Naomba Mungu sana niache pombe

Naomba Mungu sana niache pombe

Sasa mkuu Doto12 mbn km unataka kukwamisha juhudi za jamhuri za kukusanya kodi?
unaachaje pombe kwa mfano?
Ndug mlizn mlinzi mlalafofofo. Kuna jambo nimelisi, naona kabisa nashindwa kununua nguo.

Nijistukia wkt napita mliman City samakisamaki wadada hata hawaniambii ingia hapa.

Nilivijikagua niliona nilivaa mitumba
 
Pombe pombe pombe.

Mimi sio mnywaji sana. Ila kuna utumwa wa pombe siupendi. Kila bada ya siku 3 nahitaji bia.

Inakuwa ngumu sana kuimaliza wiki
Mshukuru Mungu wengine 365 na robo mpaka 366 hakuna siku inayo pita free...

Kila la kheli bwana mkuu 😊🤓 nachukia pombe mabia nachukia harufu yake...
 
Pombe pombe pombe.

Mimi sio mnywaji sana. Ila kuna utumwa wa pombe siupendi. Kila bada ya siku 3 nahitaji bia.

Inakuwa ngumu sana kuimaliza wiki

Pambana kiroho. Tafuta sehemu linapohubiriwa neno na kufanyika maombezi.
 
Kuacha pombe ni rahisi sana. Kwa Mkiristo, nenda mbele ya msalaba omba kuacha pombe kwa kuweka nadhiri. Hakika hutokunywa tena. Mimi nakaribia kuziacha. Nilianza kuacha miezi 2 then miezi 6 sasa mwaka. Soon nitaziacha. Pombe zinaboa sana.
 
Mcheki huyu ana Neema ya ajabu ya kukomesha uraibu wa aina yeyote. Iwe pombe,sigara,kujichua,bangi,nk na Hata kama unatabia usizozitaka hapo ndio mwisho

Nimeshuhudia wengi wakifunguliwa kutoka katika tabu hizo

Haihitajiki hata mia yako ni wewe tu na nia yako ya kutoka hapo
Screenshot_20231121-141231.jpg
 
Pombe pombe pombe.

Mimi sio mnywaji sana. Ila kuna utumwa wa pombe siupendi. Kila bada ya siku 3 nahitaji bia.

Inakuwa ngumu sana kuimaliza wiki
ukishaonja n sawa na simba kumuacha boko mkuu..punguza
 
wewe sio mnywaji.......ni muonjaji...... unaanzaje kuacha MMA ??? tafakari sana...ni sehemu ya mapato ta serikani na pia tunahifadhi maji - save water, drink.......biere....merci.
 
Back
Top Bottom