Naomba Nijuzwe kama ni kweli kuna Wamarekani weusi wanahamia TZ kwa wingi

Yes I agree with you, nigga msikie tu , hutaweza kumwelewa mpaka uishi nae sio watu hao
Exactly we are so rude,naught in nature but all that shits caused by cruelty which has been done for black community,at Tanzania we could say we feel safe guarded well.
 
Iwapo wangepata opportunity kama waliyoipata ghana,Tanzania ingejaa aise,maana pamoja na changamoto ya visa na umilikaji wa ardhi lakini bado wametokea kupapenda Tanzania,nilisikia wameunda community yao na wanafanya vikao na serikali ili waruhusiwe baadhi ya vitu
 
Nimesikia kuna Wamarekani weusi wanahamia TZ kwa wingi kwa sababu wanakimbia kuchanjwa kinga ya corona.

Pia sababu nyingine ni kuipenda TZ kwa sababu ya JPM walivyokuwa wanamhusudu.
Na ubaguzi wote wanaofanyiwa Huko USA,hakuna Negro yoyote ambaye anaweza kukubali kurudi Afrika achukue uraia wa nchi kama Taz,Kenya,nk,wengi wao wanakuja kama utalii tu kama wezao weupe,lakini hakuna anayeweza kuitupa passport ya USA achukue ya kibongo,
 
TZ ni kama nguvu ya sumaku, wengine wanakuja kwa ajili ya kutembea tu lakini wakishafika wanapapenda na kulowea kabisa.

Nimeona kweli wana community zao hapa bongo ila sifahamu kama wanamazungumzo na serikali. Ila ni kitu poa kama wanafanya hivyo.

Kuhusu suala la ardhi, ingekuwa favours kama za Ghana kweli wangejaa sana. Ila sisi tuko so protective kwenye suala la rasilimali ardhi na urai pacha, kwa hiyo kwa hapa, sidhani kama watapata kitu zaidi ya kuendelea na utaratibu uliopo wa kukodi ardhi kupitia shirika la uwekezaji.
 
Vipi wakenya hapa sio kwao? Wote si weusi? Au weusi wakutola Marekank tu ndo hapa ni kwao?
 

watu hawaamini ila ndio ukweli unashangaza sana.

juzi naongea na jamaa mmoja anafanya kazi ubarozi,anakwambia hakuna kitu kigumu kama afisa wa ubarozi humo kuambiwa anatakiwa aondoke nyumbani muda umekwisha,huwa wanalia sana.
miaka ya nyuma alidhani ni sababu ya mazoea,ila hali imeanza kuwa inamshangaza maana hata wale walioinyesha kupakataa baada ya kuingia tu,hali hugeuka hivi siku ikifika.
 
Wakipewa ardhi tumekwisha,tuilinde ardhi yetu kwa ajili ya akina junior wetu miaka ya mbele huko wasije kutawaliwa na mkoloni mweusi
 
Nimesikia kuna Wamarekani weusi wanahamia TZ kwa wingi kwa sababu wanakimbia kuchanjwa kinga ya corona.

Pia sababu nyingine ni kuipenda TZ kwa sababu ya JPM walivyokuwa wanamhusudu.
Ukiona hao mnaowaita black American wanakaa kuanzia mbezi beach mpaka uko Ununio jua kuna tatizo kubwa.
 
Ni kweli wapo wengi sana hapa bongo miaka mitatu nyuma naelekea bagamoyo nilipanda nao daladala walikua wanatokea Chi town{Chicago} tuliongea mengi wako poa kimtindo.
 
Nimesikia kuna Wamarekani weusi wanahamia TZ kwa wingi kwa sababu wanakimbia kuchanjwa kinga ya corona.

Pia sababu nyingine ni kuipenda TZ kwa sababu ya JPM walivyokuwa wanamhusudu.
Youtube wapo..na wanafanya vlogging..kuna mmoja aliliripoti vizuri sana msafara wa mazishi ya Magu
 
Wakipewa ardhi tumekwisha,tuilinde ardhi yetu kwa ajili ya akina junior wetu miaka ya mbele huko wasije kutawaliwa na mkoloni mweusi
Suala la ardhi bongo ni kama kitovu cha nchi kwa hiyo tunaulazima wa kuilinda. Binafsi sina neno tukiwanyima kumiliki kama wazawa. Hata hivyo, nashauri tuweke mbadala japo kwa wale ambao walikuwa watanzania lakini kutokana na shughuli za mihangaiko ya utafutaji wakajikuta wapo nchi za watu na kuchukua urai huko, japo hawa tuwape ardhi wawe huru kuwekeza watakavyo maana wengine inawabidi watumie ndugu wa karibu kujiwekeza.
 
Ukiona hao mnaowaita black American wanakaa kuanzia mbezi beach mpaka uko Ununio jua kuna tatizo kubwa.
Tatizo liko wapi boss? Kama sisi tumeshindwa kuweka mipango miji ya kueleweka kosa ni la kwetu, huwezi kulazimisha mtu akae uswazi ambapo jengo likishika moto hata zimamoto lishindwe kufika huko. Haiwezekani mtu alazimishwe kukaa sehemu ya hovyo kisa uzalendo.

Kiufupi hii Dar inatakiwa ipangwe upya ipangike, jiji limekaa kiwakiwaki sana.

Hapo suluhisho ni kuvunja uswazi zote jijini, unapandisha apartments wale waliovunjiwa unawapa kipaumbele cha kwanza kupewa vyumba.
Tukishindwa hilo basi tuipime ardhi ya nchi nzima kuzuia kilicho tokea huku Dar kusambaa nchi nzima miaka ijayo.
 
Unabidi ujiulize kwanini anaenda kuishi pembeni ya mji wengi wanakuwa Scammers kama sio mapopo sifa moja kubwa ya mpopo hakwambie origin yake ata siku moja and by the way wamepata fursa sana za kwenda state kwaiyo nirahisi kujifanya black American.Mbezi beach kuna nyumba mpaka leo iko isolated inamnara mmoja mkubwa balaa jamaa anapotea na kurudi ghafla anajifungia tu tusiwachukulie poa sana wengine wako kwenye special tasks. Talking from experience wachache sana wanakuja Tanzania wakijua wamefata nini wengi tunakutana nao hawajua wanachotaka mara akwambie nataka kuingia kwenye real estate mara mining na ndugu yangu anaweza invest ni kama wanakuja kutafuta fursa nao uku.
 
Umesikianwapi na tupatie records japo kwa mwezi wamekuja wangapi.
 
Kwenye huu uzi kila mtu nasikia ...nasikia, niliambiwa... YouTube....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…