Naomba msaada wa mawazo

Apo umatakiwa unadownload salary slip au ukaombe bank statement utajua tu pesa zilipo kwenda ndio utaenda kuuliza huko
 

Majibu unayohitaji mleta mada yapo katika post hii...
 
Walimu wameingiaje hapo msukuma lakini!!

Sema Aalitakiwa asitumie hizo pesa tofauti na kiwango alichoomba yani kakuta tofauti ye nae bila kuhoji kazifakamia tu !

Ile bank ya mwanzo watakua wanakata hizo pesa zao ndogo walizomuingizia kabla hawajacancel

Na hio benki ya pili nayo wanakata chao hapo lazima aisome namba!

Pole yake sana asee


Cc Smart911
 
MREJESHO: Nimeenda bank ya kwanza..wameniomba radhi kwa kuzuia mshahara wangu. Wamekubali kuwa mfumo ndio ulileta tatizo kitaifa. Wamenionba twende kwa HR ili tukubaliane makato nje ya mfumo. Pia wamekubali kuniekea kiasi cha mkopo walichonipunja

Nawashukuru wanajamii kwa msaada wenu. Nimegundua kuwa jukwaa hili ni muhimu sana. Nilikuwa positive kwa Kila maoni na mawazo na kusema kweli yamenisaidia. Walionibeza pia nawashukuru. Nawaombea wasije kupata changamoto. Hela nilikula ndio but bank wameelewa na kukili kuwa hawakufanyia kazi taarifa niliyowapa kwa wakati na isingewezekana kurudia maombi ya mkopo kwenye bank Yao.

AKSANTENI JAMANI
 
Salary slip iko poa kivipi?

Kinachosoma kwenye salary slip unamaanisha ni tofauti na kinachotakiwa benki?
Nimeenda na nimeandika MREJESHO hapo juu.. nashukuru mkuu kwa mawazo yako muhim
Bank wameelewa. Kwanza wao ndo wamekubali makosa kwa maana niliwataarifu ila hawakuzingatia.. Asante kwa mawazo mazur hata hivyo
 
Kawashitaki maan wamekukata zaid ya 1/3 ya mshahara wako , wew huna makosa , makosa either ni ya mfumo
 
Alidhani mkopo ni sadaka.

Mkopo siyo sadaka kamwe. Mkopo ni Deni.
 
Kawashitaki maan wamekukata zaid ya 1/3 ya mshahara wako , wew huna makosa , makosa either ni ya mfumo
Kesi tena mkuu..wamenirudishia mshahara wangu wa miez miwili tayari.. hakuna haja ya kesi tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…