Ndug mlizn mlinzi mlalafofofo. Kuna jambo nimelisi, naona kabisa nashindwa kununua nguo.Sasa mkuu Doto12 mbn km unataka kukwamisha juhudi za jamhuri za kukusanya kodi?
unaachaje pombe kwa mfano?
Mshukuru Mungu wengine 365 na robo mpaka 366 hakuna siku inayo pita free...Pombe pombe pombe.
Mimi sio mnywaji sana. Ila kuna utumwa wa pombe siupendi. Kila bada ya siku 3 nahitaji bia.
Inakuwa ngumu sana kuimaliza wiki
Pombe pombe pombe.
Mimi sio mnywaji sana. Ila kuna utumwa wa pombe siupendi. Kila bada ya siku 3 nahitaji bia.
Inakuwa ngumu sana kuimaliza wiki
Yesu alipopewa nafasi kwa mara ya kwanza kufanya maombi, aliomba na maji yakabadilika kuwa mvinyoMambo ya yesuu kwenye bia hua ndio sipend kabisa kusikia
Bora undelee waliocha walikimbilia kwenye qumer (k) wakaishia kufa kwa ukimwi na kufilisikaPombe pombe pombe.
Mimi sio mnywaji sana. Ila kuna utumwa wa pombe siupendi. Kila bada ya siku 3 nahitaji bia.
Inakuwa ngumu sana kuimaliza wiki
ukishaonja n sawa na simba kumuacha boko mkuu..punguzaPombe pombe pombe.
Mimi sio mnywaji sana. Ila kuna utumwa wa pombe siupendi. Kila bada ya siku 3 nahitaji bia.
Inakuwa ngumu sana kuimaliza wiki
Uko mitaa gani? Njoo hapa shisha village upate vino.Acha ma spirit,, ila mvinyo kidogo kwa ajili ya tumbo lako si kitu ya kuacha 😆
Wewe ni mlevi ni swala la mda tu[emoji13]
Ni washenz shezi tu wasitumia bia then wakaona mtumiaji ana makosa.Bora undelee waliocha walikimbilia kwenye qumer (k) wakaishia kufa kwa ukimwi na kufilisika
[emoji38][emoji38][emoji38]Mambo ya yesuu kwenye bia hua ndio sipend kabisa kusikia