Hata mm hiyo ishu nilikutana naoPortal wanakuwaga na vichangamoto fulani fulani hawa IT wao sijui ni la saba C
Mfano mimi toka nimejiunga nao na mwaka kama 5 ila nimewahi ku-apply mara 2 tu bhasi.
Baada ya hapo kila niki-apply huwa napata alert ya msg ikisema "JOB APPLICATION FAILED" niliishi nayo hii kwa muda mrefu sana nikihangaika kufanya changes hizi na zile ila mzigo bado uligoma.
Cha ajabu majuzi hapa na tamaa nilishakata kabisa nikajaribu kujiridhisha tu cha ajabu mzigo ulikubali......na hapo nyuma ikumbukwe requirement zote wanazozitaka nilikuwanazo ila ilikuwa inagoma ku-apply.
Nenda kwenye email waliokutumia ukaactivateWakuu kwema?
Hivi kuna mtu pia anapitia au amewahi pitia hii kadhia ya kujisajili kwenye mfumo wa ajira portal? Ukiweka Email na password mara ya kwanza inachukua taarifa kisha haikupi notification kuwa umekuwa successful.
Ukija kurudia inakwambia email ishatumika huwezi sajilia tena! Ukienda Log in inakwambia “account inactive!” Ulipambana nalo vipi hili maana kuna mtu najaribu kumfungulia hapa inanletea mabalaa tu.
Weka link ili tuone kama kuna namna ya kukusaidiaWakuu kwema?
Hivi kuna mtu pia anapitia au amewahi pitia hii kadhia ya kujisajili kwenye mfumo wa ajira portal? Ukiweka Email na password mara ya kwanza inachukua taarifa kisha haikupi notification kuwa umekuwa successful.
Ukija kurudia inakwambia email ishatumika huwezi sajilia tena! Ukienda Log in inakwambia “account inactive!” Ulipambana nalo vipi hili maana kuna mtu najaribu kumfungulia hapa inanletea mabalaa tu.
Ingia kwenye email yako kisha activate baada ya hapo inakuwa activeWakuu kwema?
Hivi kuna mtu pia anapitia au amewahi pitia hii kadhia ya kujisajili kwenye mfumo wa ajira portal? Ukiweka Email na password mara ya kwanza inachukua taarifa kisha haikupi notification kuwa umekuwa successful.
Ukija kurudia inakwambia email ishatumika huwezi sajilia tena! Ukienda Log in inakwambia “account inactive!” Ulipambana nalo vipi hili maana kuna mtu najaribu kumfungulia hapa inanletea mabalaa tu.
Asante nashukuru sana imefaaIngia kwenye email yako kisha activate baada ya hapo inakuwa active
Hahahaha mfumo kweli ndio tatizoMbowe huwa anasema tatizo ni mfumo nafikiri tumejionea, tudai katiba mpya🤣
Tukirudi kwenye maada, huo mfumo utakuwa unatatizo kwenye sehemu inayotuma email (mailing system) inawezekana wametuma email nyingi na quota (bando) walilokuwa nalo limeshakwisha, au email zao zinaingia kwenye spam folder kutokana na sababu mbali mbali za kiufundi.
Jaribu kuangalia kwanza kwenye spam mail uone kama kuna email yoyote umetumiwa, kama ipo fuata maelekezo yake, ikigoma itakuwa ime-expire.
Jaribu kwenda kwenye sehemu inasema forgot password, weka email uliyojisajilia uone kama watakutumia link yoyote.
Yote yakishindikana fungua akaunti mpya tu kwa email nyingine uone kama itafanya kazi.
Hahaha amna bana kuna rafiki wa bibie ndio anaomba msaada wa kufanyiwa makarateka mi nimekubali yaishe napambana na mahindi ya kuchoma hapa external 😎Mtaalamu bado unapambania ajira za utumishi, kule bila mlungula ni nguvu labda itokee tu Mungu aseme upate kazi utapata bila hivyo utapiga jalamba kwelikweli...
Imefaa mkuu asante kwa ufumbuziNenda kwenye email waliokutumia ukaactivate
Nikajua upo dubai ya simu dar hapo makumbusho karibu jackies tunywe nyagi.Hahaha amna bana kuna rafiki wa bibie ndio anaomba msaada wa kufanyiwa makarateka mi nimekubali yaishe napambana na mahindi ya kuchoma hapa external 😎
Na hata kupata 'Ajira' huko ni Shida pia.Wakuu kwema?
Hivi kuna mtu pia anapitia au amewahi pitia hii kadhia ya kujisajili kwenye mfumo wa ajira portal? Ukiweka Email na password mara ya kwanza inachukua taarifa kisha haikupi notification kuwa umekuwa successful.
Ukija kurudia inakwambia email ishatumika huwezi sajilia tena! Ukienda Log in inakwambia “account inactive!” Ulipambana nalo vipi hili maana kuna mtu najaribu kumfungulia hapa inanletea mabalaa tu.
Ahhahah ajira ni shida tu kila mahali! Zilizopo available ni zile za kinyonyaji. Ufanye kazi masaa 12 ulipwe buku 5Na hata kupata 'Ajira' huko ni Shida pia.
zipo 95% na imeanza muda mrefu kufanya ivoUmejaza taarifa zako kwa asilimia ngapi?
Ulikumbuka kuandika course uliyosoma? Kwa sababu kama haujaiandika hata kama umeapload vyeti hawatakutambua.zipo 95% na imeanza muda mrefu kufanya ivo