekeza na kuipitisha jambo ambalo ni dhana potofu.
Kwa kumbukumbu zangu hata mchakato uliokwama bado ulikuwa na kura za uamuzi ambapo bado watu wenye wajumbe wengi bado waptapenyeza hoja zao.
Napendekeza tuwekeze nguvu nyingi kutoa elemu ya uraia ili raia wa kawaida wapate uelewa mkubwa kuhusu mambo ya katiba kuliko kutoa maneno ya ulaghai
 
Mashaka yangu mengine ni kwamba Kuna watu hudhani kaitiba mpya watakaa wapinzani wataipendekeza na kuipitisha jambo ambalo ni dhana potofu.
Kwa kumbukumbu zangu hata mchakato uliokwama bado ulikuwa na kura za uamuzi ambapo bado watu wenye wajumbe wengi bado waptapenyeza hoja zao.
Napendekeza tuwekeze nguvu nyingi kutoa elemu ya uraia ili raia wa kawaida wapate uelewa mkubwa kuhusu mambo ya katiba kuliko kutoa maneno ya ulaghai
Yes upo sahihi ✔️✔️✔️
 
Pengine ufahamu wangu una shida ya kuelewa polepole au kuna mambo yananipita kushoto. Kwa jinsi ninavyowasikiliza wanasiasa wanavyoizungumzia katiba mpya ni kana kwamba katiba mpya ikipatikana leo kesho changamoto zote zitakwisha, au chini ya katiba iliyopo hatuna uwezo wa kuivisha chochote.

Katiba mpya haitamaliza wizi, uzembe, majungu, ujinga, uvivu, nk

Mambo yanayolalamikiwa sana kwenye katiba iliyopo ni
Madaraka ya rais
Tume huru
Muungano
Nk
Hayo yoote sioni ni vipi yatashusha gharama ya maisha.

Labda wajuvi mje na taifa lililowahi kufanikiwa kushusha gharama ya maisha kwa kutumia KATIBA.
Wakikujibu nipe taarifa
 
Pengine ufahamu wangu una shida ya kuelewa polepole au kuna mambo yananipita kushoto. Kwa jinsi ninavyowasikiliza wanasiasa wanavyoizungumzia katiba mpya ni kana kwamba katiba mpya ikipatikana leo kesho changamoto zote zitakwisha, au chini ya katiba iliyopo hatuna uwezo wa kuivisha chochote.

Katiba mpya haitamaliza wizi, uzembe, majungu, ujinga, uvivu, nk

Mambo yanayolalamikiwa sana kwenye katiba iliyopo ni
Madaraka ya rais
Tume huru
Muungano
Nk
Hayo yoote sioni ni vipi yatashusha gharama ya maisha.

Labda wajuvi mje na taifa lililowahi kufanikiwa kushusha gharama ya maisha kwa kutumia KATIBA.
unatia aibu sana.
katiba yako inaweza kumuadabisha kiongozi anapofanya kosa au uzembe tuanze hapo.kichwa chako cha maji taka
 
unatia aibu sana.
katiba yako inaweza kumuadabisha kiongozi anapofanya kosa au uzembe tuanze hapo.kichwa chako cha maji taka
Mi nadhani inaweza ingawa jambo kubwa hapa ni kwamba katiba sio kama shati unalovaa katiba ni muongozo wa Sheria zote za nchi bahati mbaya ni kwamba kuwapo huo muongozo ni jambo moja na kuutekeleza ni jambo lingine kabisa.

Ni wazi kwamba hata kwenye katiba iliyopo sasa Kuna mambo mengi mazuri yanakiukwa sana.
Na hata Kenya ambako wametengeneza katiba shirikishi bado vitendo vya ufisadi ni vikubwa pengine kuliko hapa kwetu.
Hata mimi ni muumuni wa katiba mpya ila tunapoitaka katiba mpya tujiangalie madhaifu yetu ya kijamii tuyatibu kwanza.
 
Pengine ufahamu wangu una shida ya kuelewa polepole au kuna mambo yananipita kushoto. Kwa jinsi ninavyowasikiliza wanasiasa wanavyoizungumzia katiba mpya ni kana kwamba katiba mpya ikipatikana leo kesho changamoto zote zitakwisha, au chini ya katiba iliyopo hatuna uwezo wa kuivisha chochote.

Katiba mpya haitamaliza wizi, uzembe, majungu, ujinga, uvivu, nk

Mambo yanayolalamikiwa sana kwenye katiba iliyopo ni
Madaraka ya rais
Tume huru
Muungano
Nk
Hayo yoote sioni ni vipi yatashusha gharama ya maisha.

Labda wajuvi mje na taifa lililowahi kufanikiwa kushusha gharama ya maisha kwa kutumia KATIBA.
Safi sana.

Nitakuwa nakudanganya kuwa nina jibu lelote lile.....ila

Ninayoyaona...

....Majibu bado hayajitoshelezi.

Au Labda viroboto wa Mh. Tundu Lissu waje na matoroli ya Taarifa.
 
1. Ukubwa wa madaraka ya Rais. tamko au matakwa ya Rais ni amri hii kwa sababu ya ukubwa wa madaraka yake ivyo akitoa tamko ambalo lipo kinyume na kanuni za kiuchumi inaweza ikapelekea kuongezeka sana au kupanda kwa bei ya bidhaa mfano kipindi cha magufuri aliingilia kati suala la korosho matokeo yake soko lilivurugika na kupelekea wakulima kupata hasara, alitumia approach za kibabe sana kushughulika na wawekezaji tukaona watu walifunga biashara, pia mwanzoni mwa uongozi wake alitoa tamko kuhusu sukari tuliona bei ya sukari ilipanda sana, mambo kama hayo yanasababisha ugumu wa maisha kwa mwananchi kama kungekua na namna ya kumpiga break Rais asiingilie kila kitu uenda hali ingekua nzuri

2. Tume huru ya uchaguzi. Inapokosena tume huru maana yake kuna uwezekano wa kupata viongozi wasiokua na uwezo ilmradi tu wawe na connection na mamlaka, hii itapelekea viongozi kubweteka wakijua hata wakiboronga uchaguzi ukija watapita tu hata kwa bao la mkono matokeo yake wanafanya maamuzi bila kujari hali za wananchi mfano kuongeza tozo, kodi kandamizi n.k.. kungekua na tume huru wangeumiza vichwa kuja namna nzuri ya kushughulikia matatizo bila kuumiza wananchi maana wangejua wakialibu baada ya miaka mitano watahukumiwa kwenye sanduku la kura
Haya yanapunguza wizi??? We jamaa huna akili. Tukubaki kwanza kuwa wazalendo na nchi yetu, kisha ndio tuanze huo utaratibu wa kurekebisha mapungufu ya kwenye maandishi ambayo hata usipofanya hayana madhara.

Ukipewa wewe hiko KITI UTATENDA HAKI?? HUTOIBA, HAUTOTAKA MASLAHI YAKO YAWE MBELE KENGE WEWE??
 
Haya yanapunguza wizi??? We jamaa huna akili. Tukubaki kwanza kuwa wazalendo na nchi yetu, kisha ndio tuanze huo utaratibu wa kurekebisha mapungufu ya kwenye maandishi ambayo hata usipofanya hayana madhara.

Ukipewa wewe hiko KITI UTATENDA HAKI?? HUTOIBA, HAUTOTAKA MASLAHI YAKO YAWE MBELE KENGE WEWE??
Tuliza mzuka mdogo angu unaweza kutumia lugha nzuri tu na ukaeleweka.. hakuna popote ambapo jamaa kasema ni vipi katiba mpya itapunguza wizi. Aliomba kuelezewa endapo vipengere vya ukubwa wa madaraka ya rais, tume ya uchaguzi na muungano vikirekebishwa ni kwa namna gani itasaidia kupunguza ukali wa maisha.. hakuna popote ambapo mtoa mada amehoji kuhusu uhusiano wa katiba na kutokomeza uwizi au kuwa mzalendo., soma vizuri post yake
 
Pengine ufahamu wangu una shida ya kuelewa polepole au kuna mambo yananipita kushoto. Kwa jinsi ninavyowasikiliza wanasiasa wanavyoizungumzia katiba mpya ni kana kwamba katiba mpya ikipatikana leo kesho changamoto zote zitakwisha, au chini ya katiba iliyopo hatuna uwezo wa kuivisha chochote.

Katiba mpya haitamaliza wizi, uzembe, majungu, ujinga, uvivu, nk

Mambo yanayolalamikiwa sana kwenye katiba iliyopo ni
Madaraka ya rais
Tume huru
Muungano
Nk
Hayo yoote sioni ni vipi yatashusha gharama ya maisha.

Labda wajuvi mje na taifa lililowahi kufanikiwa kushusha gharama ya maisha kwa kutumia KATIBA.
Una uwezo mdogo sana !
 
Mkuu wayajua haya kwenye katiba yetu:

1. Katiba iliyopo haiwawajibishi baadhi ya watendaji wakuu kwa kuikiuka, na hii ni kwa mujibu wa katiba yenyewe?
2. kwa katiba iliyopo pana watu hata kama wakiiba, wakipora, wakiuwa, wakidhulumu nk hiyo ni halali kwa mujibu wa katiba yenyewe?
3. katiba iliyopo inawapa baadhi ya watu mamlaka ya kujifanyia lolote bila kuhojiwa au hata kuwajibishwa tu?
4. Katiba iliyopo haitoi haki sawa kwa watu wote ndani ya nchi?
5. Kuna mianya mingi katika katiba hii ambayo inaweza kuifanya mihimili mingine hata kupoteza uhuru wake wa kiutendaji kwa mujibu wa katiba yenyewe?
6. Kuna utitiri wa nafasi za uongozi wasio na tija wala ridhaa ya wananchi ambao pia ni mzigo mkubwa kwa mlipa kodi?
7. Kuna rundo kubwa la vigogo wasio na tija na wasiolipa kodi wanaopata uhalali tokea katika katiba yenyewe?
8. Nk, nk.

Kimsingi ndiyo maana Hata pesa zetu zaishia China Kwa mujibu wa katiba.

Huoni tukiwa na mpya mapungufu kama haya tukayaziba tutaweza kupiga hatua?
Sema inampa mamlaka Rais mbon unajizungusha zungusha?
 
Huoni tukiwa na mpya mapungufu kama haya tukayaziba tutaweza kupiga hatua?
Onyesha itawawajibisha vipi hio katiba mpya

Mfano: Tunaweka kifungu akitokea waziri yoyote akatoa ahadi kwamba kuna mradi fulani ilifanyika utakua umeondoa kero ya wananchi maisha yao yote, na km mradi ukiwa kinyume na vile tulivyoahidiwa bwana waziri awajibishwe kwa kurudisha pesa zote alizozitumia kwenye mradi maana atakua amefanya wizi? Hapo vipi kofungu hicho kinakufaa?

Let say bwana February Marope kaahidi kwamba atafumua Gridi ya Taifa kwa Trillion 1 na baada kufumwa upya tusahau kuhusu kukatika katika kwa umeme nchi nzima hata kwa sekunde moja hakuna sehemu kutakua na giza 24/7 365, ikitokea umeme umekatwa popote alipo bwana February Marope awe kwenye uwaziri au asiwe kwenye uwaziri lazima awajibishwe kwa wizi wa Trillion 1, hapo unaonaje hio imenyooka au imepinda?
 
Onyesha itawawajibisha vipi hio katiba mpya

Mfano: Tunaweka kifungu akitokea waziri yoyote akatoa ahadi kwamba kuna mradi fulani ilifanyika utakua umeondoa kero ya wananchi maisha yao yote, na km mradi ukiwa kinyume na vile tulivyoahidiwa bwana waziri awajibishwe kwa kurudisha pesa zote alizozitumia kwenye mradi maana atakua amefanya wizi? Hapo vipi kofungu hicho kinakufaa?

Let say bwana February Marope kaahidi kwamba atafumua Gridi ya Taifa kwa Trillion 1 na baada kufumwa upya tusahau kuhusu kukatika katika kwa umeme nchi nzima hata kwa sekunde moja hakuna sehemu kutakua na giza 24/7 365, ikitokea umeme umekatwa popote alipo bwana February Marope awe kwenye uwaziri au asiwe kwenye uwaziri lazima awajibishwe kwa wizi wa Trillion 1, hapo unaonaje hio imenyooka au imepinda?

Tofautisha substance na details. Tambua katiba ya sasa Ina pages 43 za substance. Ikiwa details itakuwa je? Ndiyo maana hata PGO ni a valid legal document mradi haipingani na katiba ambayo ndiyo sheria mama.
 
Back
Top Bottom