Naomba msaada mume wangu amekamatwa na polisi nyumbani saa nane usiku kwa tuhuma za kununua simu ya wizi. Vituo vyote wanadai hayupo na tusimtafute

Naomba msaada mume wangu amekamatwa na polisi nyumbani saa nane usiku kwa tuhuma za kununua simu ya wizi. Vituo vyote wanadai hayupo na tusimtafute

Mtu ambaye anaweza kutupa msaada ndio hapa anatafutwa kaka ,m

Mtu ambaye anaweza kutoa msaada ndio hapa anatafutwa kaka,TENA anayewatafutia ni mtu mwingine kabisa aliyejitolea màana wao wameshakuwa wanyonge na kujiona Kama wakimbizi kwenye nchi Yao wenyewe na hata Mimi wameniambia maneno haya nimejisikia uchungu sana ''Baba huko unakoenda kuandika hili ujadili na watu kuwa majini Baba màana usije ikapata matatizo na wewe nchi ina wenyewe hii Sisi masikini hatuna màana yoyote'' halafu hawa hawa ndio wapiga Kura.

Kama unaweza kuwasaidia lakini bila rushwa mpigie mjumbe namba yake IPO kwenye bandiko wasaidie Mungu atakulipa ama utakuwa umetimia wajibu wako.
KUNA MTU NINGEKUPA ILA NAITAJI KUMJUA HUYO ALIYEKAMATWA YUPOJE NA KAZI YAKE NO KUFICHA
 
Mwangosi alifanywa nini na nani? Unakumbuka Kamuhanda alishatoa neno kabla ya yale mauaji?

Akwilina aliuawa kwa risasi ya polisi. Niambie lengo la risasi ya moto kwenye ile issue ambayo raia hawana silaha na risasi ikampiga Akwilina akiwa ndani ya daladala akiwa ahusiki na maandamano...

Unakumbuka video za ile commotion ya Mwembechai? kupitia runinga tuliona risasi zikirindima huku zikitoka akri piga yule piga yule.....

Hii nchi imeshaondoka kwenye misingi yake ndo maana haya yanatokea na hakuna anayewajibika
Dah braza mm unanichanganya kwa kweli ila Mimi naamini nchi yangu bado ni Safi haijafikiwa huko kwenye mambo ya ushetani mkubwa hivyo ndio màana nasema huenda kuna watu pemben Wana mabifu Yao na mwangosi wakamtwanga risasi kisha wanasakizia serikali ili ionekane mbaya,sasa Kama akwilina alikuwa kwenye gari Nani atampiga risasi yeye aache wale WA kwenye maandamano yaani amlenge haswa target mtu aliyetulia kwenye gar aache wanaopiga kelele,unaweza kuwa alitaka apige juu kutuliza ghasia chuma ikaponyoka ikapita siko watu eeeeh kamuua akwilina hapo sasa mchaka mchaka WA maneno ndio unaanza kizazi na kizaz kurithishana roho mbaya za chuki.hivi bro wewe unakubal mtu aache kundi amlenge akwilina..aliyetulia kweli?

Kuna kundi linachafua linatumia vibaya mamlaka Yao na wanayoyafanya yanarudi kwa serikali kutupiwa lawama Kama hawa Askari wawili wamemteka Bwana Omary na sasa unasema serikali nzima.

Sema serikali tatzo haishughlikii IPASAVYO hawa watu wapuuzi ili isiwachafue yaani ingekuwa inawashughlikia isingekuwa na doa ingekuwa myeupe Kama tishu
 
Hayo maelezo. Kuna vitu binti anaficha.

Polisi sio wajinga hawakurupuki.

Mpaka polisi wakufate nyumbani usiku wa manane maana yake wameshakujua tabia zako. Mnunuzi wa kawaida angepigiwa simu tu afike kituoni. Ndio angekamatwa..ila wa kufatwa usiku wa manane ujue ni mtu wa matukio.

Kununua simu ya wizi sio sababu kuu

Mimi nilivyoona mkazi wa mburahati na mambo ya simu ya wizi. Akili yangu inaniambia mumewe ni mwizi mtu wa matukio. Kuna maeneo dar es salaam yamejaa watu wa matukio ndio wanaishi. Mojawapo ni kigogo mburahati, tandika kwa kindande, yombo taa nyekundu, chanika. Hayo maeneo yamejaa vibaka na majambazi

Nahisi Huyo mumewe ni mwizi na polisi huwa hawawacheleweshi wezi.
Siku hizi Polisi.hawafati PGO?

Kwa nini.ubinadamu unawatoka?

Yaani simu tu ndio hivyo?

Mbona mafisadi wanatamba?
 
Mtu ambaye anaweza kutupa msaada ndio hapa anatafutwa kaka ,m

Mtu ambaye anaweza kutoa msaada ndio hapa anatafutwa kaka,TENA anayewatafutia ni mtu mwingine kabisa aliyejitolea màana wao wameshakuwa wanyonge na kujiona Kama wakimbizi kwenye nchi Yao wenyewe na hata Mimi wameniambia maneno haya nimejisikia uchungu sana ''Baba huko unakoenda kuandika hili ujadili na watu kuwa majini Baba màana usije ikapata matatizo na wewe nchi ina wenyewe hii Sisi masikini hatuna màana yoyote'' halafu hawa hawa ndio wapiga Kura.

Kama unaweza kuwasaidia lakini bila rushwa mpigie mjumbe namba yake IPO kwenye bandiko wasaidie Mungu atakulipa ama utakuwa umetimia wajibu wako.
Taarifa pia zimechelewa.....mwizi anatakiwa Apigiwe mayowee muda huo huo anakosa ujasiri.

Huenda wasiojulikana wamerudi tena.
 
Dah braza mm unanichanganya kwa kweli ila Mimi naamini nchi yangu bado ni Safi haijafikiwa huko kwenye mambo ya ushetani mkubwa hivyo ndio màana nasema huenda kuna watu pemben Wana mabifu Yao na mwangosi wakamtwanga risasi kisha wanasakizia serikali ili ionekane mbaya,sasa Kama akwilina alikuwa kwenye gari Nani atampiga risasi yeye aache wale WA kwenye maandamano yaani amlenge haswa target mtu aliyetulia kwenye gar aache wanaopiga kelele,unaweza kuwa alitaka apige juu kutuliza ghasia chuma ikaponyoka ikapita siko watu eeeeh kamuua akwilina hapo sasa mchaka mchaka WA maneno ndio unaanza kizazi na kizaz kurithishana roho mbaya za chuki.hivi bro wewe unakubal mtu aache kundi amlenge akwilina..aliyetulia kweli?

Kuna kundi linachafua linatumia vibaya mamlaka Yao na wanayoyafanya yanarudi kwa serikali kutupiwa lawama Kama hawa Askari wawili wamemteka Bwana Omary na sasa unasema serikali nzima.

Sema serikali tatzo haishughlikii IPASAVYO hawa watu wapuuzi ili isiwachafue yaani ingekuwa inawashughlikia isingekuwa na doa ingekuwa myeupe Kama tishu
Kama serikali haihusiki na mauaji ya watu holela mpaka leo tungeshawafahamu waliompiga risasi Tundu Lisu. Pia hata Ben Saanane tungeshajua hatima yake.

Ndugu yangu, tunaposema serikali hatumaanishi vitengo vyote. bali ushiriki wa wenye mamlaka na wenye uwezo wa kukomesha haya matukio.
 
Hayo maelezo. Kuna vitu binti anaficha.

Polisi sio wajinga hawakurupuki.

Mpaka polisi wakufate nyumbani usiku wa manane maana yake wameshakujua tabia zako. Mnunuzi wa kawaida angepigiwa simu tu afike kituoni. Ndio angekamatwa..ila wa kufatwa usiku wa manane ujue ni mtu wa matukio.

Kununua simu ya wizi sio sababu kuu

Mimi nilivyoona mkazi wa mburahati na mambo ya simu ya wizi. Akili yangu inaniambia mumewe ni mwizi mtu wa matukio. Kuna maeneo dar es salaam yamejaa watu wa matukio ndio wanaishi. Mojawapo ni kigogo mburahati, tandika kwa kindande, yombo taa nyekundu, chanika. Hayo maeneo yamejaa vibaka na majambazi

Nahisi Huyo mumewe ni mwizi na polisi huwa hawawacheleweshi wezi.
kwahiyo una maanisha polisi wanaruhusiwa kuchukua sheria mkononi? au basi na hao ndugu wakaloge aliempoteza ndugu yao waridhike au tumia medula mkuu.
 
Nenda kwa OCD, na kwa RPC.

Au neñdeni kwa BASHITE.

Mkishindwa mtafuteni WAKILI akafungue kesi mahakamani dhidi ya hao majambazi wenye sare za kipolisi.

Lakini kwa BASHITE ndio kiboko zaidi. BASHITE ni zaidi ya MUHIMILI.

Maaskari wote wanatetemeka mbele ya BASHITE mpaka wanajikojolea. He carries the true POWER.
nchi hii huyo binti amtafute baba keagan hao wengine wote wanaogopana bashite ana vinasaba vya magufuli.
 
KILE KITUO UNAWEZA KUWEKWA NA UKATAFUTWA KOTE USIJULIKANE WAANZIE HAPO TENA KWA BUSARA
Busara unamaanisha waanze vipi kaka,..wameambiwa HAPA HAKUNA KESI KAMA HIYO NA MSIJE TENA KUULIZIA...wanashindwa hata waende wakaanze vipi na wanajua hapa ndio ndugu Yao yupo...ila mbona Kama hawa wenzetu wanatunyanyasa sana aisee kwani si wanyooshe tu maelezo na watu wamuone ndugu Yao akipandishwq mahakamani? Si ndio sheria itakavyo au wanatengeneza njia za kupata kupga pesa huku nyumban mtoto na mke wanateseka sana.HAKI IKO WAPI?
 
Busara unamaanisha waanze vipi kaka,..wameambiwa HAPA HAKUNA KESI KAMA HIYO NA MSIJE TENA KUULIZIA...wanashindwq hata waende wakaanze vipi na wanakupa hapa ndio ndugu Yao yupo...ila mbona Kama hawa wenzetu wanatunyanyasa sana aisee kwani si wanyooshe tu maelezo na watu wamuone ndugu Yao akipandishwq mahakamani? Si ndio sheria itakavyo au wanatengeneza njia za kupata kupga pesa huku nyumban mtoto na mke wanateseka sana.HAKI IKO WAPI?
MUONE MALISA GJ YULE WA CHADEMA FACEBOOK KESHO SIO MBALI TU MTAPATA MAJIBU
 
MUONE MALISA GJ YULE WA CHADEMA FACEBOOK KESHO SIO MBALI TU MTAPATA MAJIBU
Atatoa msaada mkuu kama unavyosema au ataleta mambo ya uchama kwenye matatizo halisi ya Mtanzania huyu aliyemuacha mke na mtoto wanateseka kwenye nyumba ya kupanga?hapa sina kitu na Nina familia lakini nawawazia wao

Imagine ni ndugu yako ndio amefanyiwa hivyo ungejisikiaje mkuu?
 
Atatoa msaada mkuu kama unavyosema au ataleta mambo ya uchama kwenye matatizo halisi ya Mtanzania huyu aliyemuacha mke na mtoto wanateseka kwenye nyumba ya kupanga?hapa sina kitu na Nina familia lakini nawawazia wao

Imagine ni ndugu yako ndio amefanyiwa hivyo ungejisikiaje mkuu?
HUYU ANA NGUVU KUBWA YA KUSIKILIZWA KUPAZA SAUTI .KUNA WATU HATA NENO MOJA KWAO NI TISHIO KWA SERIKALI
 
Hapana,Tanzania yetu tunayoijua,kuipenda na kuilinda kwa jasho na damu ni Tanzania ileile ambayo haijawekwa wala haitawekeka mikononi mwa watu wasiozingatia utawala WA Katiba na sheria.ISIPOKUWA kuna watu wachache ambao wao wanajiona wana mamlaka ya kuifanya Tanzania yetu vile watakavyo bila kujali Katiba na sheria kutokana na nafasi ama vyeo vyao,hawa sasa wanatakiwa washughlikiwe IPASAVYO hili wasiiharibu nchi yetu mkuu

Ndio unajidanganya?? Kuwa mpole mkuu Watu wanapotezwa na katiba ni karatasi.
 
Kaka naomba unisaidie kunielezea matatizo yangu kwenye ule mtandao wenu wa jamii forums ulionisaodia kipindi kile, wakati huu nahitaji msaada sana

Haya ni maneno ya binti ambaye anaitwa Rahma Shaabani Kiwangala,mwenye mtoto mdogo wa takriban mwaka mmoja mkazi wa Manzese mburahati ,mtaa wa kwa jongo Kata ya makurumla ambaye saa nane usiku akiwa na mume wake nyumbani walifuatwa na mjumbe wa mtaa anayeitwa Zuhura Ngwenje namba zake ni 0715328582 (yupo tayari kutoa ushirikiano) akiwa ameambatana na maaskari wawili WA kituo kikubwa cha polisi CHANIKA MWISHO ambao majina Yao ni Mussa Ally na Bonifas Gablier ambao walimkamata mume WA binti huyu anayeitwa OMAR MWELEA HUSSEIN kwa kosa la kununua simu ya wizi.

Polisi hao wawili walimchukua mpaka kituo kikuu cha polisi CHANIKA MWISHO, asubuhi ndugu wa mtuhumiwa walikuja kumuangalia ndugu Yao na kufuatilia kesi yake wakaambiwa kesi IPO kwenye upelelezi na hawakupewa ruhusa ya kumuona ndugu yao, kuanzia siku hiyo kila wakija kufuatilia wakawa wanazungushwa bila kuruhusiwa kumuona ndugu Yao,na wakati mwingine wakawa wanakuja na mjumbe wao aliyefanikisha kukamatwa kwake lakini jibu la mwisho wakajibiwa kwamba HAKUNA KESI KAMA HIYO KITUONI HAPO NA WASIENDE TENA KUFUATILIA HAPO.

Binafsi nimempgia mjumbe na amekiri kutokea kwa tukio hilo na amesikitika sana kwa sheria kupindishwa na ndugu hao kutopata haki ya kusikilizwa,kujua wapi alipo ndugu Yao na amesema ameenda kwa mkuu kulifikisha swala hilo na amewakuta maaskari hao wapo kituoni hapo na akawatambua kuwa ndio walewale walikuja kumkamata Bwana Omary lakini bado hakupewa ushirikiano wowote.

Tukio hili limetokea usiku WA tarehe 18 mwez WA pili jumamosi kuamkia jumapili saa nane usiku.mpaka Leo umetimia mwezi mmoja bila ndugu kujua lolote na wameambiwa Hakuna kesi Kama hiyo WASIENDE kufuatilia kituoni HAPO.

Tunaomba serikali ya Jamhuri ya Tanzania iwasaidie ndugu hawa kujua ukweli unaofichwa ni upi katika hili, ili iwasaidie familia hii kujua alipo ndugu Yao?

Mke wake na ndugu kwa ujumla wanasema wanahitaj tu kujua hata Kama polisi hawa wamemuuwa ndugu Yao basi waonyeshwe mwili wakazike ama wajue tu kuwa ameuwawa wazike nguo zake.

Inauma sana kwa kweli imagine ni ndugu yako ndio amefanyiwa hivyo,ndugu zangu tumsaidie huyu Bwana asiyejulikaana alipopelekwa,familia yake na mke wake kwa ujumla angalau wafaham alipopelekwa na polisi hawa

Tukumbuke Tanzania ni ya kwetu sote na sote tuna haki sawa.

Mama wasaidie wanao, kwani waliopewa mamlaka ya kusaidia ndio wamepata maguvu ya kukandamiza wenzao
Jumanne Sajin, naibu waziri wa mambo ya ndani ameshasoma ujumbe huu.
Kuwa mvumilivu, linafanyiwa kazi
 
Hayo maelezo. Kuna vitu binti anaficha.

Polisi sio wajinga hawakurupuki.

Mpaka polisi wakufate nyumbani usiku wa manane maana yake wameshakujua tabia zako. Mnunuzi wa kawaida angepigiwa simu tu afike kituoni. Ndio angekamatwa..ila wa kufatwa usiku wa manane ujue ni mtu wa matukio.

Kununua simu ya wizi sio sababu kuu

Mimi nilivyoona mkazi wa mburahati na mambo ya simu ya wizi. Akili yangu inaniambia mumewe ni mwizi mtu wa matukio. Kuna maeneo dar es salaam yamejaa watu wa matukio ndio wanaishi. Mojawapo ni kigogo mburahati, tandika kwa kindande, yombo taa nyekundu, chanika. Hayo maeneo yamejaa vibaka na majambazi

Nahisi Huyo mumewe ni mwizi na polisi huwa hawawacheleweshi wezi.
Sawa hata kama ni mwizi sheria zipo wazi , ijulikane yupo kituo gani na apewe haki zake za msingi kama dhamana au kama dhamana haitolewi kwa sababu za kiuchunguzi pia liwekwe wazi , kumficha mtu na kutowajulisha ndugu hapo ni uvunjifu wa haki na sheria
 
Back
Top Bottom