Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Poleni sana kubalini aoelewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni ukoo wa kipumbavu ..sijui wanataka hela ya January kupitia hiyo mimba ?hapo ukute ukoo mzima umekaaa ukajadiliana
Huu ndiyo ushauri ninaoupendaKama mzazi, nakushauri kwa faida ya binti yako, abort hiyo mimba, binti arudi masomoni, binti apewe elimu ya kuzuia mimba maana keshakua ni sexual active
Mkuu kweli umechanganyikiwa mpaka mdogo wako kwenye title ya uzi anakuwa binti yako kwenye maelezo ya uzi.Watu wa jukwaa hili habari zenu.,
Nadhani nipo kwenye jukwaa sahihi, ndugu yangu amepachikwa ujauzito na mvulana amekiri, bint yangu alikuwa mwaka wa kwanza chuo sasa amelazimika kukatisha masomo ili ajifungue.
Familia tumekataa ndoa kwa sababu mbali mbali, lakini tunafkiria kuchukua hatua za kisheria.
Naomba msaada wa kisheria. labda tuanzie hapa
Mlitaka aolewe na nani?Watu wa jukwaa hili habari zenu.,
Nadhani nipo kwenye jukwaa sahihi, ndugu yangu amepachikwa ujauzito na mvulana amekiri, bint yangu alikuwa mwaka wa kwanza chuo sasa amelazimika kukatisha masomo ili ajifungue.
Familia tumekataa ndoa kwa sababu mbali mbali, lakini tunafkiria kuchukua hatua za kisheria.
Naomba msaada wa kisheria. labda tuanzie hapa
Hiyo,ilishakuwa kubwa. Kwa maana,huyo keshakua mtoto.Kama mzazi, nakushauri kwa faida ya binti yako, abort hiyo mimba, binti arudi masomoni, binti apewe elimu ya kuzuia mimba maana keshakua ni sexual active
watakua raia wabukoba hawa wanapendaga kesi balaa afu ukute zee la mimba halina maokoto au sio lihaya wanaona bora liozee jela tuNenda na wewe ukapachikwe mimba ,umbea tu.!
Kama hamtaki ndoa basi ,huyo mtoto anayzaliwa mkimfunga baba ake ina maana anakosa malezi ya baba ake ...Tafuteni kazi za kufanya mnapenda kesi kama wapare.
Hiyo,ilishakuwa kubwa. Kwa maana,huyo keshakua mtoto.Kama mzazi, nakushauri kwa faida ya binti yako, abort hiyo mimba, binti arudi masomoni, binti apewe elimu ya kuzuia mimba maana keshakua ni sexual active
Hawana kazi za Kufanyawatakua raia wabukoba hawa wanapendaga kesi balaa afu ukute zee la mimba halina maokoto au sio lihaya wanaona bora liozew jela tu
Nadhani nipo kwenye jukwaa sahihi, ndugu yangu amepachikwa ujauzito na mvulana amekiri, bint yangu alikuwa mwaka wa kwanza chuo sasa amelazimika kukatisha masomo ili ajifungue.
Acha lugha za dharau kwa wanawake eti unarudisha chupiHakuna tatizo hapo, kwani chuo wanakataza kusoma ukiwa mjamzito, binafsi nimesoma na wajawazito wengi tu wengine walikomaa mpaka wakajifungua Wala hawakupostpone masomo, ukimaliza kipindi unakimbia gheto chap unanyonyesha unarudisha chupi darasani
Kwanini amekatiza chuo? Mimba sio ugonjwa, au anasoma veta?Watu wa jukwaa hili habari zenu.,
Nadhani nipo kwenye jukwaa sahihi, ndugu yangu amepachikwa ujauzito na mvulana amekiri, bint yangu alikuwa mwaka wa kwanza chuo sasa amelazimika kukatisha masomo ili ajifungue.
Familia tumekataa ndoa kwa sababu mbali mbali, lakini tunafkiria kuchukua hatua za kisheria.
Naomba msaada wa kisheria. labda tuanzie hapa
Mpaka akili ziwakae, mapenzi mnafanya wote tena hapo unakuta ni first year mwenzake, wazazi Wanataka kumuangushia jumba bovu kijanaAcha lugha za dharau kwa wanawake eti unarudisha chupi
Madai yenu ni yapi aliyepachikwa hiyo mimba katulia nyie kiherere Cha nini au huyo Binti kabakwa?Watu wa jukwaa hili habari zenu.,
Nadhani nipo kwenye jukwaa sahihi, ndugu yangu amepachikwa ujauzito na mvulana amekiri, bint yangu alikuwa mwaka wa kwanza chuo sasa amelazimika kukatisha masomo ili ajifungue.
Familia tumekataa ndoa kwa sababu mbali mbali, lakini tunafkiria kuchukua hatua za kisheria.
Naomba msaada wa kisheria. labda tuanzie hapa
Hapo wanaona wamepata dili aise. Wameshapiga hesabu ya kiasi kitakachopatikana na watagawanajeNenda na wewe ukapachikwe mimba ,umbea tu.!
Kama hamtaki ndoa basi ,huyo mtoto anayzaliwa mkimfunga baba ake ina maana anakosa malezi ya baba ake ...Tafuteni kazi za kufanya mnapenda kesi kama wapare.