Naomba msaada wa kufika Ulaya

Naomba msaada wa kufika Ulaya

Iko njia haram tunatoka hapa hadi Sudan tunaingia Chad alafu libya baada ya hapo zipo boti za mchongo kutokea Libya tunaitafuta Sicily Italy safari kama ya masaa 24 kwenye maji kama uko tayari nicheki ila hiyo ni njia ya kiume kweli kweli maana kuna sehem itabidi utembee jangwani kwa mguu umbali mrefu gari hazipiti ukitoboa ukiwa hai unatakiwa utoe sadaka kubwa ambayo hujawahi kutoa
 
Habari wakuu, naomba msaada kwa mtu ambaye yupo ulaya anisaidie niweze kufika huko, nipo tayari kufanya kazi yeyote ya halali,passport ninayo
Pale sukari house dar kuna jamaa huwa anapeleka watu huko. Ila unalipa USD 2500/= Kabla na mchakato ukikamilika unampa 2500/= tena
Vinginevyo njia uliyotumia hutafanikiwa.
 
Iko njia haram tunatoka hapa hadi Sudan tunaingia Chad alafu libya baada ya hapo zipo boti za mchongo kutokea Libya tunaitafuta Sicily Italy safari kaa ya masaa 24 kwenye maji kama uko tayari nicheki ila hiyo ni njia ya kiume kweli kweli maana kuna sehem itabidi utembee jangwani kwa mguu umbali mrefu gari hazipiti ukitoboa ukiwa hai unatakiwa utoe sadaka kubwa ambayo hujawahi kutoa
Kama watu wengine wanapita hakishindikani kitu. Ila nasikia hapo kwa kuvukia pana ulinzi mkali na ni bahari kuu
 
Iko njia haram tunatoka hapa hadi Sudan tunaingia Chad alafu libya baada ya hapo zipo boti za mchongo kutokea Libya tunaitafuta Sicily Italy safari kaa ya masaa 24 kwenye maji kama uko tayari nicheki ila hiyo ni njia ya kiume kweli kweli maana kuna sehem itabidi utembee jangwani kwa mguu umbali mrefu gari hazipiti ukitoboa ukiwa hai unatakiwa utoe sadaka kubwa ambayo hujawahi kutoa
Kwenda ulaya bila makaratasi ni shida tupu bora ufate process.
 
Iko njia haram tunatoka hapa hadi Sudan tunaingia Chad alafu libya baada ya hapo zipo boti za mchongo kutokea Libya tunaitafuta Sicily Italy safari kaa ya masaa 24 kwenye maji kama uko tayari nicheki ila hiyo ni njia ya kiume kweli kweli maana kuna sehem itabidi utembee jangwani kwa mguu umbali mrefu gari hazipiti ukitoboa ukiwa hai unatakiwa utoe sadaka kubwa ambayo hujawahi kutoa
Hiyo njia ni HATARI sana.
Waarabu hawajawahi kuacha biashara yao ya utumwa.

Waafrika wengi wakiwasili Libya tu wanawindwa na kuteķwa, na wanapelekwa kwenye mnada wa watumwa kuuzwa. Bei yao ni kati ya usd 70 hadi usd 150 kwa kichwa.

Ukinunuliwa unakuwa mali ya mnunuzi hadi kifo, au akiamua anakuuza tena kwa mwingine.

Na kwa taarifa yako kazi ya utumwa haina mshahara, unatumika bure kwa kazi ngumu sana tena kwa kipigo..

View: https://youtu.be/dV7o31P4q4g?si=ZlDcA5NddUNELlkV
 
Hiyo njia ni HATARI sana.
Waarabu hawajawahi kuacha biashara ya utumwa.

Waafrika wengi wakiwasili Libya tu wanawindwa na kuteķwa, na wanapelekwa kwenye mnada wa watumwa kuuzwa. Bei yao ni kati ya usd 70 hadi usd 150 kwa kichwa.

Ukinunuliwa unakuwa mali ya mnunuzi hadi kifo.

Na kwa taarifa yako kazi ya utumwa haina mshahara, unatumika bure kwa kazi ngumu sana tena kwa kipigo..

View: https://youtu.be/dV7o31P4q4g?si=ZlDcA5NddUNELlkV

Kabisa
 
Kama wana roho mbaya wao walifikaje huko? Kama waliweza kwanini wewe ushindwe?
Walifika kwa kujipambania ndio maana nimemuambia mleta mada ajipambanie mwenyewe afike kwasababu kama wao waliweza kufika huko hata yeye anaweza.
 
Back
Top Bottom