Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je umekubali kuitwa mkwe?je Binti ana umri gani?je aliipenda shule?je unafikiri alidhulumiwa au Ali ridhia mwenyewe?Watu wa jukwaa hili habari zenu.,
Nadhani nipo kwenye jukwaa sahihi, ndugu yangu amepachikwa ujauzito na mvulana amekiri, bint yangu alikuwa mwaka wa kwanza chuo sasa amelazimika kukatisha masomo ili ajifungue.
Familia tumekataa ndoa kwa sababu mbali mbali, lakini tunafkiria kuchukua hatua za kisheria.
Naomba msaada wa kisheria. labda tuanzie hapa
JobTrueTrue 🔥Watu wa jukwaa hili habari zenu.,
Nadhani nipo kwenye jukwaa sahihi, ndugu yangu amepachikwa ujauzito na mvulana amekiri, bint yangu alikuwa mwaka wa kwanza chuo sasa amelazimika kukatisha masomo ili ajifungue.
Familia tumekataa ndoa kwa sababu mbali mbali, lakini tunafkiria kuchukua hatua za kisheria.
Naomba msaada wa kisheria. labda tuanzie hapa
Pole sana,kama hataki kutoa matunzo nenda ustawi wa jamiii ,lakini kama ulilenga Sheria ya miaka 30 jela sahau maana hakuna Sheria inayombana huyo mwamba kwakua huyo Binti ni mwanachuo.yeye aombe kuhairisha masomo anifungue baada ya hapo aje aendelee na chuo.naomba kuwakilisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wa jukwaa hili habari zenu.,
Nadhani nipo kwenye jukwaa sahihi, ndugu yangu amepachikwa ujauzito na mvulana amekiri, bint yangu alikuwa mwaka wa kwanza chuo sasa amelazimika kukatisha masomo ili ajifungue.
Familia tumekataa ndoa kwa sababu mbali mbali, lakini tunafkiria kuchukua hatua za kisheria.
Naomba msaada wa kisheria. labda tuanzie hapa
Noma sana kiongozi [emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba hamtaki binti yenu aolewe ila mnataka kumfungulia mashtaka MKWE wenu ..aisee... ngoja waje wakushauri
Ila tayari una single maza hapo nyumbani kwako ni bora ukawaozesha
Vipi kama binti kampenda huyo MKWE wenu ? Hamuoni mnaingilia ?
Ni uamuzi WA kipumbavu Sana Sana huo, wafanyieni counselling na kisha wapatieni support, watajenga familia nzuri na Bora hata kama wakija kuachana (siamini Sana na wala siombei) binti atakua mwenye kujiweza. Mimi Nina mabinti tupu sina mtoto WA kiume kwahio naongea Nikiwa naelewa kile ninachoongeaFamilia tumekataa ndoa kwa sababu mbali mbali, lakini tunafkiria kuchukua hatua za kisheria.
Yaaaap ushauri mzuribila shaka mwanachuo ni mtu mzima. Hivyo anachokifanya anakitambua. Nivyema mngekubali aolewe tuu kwasababu aliyokuwa akiyafanya alijua matokeo yake.
Kuhusu kuchukua sheria kwa kitendo Cha kupewa mimba. Sheria haipo upandewenu, kwasababu huyo tayari ni mtu mzima na sio mwanafunzi wa sekondari au shule ya msingi ambaye analindwa na sheria ya mwanafunzi. Hivyo basi hamnasababu ya msingingi kuchukua sheria dhindi ya mtia mimba.
NB: NIVYEMA MKAKAA CHINI MYAMALIZE
Naomba hii ya ustawi wa jamii imekaaje, unaanzajePole sana,kama hataki kutoa matunzo nenda ustawi wa jamiii ,lakini kama ulilenga Sheria ya miaka 30 jela sahau maana hakuna Sheria inayombana huyo mwamba kwakua huyo Binti ni mwanachuo.yeye aombe kuhairisha masomo anifungue baada ya hapo aje aendelee na chuo.naomba kuwakilisha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata huko ustawi wa jamii hushindi hii kesi...sana sana atasikilizwa huyo Mkweo kipato chake kwq mwezi na kama anaeza kuhudumia atapangiwq kutokana na kipato chake ....kisha mtaambiwa mtoto akifika miaka saba anaenda kwa baba ake kwa sasa aendelee kulelewa na mama akeNaomba hii ya ustawi wa jamii imekaaje, unaanzaje
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Familia inahitaji kwenda shule
Hahahahahaha, Familia mbumbumbu kama hizi ni za kuzikimbiaFamilia inahitaji kwenda shule
Umbumbumbu ukizidi unatisha 😄Hahahahahaha, Familia mbumbumbu kama hizi ni za kuzikimbia
Kiongozi mmoja wa nchi jirani,alisema kwamba: duniani kuna wajinga wawili. Kuna mjinga aliyesoma, na mjinga ambaye hajasoma. Akaongeza kwamba yule aliesoma, ndo mbaya.Tanzania Bado inakundi kubwa sana la wajinga kibaya zaidi ni watu wazima na wanafamilia