Naomba msaada: Uume wangu hulegea wakati wa tendo

Mkuu wacha nianze leo jioni kukimbia naanza na km 4 kwanza mana daah inakwra sana

Nikimtizama wife anapita na kanga moja au night dress jamaa anasimama bara bara ila nikiingia mzigoni daah mpaka naomba sapoti ya mkono kabisa.
Hizo km 4 unazisema tuu sidhani kama utaenda non stop
 
Kuna mijitu mijinga inakukatisha tamaa kwenye huu uzi wako.
Asiye na nguvu za kiume ni yule ambaye akisimamisha, inakuwa haiangalii juu, yaani inaangalia chini. Je, inapokuwaga ngumu kama jiwe huwaga inaangalia wapi?, juu au chini?
 
Kuna mijitu mijinga inakukatisha tamaa kwenye huu uzi wako.
Asiye na nguvu za kiume ni yule ambaye akisimamisha, inakuwa haiangalii juu, yaani inaangalia chini. Je, inapokuwaga ngumu kama jiwe huwaga inaangalia wapi?, juu au chini?
Aah mkuu kwa kweli haisimamii juu kabisa na haiangalii chini kabisa ni kama iko levo kidogo hivi.
 
pamoja na mazoezi uwe hata kwa wiki mara mbili unaosha dushe kwa kutumia dawa ya MENO it works for sure
 
Aah mkuu kwa kweli haisimamii juu kabisa na haiangalii chini kabisa ni kama iko levo kidogo hivi.
Kujua kama ikiwa ngumu kama jiwe inaangalia chini au juu, inatakiwa kipindi imedinda uwe umesimama kwa miguu yako miwili, kwahiyo, siku nyingine ikiwa ngumu kama jiwe, inuka haraka usimame kwa miguu, halafu iangalie kama inaangalia juu au chini. Ikidinda fanya hivyo halafu njoo ulete mrejesho.
Ikiangalia juu maana yake una nguvu nyingi tu. Ikiangalia chini maana yake hauna nguvu. Ikiwa haiangalii chini wala juu, maana yake nguvu zako ni za wastani, yaani siyo ndogo wala siyo nyingi.
 
Nadhani kw maana yako nguvu zinaanza kuisha mkuu mana siwezi sema inaangalia juu kabisa mkuu.kwa hilo sidanganyi.

Haya mkuu ebu nipe maujanja nirudishe nguvu
 
Nadhani kw maana yako nguvu zinaanza kuisha mkuu mana siwezi sema inaangalia juu kabisa mkuu.kwa hilo sidanganyi.

Haya mkuu ebu nipe maujanja nirudishe nguvu
Kwanza kabisa, shukuru haiangalii chini, ingekuwa inaangalia chini tungesema hauna nguvu. Yako haiangalii chini wala juu maana yake una nguvu za wastani, nguvu hizo za wastani lolote linaweza tokea, zinaweza pungua au kuongezeka kutokana na mtindo wa maisha utakaoishi. Badili mtindo wa maisha ili ziongezeke.
CHA KUFANYA.
1: Nenda hospitali kapime watajua nini tatizo.
2: Acha kuungia mboga mafuta ya kula ya aina yoyote, baadala yake ungia karanga mbichi, yaani zitwange karanga mbichi ziwe unga halafu zitumbukize kwenye mboga.
3: Kula vyakula vinavyoongeza nguvu za kiume, shahawa, mbegu na akili.
MUHIMU.
Anza na hospitali kwanza.
 
Sawa mkuu nimekuelewa asante sana
 
Tafuta watu wanaoaminika kuwa wanasaidia kwa taaluma zao au uzoefu wao
 
Mkuu hutaki tu kusema ukweli lakini nahisi mke wako atakuwa na K pana ambayo haibani vizuri mashine yako. Mwambie mkeo awaone wataalamu wampunguzie upana wa K Ili uweze kuenjoy issue, vinginevyo utazeeka ukimtafuta mchawi bila mafanikio. Ni hayo tu mkuu.
 
Hapana mkuu kuna uzi nimeandika hivi juzi tuuuuu kuomba kilainishi kwa ajili ya mke wangu,mungu kampa uke wa kubana ila tuu sometimes hatoi ute
 
maneno yaliyojaa msaada wa kweli

Shukran@General Mangi
 
Baby ninaye!
Heshima kwako love.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…