Naomba mfano wa Taifa lililoshusha gharama ya maisha kwa kutumia Katiba?

Naomba mfano wa Taifa lililoshusha gharama ya maisha kwa kutumia Katiba?

Pengine ufahamu wangu una shida ya kuelewa polepole au kuna mambo yananipita kushoto. Naomba mfano wa taifa lililoshusha gharama ya maisha kwa kutumia Katiba?

Kwanza kwa kutambua tu kuwa ufahamu wako una shida ya kuelewa na mambo mengi yanakupita kushoto, jina tu The Phylosopher ni ishara ya ufinyu huo. Bila shaka hata hujui kwa nini taifa linahitaji kuwa na Katiba!

Kwa kukujuza tu The Phylosopher, neno sahihi ni philosopher na si phylosopher. Katiba ni maamuzi ya wananchi kuhusu watakavyoweza kuishi pamoja na kuboresha maisha yao kwa uhuru na haki sawa kwa wote.

Kwa katiba ya sasa ni wenye nguvu wanaokula kwa urefu wa kamba zao na kuvimbiwa huku wanyonge wakilala njaa. Tunasahau kuwa Katiba ndio msingi mkuu wa maendeleo kwa binadamu waliojaaliwa akili.

Kwa kutojaaliwa na akili mnyama wa mwituni hahitaji Katiba wala taratibu za kuishi pamoja. Kwa wenye uelewa wa shida kama wewe huwezi kuona umuhimu wa Katiba kwani dude CCM imekaba njia zote za haki na usawa.
 
Kwa katiba ya sasa ni wenye nguvu wanaokula kwa urefu wa kamba zao na kuvimbiwa huku wanyonge wakilala njaa. Tunasahau kuwa Katiba ndio msingi mkuu wa maendeleo kwa binadamu waliojaaliwa akili.

Kwa kutojaaliwa na akili mnyama wa mwituni hahitaji Katiba wala taratibu za kuishi pamoja. Kwa wenye uelewa wa shida kama wewe huwezi kuona umuhimu wa Katiba kwani dude CCM imekaba njia zote za haki na usawa.
Elezea ni vipi katiba mpya itakavyotoa usawa DC analipwa 3M Ila mwalimu analamba take home 400k, je katiba mpya itamfanya mwalimu wa shule ya msingi na sekondari apokee 3M km jinsi anavyopokea DC?

Elezea ni jinsi gani katiba mpya itakavyofanya kazi kwa usawa kwa watu wote, elezea ni jinsi gani katiba mpya itamnufaisha mwananchi wa chini sio tu kuwanufaisha wale wanaotembea na V8 za million 600

Huyu mtu wa chini ananufaika vipi?
 
Tofautisha substance na details. Tambua katiba ya sasa Ina pages 43 za substance. Ikiwa details itakuwa je? Ndiyo maana hata PGO ni a valid legal document mradi haipingani na katiba ambayo ndiyo sheria mama.
Nyinyi mnachokosea mnasema tu katiba mpya katiba mpya, elezea in details katiba mpya itamsaidia vipi mwananchi wa chini namaanisha kuna wale ambao wanashindia mlo mmoja tu kwa siku yaan anaishi chini ya dollar 1 au kwa lugha rahisi wale wanaoishi below poverty line, hio katiba mpya itamsaidia nini? Inamsaidiaje mtu ambae hata kula yake ni ya tabu?
 
Nyinyi mnachokosea mnasema tu katiba mpya katiba mpya, elezea in details katiba mpya itamsaidia vipi mwananchi wa chini namaanisha kuna wale ambao wanashindia mlo mmoja tu kwa siku yaan anaishi chini ya dollar 1 au kwa lugha rahisi wale wanaoishi below poverty line, hio katiba mpya itamsaidia nini? Inamsaidiaje mtu ambae hata kula yake ni ya tabu?

Tatizo la watanzania ni wavivu kusoma. Uliyouliza hapo yanaelezwa tokea mia ya 90. Humu JF yameelezwa mno.

Hivi ndugu unayajua haya?

1. Katiba iliyopo haiwawajibishi baadhi ya watendaji wakuu kwa kuikiuka, na hii ni kwa mujibu wa katiba yenyewe?
2. kwa katiba iliyopo pana watu hata kama wakiiba, wakipora, wakiuwa, wakidhulumu nk hiyo ni halali kwa mujibu wa katiba yenyewe?
3. katiba iliyopo inawapa baadhi ya watu mamlaka ya kujifanyia lolote bila kuhojiwa au hata kuwajibishwa tu?
4. Katiba iliyopo haitoi haki sawa kwa watu wote ndani ya nchi?
5. Kuna mianya mingi katika katiba hii ambayo inaweza kuifanya mihimili mingine hata kupoteza uhuru wake wa kiutendaji kwa mujibu wa katiba yenyewe?
6. Kuna utitiri wa nafasi za uongozi wasio na tija wala ridhaa ya wananchi ambao pia ni mzigo mkubwa kwa mlipa kodi?
7. Kuna rundo kubwa la vigogo wasio na tija na wasiolipa kodi wanaopata uhalali tokea katika katiba yenyewe?
8. Nk, nk.

Hudhani kuwa hata hayo tu yana cha kufanya na watanzania wote hata hao uliowataja?

Maandiko haya ni ya zamani sana unaweza kujiridhisha. Hili ni la Jun 2021:

Katiba Mpya: Heri Rais Samia akaruhusu mchakato, asisubiri mashinikizo
 
Tatizo la watanzania ni wavivu kusoma. Uliyouliza hapo yanaelezwa tokea mia ya 90. Humu JF yameelezwa mno.

Hivi ndugu unayajua haya?

1. Katiba iliyopo haiwawajibishi baadhi ya watendaji wakuu kwa kuikiuka, na hii ni kwa mujibu wa katiba yenyewe?
2. kwa katiba iliyopo pana watu hata kama wakiiba, wakipora, wakiuwa, wakidhulumu nk hiyo ni halali kwa mujibu wa katiba yenyewe?
3. katiba iliyopo inawapa baadhi ya watu mamlaka ya kujifanyia lolote bila kuhojiwa au hata kuwajibishwa tu?
4. Katiba iliyopo haitoi haki sawa kwa watu wote ndani ya nchi?
5. Kuna mianya mingi katika katiba hii ambayo inaweza kuifanya mihimili mingine hata kupoteza uhuru wake wa kiutendaji kwa mujibu wa katiba yenyewe?
6. Kuna utitiri wa nafasi za uongozi wasio na tija wala ridhaa ya wananchi ambao pia ni mzigo mkubwa kwa mlipa kodi?
7. Kuna rundo kubwa la vigogo wasio na tija na wasiolipa kodi wanaopata uhalali tokea katika katiba yenyewe?
8. Nk, nk.

Hudhani kuwa hata hayo tu yana cha kufanya na watanzania wote hata hao uliowataja?

Maandiko haya ni ya zamani sana unaweza kujiridhisha:

Usiniletee ngonjera zako nmekwambia elezea itamsaidia vipi mwananchi wa chini anaeishi below poverty line, sio hizo mboyoyo

Watu km nyinyi ndio hua mnapigiwa mistari kwenye essay maana unaulizwa vingine unajibu vingine

Km huna cha kuelezea kaa kimya
 
Sheria na taratibu za baba nyumban ndo uchangia kwa kiasi kikubwa maendeleo na mafanikio ya familia na watoto pia

Nazan labda ungejua nn maana ya katiba ingesaidia kujb swali lako
 
Usiniletee ngonjera zako nmekwambia elezea itamsaidia vipi mwananchi wa chini anaeishi below poverty line, sio hizo mboyoyo

Kuna huna cha kuelezea kaa kimya

Hivi kumbe:

1. hata kama watendaji wakuu serikalini wakiwa hawawajibiki au kuikiuka katiba vyovyote, wananchi below poverty line haiwaathiri?
2. hata kama baadhi ya watu wakiiba, wakipora, wakiuwa, wakidhulumu nk, wananchi below poverty line haiwaathiri?
3. baadhi ya watu wakiwa na mamlaka ya kujifanyia lolote bila kuhojiwa au hata kuwajibishwa tu, wananchi below poverty line haiwaathiri?
4. hata kusipokuwa haki sawa kwa watu wote ndani ya nchi, wananchi below poverty line haiwaathiri?
5. hata inapokuwa mihimili mingine inapoteza uhuru wake wa kiutendaji, wananchi below poverty line haiwaathiri?
6. Kunapokuwa na utitiri wa nafasi za uongozi wasio na tija wala ridhaa ya wananchi ambao pia ni mzigo mkubwa kwa mlipa kodi, below poverty line haiwaathiri?
7. Kunapokuwa na rundo kubwa la vigogo wasio na tija na wasiolipa kodi, wananchi below poverty line haiwaathiri?
8. Nk, nk.

Kumbe mwenye ngonjera nani? Mimi wewe? 🤣🤣.

Ninakazia: someni kuelewa. Uvivu hausaidii mtaishia kuimbishwa taarabu.

Ndiyo maana maburungutu ya pesa yanaishia china na bado mnakenua eti haiwaathiri:

FnzAtagX0AIXEAW.jpeg
 
Hivi kumbe:

1. hata kama watendaji wakuu serikalini wakiwa hawawajibiki au kuikiuka katiba vyovyote, wananchi below poverty line haiwaathiri?
2. hata kama baadhi ya watu wakiiba, wakipora, wakiuwa, wakidhulumu nk, wananchi below poverty line haiwaathiri?
3. baadhi ya watu wakiwa na mamlaka ya kujifanyia lolote bila kuhojiwa au hata kuwajibishwa tu, wananchi below poverty line haiwaathiri?
4. hata kusipokuwa haki sawa kwa watu wote ndani ya nchi, wananchi below poverty line haiwaathiri?
5. hata inapokuwa mihimili mingine inapoteza uhuru wake wa kiutendaji, wananchi below poverty line haiwaathiri?
6. Kunapokuwa na utitiri wa nafasi za uongozi wasio na tija wala ridhaa ya wananchi ambao pia ni mzigo mkubwa kwa mlipa kodi, below poverty line haiwaathiri?
7. Kunapokuwa na rundo kubwa la vigogo wasio na tija na wasiolipa kodi, wananchi below poverty line haiwaathiri?
8. Nk, nk.

Kumbe mwenye ngonjera nani? Mimi wewe? 🤣🤣.

Ninakazia: someni kuelewa. Uvivu hausaidii mtaishia kuimbishwa taarabu.
Sema straight watanufaikaje mtu analala na mlo mmoja kwa siku eleza hio katiba mpya itamsaidiaje?

Toa ufafanuzi sio unakomalia hizo point ulizokalilishwa na akina Lisu, maana naona mmezikomalia hizo point sasa eleza mwananchi wa chini anaeishi below poverty line usiseme hawapo wapo na Jana nimeshuhudia wanandoa wakigombana sababu baba kashindwa kurudi na mkate nyumbani mama na watoto wameshindia maji tu, sasa huyu mwananchi mwenye hali km hii hio katiba mpya itamsaidiaje?
 
Pengine ufahamu wangu una shida ya kuelewa polepole au kuna mambo yananipita kushoto. Kwa jinsi ninavyowasikiliza wanasiasa wanavyoizungumzia katiba mpya ni kana kwamba katiba mpya ikipatikana leo kesho changamoto zote zitakwisha, au chini ya katiba iliyopo hatuna uwezo wa kuivisha chochote.

Katiba mpya haitamaliza wizi, uzembe, majungu, ujinga, uvivu, nk

Mambo yanayolalamikiwa sana kwenye katiba iliyopo ni
Madaraka ya rais
Tume huru
Muungano
Nk
Hayo yoote sioni ni vipi yatashusha gharama ya maisha.

Labda wajuvi mje na taifa lililowahi kufanikiwa kushusha gharama ya maisha kwa kutumia KATIBA.
Kwa nini wengine waanze kisha tuwaige?

Why can't we be the first to do a such?

Nimemuona live jana Makamu wa Rais akivaa tabasamu kama lote akielezea namna mfumuko wa bei ulivyo himilivu. Katibu wake mkuu wa Chama anapambana kutaka mfumuko udhibitiwe lakini serikali inasema vumilieni. Kama Kenya na Uganda mfumuko ni mkali, kwa nini sisi fujifananishe nao wakagi shida ina ieleza wazi wazi?

Katiba ina nafasi kubwa ya kuifanya nchi isonge mbele kimaendeleo kwa sababu Kwa sababu Katiba ya sasa imejikita kwenye kuelezea majukumu na kiuongozi bila kuweka wajibu
 
Sema straight watanufaikaje mtu analala na mlo mmoja kwa siku eleza hio katiba mpya itamsaidiaje?

Toa ufafanuzi sio unakomalia hizo point ulizokalilishwa na akina Lisu, maana naona mmezikomalia hizo point sasa eleza mwananchi wa chini anaeishi below poverty line usiseme hawapo wapo na Jana nimeshuhudia wanandoa wakigombana sababu baba kashindwa kurudi na mkate nyumbani mama na watoto wameshindia maji tu, sasa huyu mwananchi mwenye hali km hii hio katiba mpya itamsaidiaje?
HIvi ndugu walioiba huu mzigo:

FnzAtagX0AIXEAW.jpeg


wananchi poverty line wanaathirika?
 
HIvi ndugu walioiba huu mzigo:

View attachment 2508137

wananchi poverty line wanaathirika?
Wewe haunielewi kabisa kabisa yaan basi ngoja nikuache maana huna cha kuelezea na huna point nakupa sifuri yenye masikio kaa pembeni kaa kimya aje mwenye point

Aelezee katiba mpya itamnufaisha vipi mwananchi anaeishi below poverty line?

Tatizo la nyinyi mnawaangalia wale wa Juu tu waliopo chini hamuwaangalii
 
Mleta mada, kama wewe 'umejaaliwa' akili fupi kama piriton huwezi kamwe kujua kabisa umuhimu wa katiba mpya hata kama ukielezwa kuanzia asbh hadi usku!
Wewe tulia tu waliojaaliwa akili kubwa wakuletee maendeleo!
 
Mleta mada, kama wewe 'umejaaliwa' akili fupi kama piriton huwezi kamwe kujua kabisa umuhimu wa katiba mpya hata kama ukielezwa kuanzia asbh hadi usku!
Wewe tulia tu waliojaaliwa akili kubwa wakuletee maendeleo!
Wewe mwenye akili kubwa elezea katiba mpya itamsaidiaje mtu anaeishi chini ya dollar 1? Tiririka
 
Pengine ufahamu wangu una shida ya kuelewa polepole au kuna mambo yananipita kushoto. Kwa jinsi ninavyowasikiliza wanasiasa wanavyoizungumzia katiba mpya ni kana kwamba katiba mpya ikipatikana leo kesho changamoto zote zitakwisha, au chini ya katiba iliyopo hatuna uwezo wa kuivisha chochote.

Katiba mpya haitamaliza wizi, uzembe, majungu, ujinga, uvivu, nk

Mambo yanayolalamikiwa sana kwenye katiba iliyopo ni
Madaraka ya rais
Tume huru
Muungano
Nk
Hayo yoote sioni ni vipi yatashusha gharama ya maisha.

Labda wajuvi mje na taifa lililowahi kufanikiwa kushusha gharama ya maisha kwa kutumia KATIBA.
simple:
Katiba iliyopo inaruhusu uporaji wa mali ya uma na kodi za wananchi hii pekee husababisha ugumu wa maisha kwa wananchi wa kawaida.
Katiba imeruhusu majizi yajinyakulie madaraka kwa nguvu na yanapokwapua yamejiwekea kinga ya kutoshitakiwa! Unahitaji ufafanuzi gani?
 
Wewe haunielewi kabisa kabisa yaan basi ngoja nikuache maana huna cha kuelezea na huna point nakupa sifuri yenye masikio kaa pembeni kaa kimya aje mwenye point

Aelezee katiba mpya itamnufaisha vipi mwananchi anaeishi below poverty line?

Kuna tofauti kubwa baina ya kutoelewa na kutotaka kuelewa.

Ndiyo maana nikakuletea picha za maburungutu ya pesa kabisa ili uone. Hizo nazo huzioni na bado umeshindwa kujiridhisha kuwa:

"Kuwa pesa zinapokuwa zinaibiwa bila cha kuzuia inaathiri wananchi below poverty line?"

Si kuwa huelewi bali hutaki kuelewa!

Kama nakuona mstari wa mbele pale na barakoa yako:

IMG_20230206_101806.jpg
 
Kuna tofauti kubwa baina ya kutoelewa na kutotaka kuelewa.

Ndiyo maana nikakuletea picha za maburungutu ya pesa kabisa ili uone. Hizo nazo huzioni na bado umeshindwa kujiridhisha kuwa:

"Kuwa pesa zinapokuwa zinaibiwa bila cha kuzuia inaathiri wananchi below poverty line?"

Si kuwa huelewi bali hutaki kuelewa!

Kama nakuona mstari wa mbele pale na barakoa yako:

View attachment 2508143
Mkuu eleza nilichokuambia

Katiba mpya itamsaidiaje mtu anaeishi below poverty line?

Usiniambie eti katiba mpya itang'oa mamlaka aliyopewa Rais, sijui mamlaka aliyopewa Spika, sijui mamlaka aliyopewa Waziri Mkuu, sijui mamlaka aliyopewa Mkuu wa Mkoa au DC

Niambie katiba mpya itamsaidiaje mtu anaeishi below poverty line? Au huijui poverty line ya Tanzania inasoma ngapi?
 
Mkuu eleza nilichokuambia

Katiba mpya itamsaidiaje mtu anaeishi below poverty line?

Usiniambie eti katiba mpya itang'oa mamlaka aliyopewa Rais, sijui mamlaka aliyopewa Spika, sijui mamlaka aliyopewa Waziri Mkuu, sijui mamlaka aliyopewa Mkuu wa Mkoa au DC

Niambie katiba mpya itamsaidiaje mtu anaeishi below poverty line? Au huijui poverty line ya Tanzania inasoma ngapi?

Kwamba unachotaka kuambiwa ni kuwa:

1. Wanaoiba raslimali za nchi hii wakiondolewa mamlaka yakiwamo ya wa kuiba raslimali hizo zitakuwapo pia kwa walio below the poverty line?
2. Kwamba mihimili ikiwa na uhuru kamili haki za watu wote zikiwamo za wale walio below the poverty line nazo zitakuwa ni haki pia?
3. Kwamba vigogo wote nao wakilipa Kodi below poverty line naye atanufaika?
4. Nk, nk.

Really? Ndicho unachotaka?

Kwani wewe ni chekechea?
 
Kwamba unachotaka kuambiwa ni kuwa:

1. Wanaoiba raslimali za nchi hii wakiondolewa mamlaka yakiwamo ya wa kuiba raslimali hizo zitakuwapo pia kwa walio below the poverty line?
2. Kwamba mihimili ikiwa na uhuru kamili haki za watu wote zikiwamo za wale walio below the poverty line nazo zitakuwa ni haki pia?
3. Kwamba vigogo wote nao wakilipa Kodi below poverty line naye atanufaika?
4. Nk, nk.

Really? Ndicho unachotaka?

Kwani wewe ni chekechea?
Mkuu wewe mbona unajitekenya alafu unacheka mwenyewe

Umeambiwa elezea

How the new constitution will help those people who live below poverty line and what benefits from the new constitution will be gained by those who live below poverty line?
Explain

Sio unajizungushazungusha shusha essay dondosha point huna point kaa kimya
 
Mkuu wewe mbona unajitekenya alafu unacheka mwenyewe

Umeambiwa elezea

How the new constitution will help those people who live below poverty line and what benefits from the new constitution will be gained by those who live below poverty line?
Explain

Sio unajizungushazungusha shusha essay dondosha point huna point kaa kimya

Huna lolote mburula wewe kama ulikuwa mnufaika kaa kwa kutulia.

Katiba mpya inakuja utakuwa mwisho wa uporaji wenu, kulamba asali mabegani mwetu na haki zetu zitakuwa ni haki pia.

Waliopotea mtawacheua.
 
Huna lolote mburula wewe kama ulikuwa mnufaika kaa kwa kutulia.

Katiba mpya inakuja utakuwa mwisho wa uporaji wenu, kulamba asali mabegani mwetu na haki zetu zitakuwa ni haki pia.

Waliopotea mtawacheua.
Sasa umekosa hoja unaanza kubwabwaja tu, 😂 swali gumu kulitolea maelezo au sio?

Unashindwa kuandika essay hata yenye paragraph 2 tu ukielezea umuhimu wa katiba mpya kwa mwananchi anaeishi below poverty line, sasa utamshawishi vipi kuhusu katiba mpya akakuelewa?
 
Back
Top Bottom