Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bila shaka mwanachuo ni mtu mzima. Hivyo anachokifanya anakitambua. Nivyema mngekubali aolewe tuu kwasababu aliyokuwa akiyafanya alijua matokeo yake.Watu wa jukwaa hili habari zenu.,
Nadhani nipo kwenye jukwaa sahihi, ndugu yangu amepachikwa ujauzito na mvulana amekiri, bint yangu alikuwa mwaka wa kwanza chuo sasa amelazimika kukatisha masomo ili ajifungue.
Familia tumekataa ndoa kwa sababu mbali mbali, lakini tunafkiria kuchukua hatua za kisheria.
Naomba msaada wa kisheria. labda tuanzie hapa
Mmmmm pambabeni binti uenu ajifungue arudi chuo....achabeni na mkwe...time atasmua...! Ushauri rahisi na wa bureWatu wa jukwaa hili habari zenu.,
Nadhani nipo kwenye jukwaa sahihi, ndugu yangu amepachikwa ujauzito na mvulana amekiri, bint yangu alikuwa mwaka wa kwanza chuo sasa amelazimika kukatisha masomo ili ajifungue.
Familia tumekataa ndoa kwa sababu mbali mbali, lakini tunafkiria kuchukua hatua za kisheria.
Naomba msaada wa kisheria. labda tuanzie hapa
Umesema Ndugu yako, halafu ghafra bin Vuu! ndugu yako akabadilila na kuwa Binti yako.Nadhani nipo kwenye jukwaa sahihi,ndugu yangu amepachikwa ujauzito na mvulana amekiri, bint yangu alikuwa mwaka wa kwanza chuo sasa amelazimika kukatisha masomo ili ajifungue.
Vyuon Kuna mpaka kondom za bure Ila mwanenu akaona ATI.we kavuWatu wa jukwaa hili habari zenu.,
Nadhani nipo kwenye jukwaa sahihi, ndugu yangu amepachikwa ujauzito na mvulana amekiri, bint yangu alikuwa mwaka wa kwanza chuo sasa amelazimika kukatisha masomo ili ajifungue.
Familia tumekataa ndoa kwa sababu mbali mbali, lakini tunafkiria kuchukua hatua za kisheria.
Naomba msaada wa kisheria. labda tuanzie hapa
Huyo mzee bwege kabisa ....hawa ndio huwa wanasababisha vifo vya mabinti zao....Kwahiyo Jamaa kataka Kumuoa Nyie Viherehere Mnakaa ili
Au Familia Mliamin Ndio Mmetoboa kupitia Huyo?
Na nani Aliye waeleza Kupata mimba Ndio mwisho wa Masomo yake mwana chuo?
Mtamshitaki kwa Sheria Ipi?
Hahahahahaha..halafu wanataka kumfungulia mashtaka Mkwe wao....hao jamaa wana akili kweli ? ...familia zingine ni taka taka kabisamwanaume anataka kumuoa ila nyie mnakataaa
mtamlea huyo binti na huyo mtoto na hakuna msaada wowote mtapata
hapo ukute ukoo mzima umekaaa ukajadilianaHahahahahaha..halafu wanataka kumfungulia mashtaka Mkwe wao....hao jamaa wana akili kweli ? ...familia zingine ni taka taka kabisa