saleni
JF-Expert Member
- Apr 6, 2019
- 1,880
- 2,843
Kuna mtu yalimtokea, kaleta Uzi, huyo mdada akumtaja jina lakini.Ukimtongoza mwanamke hakikisha una picha yake mtakuja kukimbiana humu kama vifaru [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mtu yalimtokea, kaleta Uzi, huyo mdada akumtaja jina lakini.Ukimtongoza mwanamke hakikisha una picha yake mtakuja kukimbiana humu kama vifaru [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Hahaha aseee kazi kweli kweliKuna mtu yalimtokea, kaleta Uzi, huyo mdada akumtaja jina lakini.
Unaiweka kisha unaifanyia trading au inakuwaje? Commission unaipatajeWatu mna hela za kuspend.
Hiyo $500+ si unipe niiweke prop firm ya The Funded T..... upate commission.
Anyway nakubali sana. Sema usimuache salama.
😀😀😀 Tujarbu kuzifuata fursa tusisubri zitufuate zenyewe mkuuIla watu [emoji23][emoji119][emoji23][emoji119]
Wamarekani weusi huwa wanasema broke usssss niggers, mkono mtupu haulambwi braa, tafuta ela mtoto wa watu atakuuwa kwa degedegeStress za maisha yako zisikufanye ukadhani sote humu tuna akili ulizonazo wewe,kama mama yako yuko kijijini usidhani mama za watu wote humu huishi vijijini!.
Tafuta pesa acha Makasiriko,pesa zangu nimeamua kuzitumia nitakavyo kama unataka kuchukua sehemu ya Joannah wewe sema
🤣🤣🤣Leka itolo ghwangu🙌Abhandu bhakonyofu
Nimecheka yaani[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahaha, sijui kwa nini nimecheka namna hii🤣🤣🤣Nilijua ntakukuta humu kaka Elli[emoji23]
Ndio.Unaiweka kisha unaifanyia trading au inakuwaje? Commission unaipataje
Mmeamua kuniteta!🤣🤣🤣Leka itolo ghwangu🙌
Wakati jamaa anatangaza mihela yote hiyo utakuta Joannah yupo kwa mpenzi wa moyoni mwake ndani ya chumba kimoja wanatafuna miwa huku wakiongea na kucheka kwa furaha baada ya ile mechi isiyo na mashabiki.Acha ujinga,Shemej yako uyo[emoji4]
🤣🤣🤣🤣 wewe hii ilinipita veeepee kwanza?? Yaani dada Joannah hizi pesa zikitupita sitokuelewa abadani!!!!!!!!