Naomba nikutoe "OUT" Mrembo Joannah

Ukimtongoza mwanamke hakikisha una picha yake mtakuja kukimbiana humu kama vifaru [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Kuna mtu yalimtokea, kaleta Uzi, huyo mdada akumtaja jina lakini.
 
Wamarekani weusi huwa wanasema broke usssss niggers, mkono mtupu haulambwi braa, tafuta ela mtoto wa watu atakuuwa kwa degedege
 
Cute Wife Amehlo ebu njoeni ndugu yetu ameshapata mtaji wa biashara na akikataa tunampeleka kilazima Joannah uko wapi kwani
🤣🤣🤣🤣 wewe hii ilinipita veeepee kwanza?? Yaani dada Joannah hizi pesa zikitupita sitokuelewa abadani!!!!!!!!

Yeye atake, asitake harusi tunayo. Shem asijali mke umepata hata kwa winch tutamtoa 🤣🤣🤣🤣🤣

Tunataka mashemeji wenye mipesaaa yao sisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…