Naomba msaada wa Kisheria, ndugu yangu kapachikwa ujauzito

Naomba msaada wa Kisheria, ndugu yangu kapachikwa ujauzito

Hiyo familia yenu imejaa wapumbavu na hamjitambui, mwaka wa kwanza ni mtoto kwamba mnataka mchukue sheria?
Mkienda mahakamani mtaonekana wajinga wamejikusanya.

Bora huyo jamaa aachane na huyo single maza atamsumbua huko mbele.
 
Ni vyema huyu Binti aanze kujitegemea ni mtu mzima ndugu,mpaka mtu yupo chuo na anapata mimba SI mtoto tena ,heshimu maamuzi yake yeye ndio amemchagua huyo kijana.
 
Hata huko ustawi wa jamii hushindi hii kesi...sana sana atasikilizwa huyo Mkweo kipato chake kwq mwezi na kama anaeza kuhudumia atapangiwq kutokana na kipato chake ....kisha mtaambiwa mtoto akifika miaka saba anaenda kwa baba ake kwa sasa aendelee kulelewa na mama ake

Usishangae huko ustawi wa jamii wakamwambia mkweo awe analipa elfu 10 kila mwezi kama hana kipato
Na hapa ndipo wanaokimbilia ustawi was jamii wanapofeli
 
Kama alibakwa mnaweza fungua kesi ila kama hakukua na tukio hilo mkuu mnajisumbua,muacheni aolewe
Alobakwa anatoa taarifa siku ya tukio. Maana hajasema kama alitishiwa maisha endapo angesema. Mwenye mimba kajitambulisha na kuikubali. Si jambo alilofikilia bila kumshilikisha mjamzito. Wakaelewana,wakakubaliana. Sasa,tunataka kesi. Wakaombe ushauli kwa Yombo naona hapa JF wamekosea
 
Vijana washapendana, wao wanaleta unoko. Kama Wazazi walitakiwa kuwapa counseling na kuwawezesha waanze maisha Kisha wawaozeshe maana kijana alietia mimba Yuko serious, ana Nia ya kuoa
Sasa ndugu yangu,kwa hili tu! Hamuoni umasikini wa kwanza watu tulio nao ni akili finyu! Ukoo haumtaki mtu. Hawa kesho hata wakiishi,lazima dosari ilishaingia hio ndoa haiwezi kuwa na amani. Watoto wameanza kutoka keahokutwa anafyatuliwa mwigine. Wanakuta wazazi hawako sawa,hawapendwi na ndugu. Upande wa mwanaume,hawajachelewa kumshauli aachane na huyo mwanamke.
Maendeleo yanayosemwa yataanzaje na lini?! Yatoke wapi?
 
Hakuna sehemu ya kijinga kama ustawi wa jamii...
Tena inavuruga kabisa, maana Kama nlkua natoa elfu 10 kila Siku, ukienda kunishtaki ntasema Sina kitu kabisa ndo maana sitoi.

Hapo ntaandikiwa ile lowest minimum amount kuhudumia Mtoto iliyopo kisheria kwa ile katiba yetu ya mwaka 77.

Kwamba kwa mwezi utatoa debe Moja la mahindi au elfu 15 pesa taslimu.

Na hapo ndo feminist wanapopigwa 3-0

Kingine, ukishamshtaki mwanaume ustawi wa jamii au ukampeleka mahakamani, tambua umemtenga mwanao na baba yake.

Ule upendo wa baba kwa mtoto unapotea kabisa, kisa upumbavu wa mama yake.

Mfano mzuri Ni kile anachopitia Mtoto wa mobeto kwa ujinga wa mama yake na wapambe nuksi, yule Mtoto Hana ata furaha Kama watoto wengine wa diamond.

Imagine Mtoto anajua kabisa kwamba pesa yake ya matunzo Hadi ada, anatakiwa akaichukulie kisutu na sio mikononi mwa baba yake mzazi. Aisee[emoji29]
 
Watu wa jukwaa hili habari zenu.,

Nadhani nipo kwenye jukwaa sahihi, ndugu yangu amepachikwa ujauzito na mvulana amekiri, bint yangu alikuwa mwaka wa kwanza chuo sasa amelazimika kukatisha masomo ili ajifungue.

Familia tumekataa ndoa kwa sababu mbali mbali, lakini tunafkiria kuchukua hatua za kisheria.

Naomba msaada wa kisheria. labda tuanzie hapa
vijana wameshiriki kazi ya uumbaji wa Mungu kisha familia mnaipinga na kuikataa kazi hiyo hadharani 🐒

That's public sin

usiponikiri mbele za watu , nitakukataa mbele ya Baba yangu siku ya mwisho....
 
Sasa ndugu yangu,kwa hili tu! Hamuoni umasikini wa kwanza watu tulio nao ni akili finyu! Ukoo haumtaki mtu. Hawa kesho hata wakiishi,lazima dosari ilishaingia hio ndoa haiwezi kuwa na amani. Watoto wameanza kutoka keahokutwa anafyatuliwa mwigine. Wanakuta wazazi hawako sawa,hawapendwi na ndugu. Upande wa mwanaume,hawajachelewa kumshauli aachane na huyo mwanamke.
Maendeleo yanayosemwa yataanzaje na lini?! Yatoke wapi?
Nikwambie usichokijua Sasa,
Mtoto akishazaliwa ugomvi wote umeisha,
Hakuna mzazi duniani mwnyw guts za kuzuia furaha ya kupata mjukuu, haijalishi kapatkana kivipi[emoji4]
 
Nikwambie usichokijua Sasa,
Mtoto akishazaliwa ugomvi wote umeisha,
Hakuna mzazi duniani mwnyw guts za kuzuia furaha ya kupata mjukuu, haijalishi kapatkana kivipi[emoji4]
Ni kweli,lakini zingatia. Mwanaume hawezi kuwa huru ukweni,hasa kwa hao waliotaka afungwe. Mwanamke hatokuwa huru ukweni,maana atawajua walioshauli aachane na ndugu yao
 
Tena inavuruga kabisa, maana Kama nlkua natoa elfu 10 kila Siku, ukienda kunishtaki ntasema Sina kitu kabisa ndo maana sitoi.

Hapo ntaandikiwa ile lowest minimum amount kuhudumia Mtoto iliyopo kisheria kwa ile katiba yetu ya mwaka 77.

Kwamba kwa mwezi utatoa debe Moja la mahindi au elfu 15 pesa taslimu.[emoji4]
Hahahahaha...hii ilishamkuta mtoto wa baba angu mdg . Jamaa alikua anatoa karibu laki kwa wiki ..ingawa hana ajira kamili...sasa huyo sista akadanganywa saloon huko si akapeleka kesi ustawi wa jamii ..jamaa kuitwa alisema yeye ni boda boda tu na ni deiwaka kipato chake hakizidi elf 50 ....aaarh ustawi wakamuelewa wakamwambia awe anatoa elf 7 mia tano kila wiki ya mtoto..😅😅😅 kesi ikaishq ...mdada sasa full kupayuka full kuapa kwa Mungu wake ila ndio ishakula kwake tena ....sema mwamba smart akawa analeta ile ile laki ...kelele zote zilimuisha sista
 
Watu wa jukwaa hili habari zenu.,

Nadhani nipo kwenye jukwaa sahihi, ndugu yangu amepachikwa ujauzito na mvulana amekiri, bint yangu alikuwa mwaka wa kwanza chuo sasa amelazimika kukatisha masomo ili ajifungue.

Familia tumekataa ndoa kwa sababu mbali mbali, lakini tunafkiria kuchukua hatua za kisheria.

Naomba msaada wa kisheria. labda tuanzie hapa
Nyie wapuuzi kweli
Mtu Yuko chuo unataka msaada wa kisheria?
Ili kiwe nn?
Alibakwa,alilazimishwa?
 
Back
Top Bottom