Ashirikishe na jamaa wa hakixaa bnadamu soon watamwona kamayuko...Sawa sasa si waweke wazi ama sheria inasemaje?! Au kuna sheria za Siri wanamalizia wao wenyewe hukohuko kimyakimya ,wakumbuke na hawa wanaowatendea ni binadam na wanakutana nao kila siku katika maisha hayahaya ya chini ya jua.
Inauma kwa kweli imagine ni ndugu yako ndio amefanyiwa hivyo unajisikiaje nafsini!?
We mgeni Bongo ? Kuna wadau kibao yameshawakuta kwa kununua vitu (hususan electronics za wizi) huchelewi kuuziwa Kesi na kulipa zaidi ya mara elfu moja ya kitu ulichonunua...., Huchelewi kuambiwa hio simu iliibiwa baada ya mauaji...Hayo maelezo. Kuna vitu binti anaficha.
Polisi sio wajinga hawakurupuki.
Mpaka polisi wakufate nyumbani usiku wa manane maana yake wameshakujua tabia zako. Mnunuzi wa kawaida angepigiwa simu tu afike kituoni. Ndio angekamatwa..ila wa kufatwa usiku wa manane ujue ni mtu wa matukio.
Kununua simu ya wizi sio sababu kuu
Mimi nilivyoona mkazi wa mburahati na mambo ya simu ya wizi. Akili yangu inaniambia mumewe ni mwizi mtu wa matukio.
Huyo mumewe ni mwizi na polisi huwa hawawacheleweshi wezi. Ajiandae kufata mwili
Au sio? Nyie mapoti Ni wajinga wajingaMburahati hupajui wewe.
Unaweza jua wanapatikana wapi màana wanasubiri majibu yenu niwapgie simu niwape angalau muongozo utakaoweza kujua cha kufanya màana kila siku wanalia na hawajui wakasemee wapi,nimewaambia hapa jamii forums kilio chao kitapata mwongozoAshirikishe na jamaa wa hakixaa bnadamu soon watamwona kamayuko...
Unakisoma ulichaondika ndugu??Kwa hiyo unasupport polisi kupoteza watu kisa ni wezi ama??Tutajuaje sisi kama ni mwizi bila ya mahakama kuthibitisha hilo??Vipi kama wana- bief zao huko mtaani??Hayo maelezo. Kuna vitu binti anaficha.
Polisi sio wajinga hawakurupuki.
Mpaka polisi wakufate nyumbani usiku wa manane maana yake wameshakujua tabia zako. Mnunuzi wa kawaida angepigiwa simu tu afike kituoni. Ndio angekamatwa..ila wa kufatwa usiku wa manane ujue ni mtu wa matukio.
Kununua simu ya wizi sio sababu kuu
Mimi nilivyoona mkazi wa mburahati na mambo ya simu ya wizi. Akili yangu inaniambia mumewe ni mwizi mtu wa matukio.
Huyo mumewe ni mwizi na polisi huwa hawawacheleweshi wezi. Ajiandae kufata mwili
Hapa umesemaje mkuu kama sijakuelewa wafanyaje?=pigeniina maombi mkiendelea kumtafuta Mungu ajawahi shindwaa weken imaniii zenu pamoja utanianbia
Hayo maeneo ni shida inawezekana washamuua huyu jamaa.Hayo maelezo. Kuna vitu binti anaficha.
Polisi sio wajinga hawakurupuki.
Mpaka polisi wakufate nyumbani usiku wa manane maana yake wameshakujua tabia zako. Mnunuzi wa kawaida angepigiwa simu tu afike kituoni. Ndio angekamatwa..ila wa kufatwa usiku wa manane ujue ni mtu wa matukio.
Kununua simu ya wizi sio sababu kuu
Mimi nilivyoona mkazi wa mburahati na mambo ya simu ya wizi. Akili yangu inaniambia mumewe ni mwizi mtu wa matukio.
Huyo mumewe ni mwizi na polisi huwa hawawacheleweshi wezi. Ajiandae kufata mwili
Mtuhumiwa yoyote lazima afikishwe kituo cha polisi na apandishwe mahakamani kusomewa kesi yake na ndugu zake wajulishwe hata kama ameuua.Hayo maelezo. Kuna vitu binti anaficha.
Polisi sio wajinga hawakurupuki.
Mpaka polisi wakufate nyumbani usiku wa manane maana yake wameshakujua tabia zako. Mnunuzi wa kawaida angepigiwa simu tu afike kituoni. Ndio angekamatwa..ila wa kufatwa usiku wa manane ujue ni mtu wa matukio.
Kununua simu ya wizi sio sababu kuu
Mimi nilivyoona mkazi wa mburahati na mambo ya simu ya wizi. Akili yangu inaniambia mumewe ni mwizi mtu wa matukio.
Huyo mumewe ni mwizi na polisi huwa hawawacheleweshi wezi. Ajiandae kufata mwili
Huyu jamaa huenda akawa si binadam ama si Mtanzania màana hata alichokiandika hakitoki sayari hii ama huenda ni ....... Anayejipooza nafsi yake kwa matendo aliyofanya ya kumwag ,,,,,,za watu ...yaan kujifariji.Unakisoma ulichaondika ndugu??Kwa hiyo unasupport polisi kupoteza watu kisa ni wezi ama??Tutajuaje sisi kama ni mwizi bila ya mahakama kuthibitisha hilo??Vipi kama wana- bief zao huko mtaani??
Haya mambo msiongee kana kwamba nyie ni watu wengine..Hata wewe hapo ndugu yako au mtoto wako anaweza siku akapata masaibu ya design hiyo...ndo akili zitakukaa sawa..kujua umuhimu wa kusisitiza kufuata misingi ya sheria na katika.
Polisi sio hakimu
AsanteGOOGLE KITUOCHA SHERIA NA HAKIZABINADAMUTANZANIA
Huyo mjumbe anachoskitika ni kitu gani kama sio mnafikiKaka naomba unisaidie kunielezea matatizo yangu kwenye ule mtandao wenu wa jamii forums ulionisaodia kipindi kile,wakati huu nahitaji msaada sana
Haya ni maneno ya binti ambaye anaitwa Rahma Shaabani Kiwangala,mwenye mtoto mdogo wa takriban mwaka mmoja mkazi wa Manzese mburahati ,mtaa wa kwa jongo Kata ya makurumla ambaye saa nane usiku akiwa na mume wake nyumbani walifuatwa na mjumbe wa mtaa anayeitwa Zuhura Ngwenje namba zake ni 0715328582(yupo tayari kutoa ushirikiano) akiwa ameambatana na maaskari wawili WA kituo kikubwa cha polisi CHANIKA MWISHO ambao majina Yao ni Mussa Ally na Bonifas Gablier ambao walimkamata mume WA binti huyu anayeitwa OMAR MWELEA HUSSEIN kwa kosa la kununua simu ya wizi.
Polisi hao wawili walimchukua mpaka kituo kikuu cha polisi CHANIKA MWISHO,asubuhi ndugu WA mtuhumiwa walikuja kumuangalia ndugu Yao na kufuatilia kesi yake wakaambiwa kesi IPO kwenye upelelezi na hawakupewa ruhusa ya kumuona ndugu Yao,kuanzia siku hiyo kila wakija kufuatilia wakawa wanazungushwa bila kuruhusiwa kumuona ndugu Yao,na wakati mwingine wakawa wanakuja na mjumbe wao aliyefanikisha kukamatwa kwake lakini jibu la mwisho wakajibiwa kwamba HAKUNA KESI KAMA HIYO KITUONI HAPO NA WASIENDE TENA KUFUATILIA HAPO.
Binafsi nimempgia mjumbe na amekiri kutokea kwa tukio hilo na amesikitika sana kwa sheria kupindishwa na ndugu hao kutopata haki ya kusikilizwa,kujua wapi alipo ndugu Yao na amesema ameenda kwa mkuu kulifikisha swala hilo na amewakuta maaskari hao wapo kituoni hapo na akawatambua kuwa ndio walewale walikuja kumkamata Bwana Omary lakini bado hakupewa ushirikiano wowote.
Tukio hili limetokea usiku WA tarehe 18 mwez WA pili jumamosi kuamkia jumapili saa nane usiku.mpaka Leo umetimia mwezi mmoja bila ndugu kujua lolote na wameambiwa Hakuna kesi Kama hiyo WASIENDE kufuatilia kituoni HAPO.
Tunaomba serikali ya Jamhuri ya Tanzania iwasaidie ndugu hawa kujua ukweli unaofichwa ni upi katika hili, ili iwasaidie familia hii kujua alipo ndugu Yao?
Mke wake na ndugu kwa ujumla wanasema wanahitaj tu kujua hata Kama polisi hawa wamemuuwa ndugu Yao basi waonyeshwe mwili wakazike ama wajue tu kuwa ameuwawa wazike nguo zake.
Inauma sana kwa kweli imagine ni ndugu yako ndio amefanyiwa hivyo,ndugu zangu tumsaidie huyu Bwana asiyejulikaana alipopelekwa,familia yake na mke wake kwa ujumla angalau wafaham alipopelekwa na polisi hawa
Tukumbuke Tanzania ni ya kwetu sote,na sote tuna haki sawa.
Mama wasaidie wanao,kwani waliopewa mamlaka ya kusaidia ndio wamepata maguvu ya kukandamiza wenzao
Ila mjomba umekosea sana kusema kwamba Hamcheleweshi wezi ,sasa mahakama imekuwa ni mikono yenu amaHayo maelezo. Kuna vitu binti anaficha.
Polisi sio wajinga hawakurupuki.
Mpaka polisi wakufate nyumbani usiku wa manane maana yake wameshakujua tabia zako. Mnunuzi wa kawaida angepigiwa simu tu afike kituoni. Ndio angekamatwa..ila wa kufatwa usiku wa manane ujue ni mtu wa matukio.
Kununua simu ya wizi sio sababu kuu
Mimi nilivyoona mkazi wa mburahati na mambo ya simu ya wizi. Akili yangu inaniambia mumewe ni mwizi mtu wa matukio. Kuna maeneo dar es salaam yamejaa watu wa matukio ndio wanaishi. Mojawapo ni kigogo mburahati, tandika kwa kindande, yombo taa nyekundu, chanika. Hayo maeneo yamejaa vibaka na majambazi
Huyo mumewe ni mwizi na polisi huwa hawawacheleweshi wezi. Ajiandae kufata mwili
Wajumbe wengi ni watu tu WA kawaida humo mtaani na wengi hawajui sheria hizo,hivyo wanatii na kushirikiana na polisi kutokomeza uhalifu mbalimbali mitaani..mjumbe alisimama vyema kwenye nafasi yake nahisi hana lawama tumuweke pemben tuangalie jinsi gani ya kusaidia huyu bint na familia ya Bwana OmaryHuyo mjumbe anachoskitika ni kitu gani kama sio mnafiki
Inamaana yeye hajui sheria kwamba polisi hatakiwa kumkamata mtuhumiwa saa nane za usiku?
Alitakiwa asitoe ushieikiano sababu haitakiw kwa mujibu wa sheria polis kumkamata mtu nyumban kwake saa nane usiku
Sawa afande wanahitaji kujua alipo,hata kama hamcheleweshi mmemuua wapeni mwili wakazike.Hayo maelezo. Kuna vitu binti anaficha.
Polisi sio wajinga hawakurupuki.
Mpaka polisi wakufate nyumbani usiku wa manane maana yake wameshakujua tabia zako. Mnunuzi wa kawaida angepigiwa simu tu afike kituoni. Ndio angekamatwa..ila wa kufatwa usiku wa manane ujue ni mtu wa matukio.
Kununua simu ya wizi sio sababu kuu
Mimi nilivyoona mkazi wa mburahati na mambo ya simu ya wizi. Akili yangu inaniambia mumewe ni mwizi mtu wa matukio. Kuna maeneo dar es salaam yamejaa watu wa matukio ndio wanaishi. Mojawapo ni kigogo mburahati, tandika kwa kindande, yombo taa nyekundu, chanika. Hayo maeneo yamejaa vibaka na majambazi
Huyo mumewe ni mwizi na polisi huwa hawawacheleweshi wezi. Ajiandae kufata mwili
Wamtangulize Mungu kwa maombiHapa umesemaje mkuu kama sijakuelewa wafanyaje?
Dah! Poleni sana ndugu zangu kwa hiyo changamoto kubwa iliyowakuta. Waambie wajaribu kumtafuta huyu +255620898989.Kaka naomba unisaidie kunielezea matatizo yangu kwenye ule mtandao wenu wa jamii forums ulionisaodia kipindi kile,wakati huu nahitaji msaada sana
Haya ni maneno ya binti ambaye anaitwa Rahma Shaabani Kiwangala,mwenye mtoto mdogo wa takriban mwaka mmoja mkazi wa Manzese mburahati ,mtaa wa kwa jongo Kata ya makurumla ambaye saa nane usiku akiwa na mume wake nyumbani walifuatwa na mjumbe wa mtaa anayeitwa Zuhura Ngwenje namba zake ni 0715328582(yupo tayari kutoa ushirikiano) akiwa ameambatana na maaskari wawili WA kituo kikubwa cha polisi CHANIKA MWISHO ambao majina Yao ni Mussa Ally na Bonifas Gablier ambao walimkamata mume WA binti huyu anayeitwa OMAR MWELEA HUSSEIN kwa kosa la kununua simu ya wizi.
Polisi hao wawili walimchukua mpaka kituo kikuu cha polisi CHANIKA MWISHO,asubuhi ndugu WA mtuhumiwa walikuja kumuangalia ndugu Yao na kufuatilia kesi yake wakaambiwa kesi IPO kwenye upelelezi na hawakupewa ruhusa ya kumuona ndugu Yao,kuanzia siku hiyo kila wakija kufuatilia wakawa wanazungushwa bila kuruhusiwa kumuona ndugu Yao,na wakati mwingine wakawa wanakuja na mjumbe wao aliyefanikisha kukamatwa kwake lakini jibu la mwisho wakajibiwa kwamba HAKUNA KESI KAMA HIYO KITUONI HAPO NA WASIENDE TENA KUFUATILIA HAPO.
Binafsi nimempgia mjumbe na amekiri kutokea kwa tukio hilo na amesikitika sana kwa sheria kupindishwa na ndugu hao kutopata haki ya kusikilizwa,kujua wapi alipo ndugu Yao na amesema ameenda kwa mkuu kulifikisha swala hilo na amewakuta maaskari hao wapo kituoni hapo na akawatambua kuwa ndio walewale walikuja kumkamata Bwana Omary lakini bado hakupewa ushirikiano wowote.
Tukio hili limetokea usiku WA tarehe 18 mwez WA pili jumamosi kuamkia jumapili saa nane usiku.mpaka Leo umetimia mwezi mmoja bila ndugu kujua lolote na wameambiwa Hakuna kesi Kama hiyo WASIENDE kufuatilia kituoni HAPO.
Tunaomba serikali ya Jamhuri ya Tanzania iwasaidie ndugu hawa kujua ukweli unaofichwa ni upi katika hili, ili iwasaidie familia hii kujua alipo ndugu Yao?
Mke wake na ndugu kwa ujumla wanasema wanahitaj tu kujua hata Kama polisi hawa wamemuuwa ndugu Yao basi waonyeshwe mwili wakazike ama wajue tu kuwa ameuwawa wazike nguo zake.
Inauma sana kwa kweli imagine ni ndugu yako ndio amefanyiwa hivyo,ndugu zangu tumsaidie huyu Bwana asiyejulikaana alipopelekwa,familia yake na mke wake kwa ujumla angalau wafaham alipopelekwa na polisi hawa
Tukumbuke Tanzania ni ya kwetu sote,na sote tuna haki sawa.
Mama wasaidie wanao,kwani waliopewa mamlaka ya kusaidia ndio wamepata maguvu ya kukandamiza wenzao
Sawa afande wanahitaji kujua alipo,hata kama hamcheleweshi mmemuua wapeni mwili wakazik
Ndugu wapo tayari hata mwili ukatupwe tu barabarani karibu na kwao,wataukokota na kuusitiri kwa Imani zao.maana kwa sasa wanaamini wao hawana mtetezi wala WA kuwasemea kwenye nchi Yao wenyewe.WAMESHAKATA TAMAASawa afande wanahitaji kujua alipo,hata kama hamcheleweshi mmemuua wapeni mwili wakazike.