Naomba tuungane kuanzisha Vitabu vya Dini ya Waafrika

umasikini ulio kuwa nao umesababishwa na dini?
 
Kabla ya yote chimbua kabla ya ujio wa weupe je Mwafrika aliabudu dini ipo?.
Chunguza kuhusu asili ya mwafrika then ndipo uje kwenye ideology ya kuanzisha dini.
Hivyo walivyoabudu Waafrika kabla ya ujio wa watu weupe ndiyo dini
 
Sikulaumu

Swali lako la uafrika ungesoma Hadith wala usingeuliza

Ndugu zangu Waafrika tusitafute mchawi wa kumshushia lawama za umasikini wetu tusome tusome tusome

Tusikimbie wajibu kuwa mababu zetu walitufelisha big time

Vasco da gama aligota cape of good hope for yeaars

Mababu zetu wa pwani ya Afrika mashariki walikuwa na muda wa kutosha kujiandaa kuwakabili lakini walikuwa busy na nini sijui

TUSOME TUSOME TUSOME!!
 
of what ue? Nilidhani tuungn e tutengeneze magari, ndege , baiskeli , tugundue dawa za magonjwa yanayotukabiri, etc etcza african brand, bado tu mko kwenye dini!
Lazima tuwe na belief yetu kwanza ndipo tuweze kuwa na vyakwetu huwezi kuwa na gari la mzungu lugha ya mwarabu imani ya muhindi
 
Tatizo niuelewa mdogo kama wako siku ukijua kuwa uliongopewa juu ya Mungu wa wazungu na Miungu ya Waafrika basi utatambua kuwa kutokuwa na umoja na kusaritiana baina ya Waafrika ndiyo sababu ya wao kushindwa na wazungu,Mungu ni mmoja hakuna wa wazungu wala wa Waafrika bali mila na desturi ambazo ni silaha muhimu au njia za kuwasiliana na Mungu za Waafrika ndizo zilibezwa na kupotoshwa.

Tafakari
 
Mfumo wa nature chenye nguvu umeza kinyonge.
Kama miungu ya kiafrica ilishindwa kumlinda mwafrika asichukuliwe utumwani plus kutawaliwa je kwa sisi kizazi cha SAsa tuna haja ipi kuabudu miungu dhaifu iliyoshindwa.
Tatizo ni kutokuelewa kuwa Waafrika walisalitiana na mzungu alitumia divide anda rule.

Kwenye biashara ya watumwa mzungu alikuwa ni soko na pia waliofanya biashara hii ni machifu wa kiafrika ambao walisalitiana kwa tamaa na kutoa siri zao kwa wazungu kitu ambacho walipokibadilisha wazungu waliondoka kwa kisingizio cha kutoa uhuru
 
Ndiyo hapo mkuu najiuliza kila siku

Hiyo miungu ilikuwepo wapi wakati wale washenzi wanakuja kutupeleka utumwani
Mzungu hakuja na miungu bali waliivunja kupitia Waafrika wenyewe walioisaliti sasa kama ulivyolishwa ujinga uliolishwa na ukaamini ndivyo ndivyo Machifu walivyolishwa uongo juu yao wakagombana na kupoteza asili yao.

Mungu na miungu ilishindanishwa wapi na akatokea mshindi?Waliokuja Afrika ni wafanyabiashara,missioneries,wasafiri na wachunguzi siyo mungu wa wazungu au wazungu wote kuhamia Afrika na mungu wao au mizimu yao
 
Naomba ufafanue kidooogo,ni dini gani ya kikrosto au kislamu.. au tuunde dini moja?? Au me sjakuelewa viziri
 
Huenda walituzidi hakili kwa kujiaminisha Sana kwa miungu yetu kwamba wao niwa tiifu kuliko sisi kupitia mabarozi wake ambao niwaganga na machifu lakini baada ya kuaminika na miungu wakaamua kutudhuru
Hicho ndicho kilichofanyika waliwagombanisha machief na kuwafarakanisha kisha wakakaa katikati yao baada ya kupigana machifu na kujidhoofisha
 
Mkuu twende taratibu

Mbona hakuna mahali nimesema Miungu ilishindanishwa😂

Kwahiyo unalalamikia Miungu ya Afrika imesalitiwa?

Unajua nini kuihusu mkuu?
 
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
Siyo kosa lako ndivyo ulivyokalilishwa na wazungu kuwa kuna paradiso nyingine zaidi ya Afrika kwako Mwafrika,je wahindi,wachina,nk nao wataingia paradiso kwa kupitia wazungu?

Mbona wana dini zao na imani zao na wamefanikiwa sana tu bila dini za wazungu?
 
Ila tu isiwe ya zile imani za vilingeni🤔
 
Sema siyo jambo dogo kwako wachina,wahindi,wakorea,warusi,wahindink waliwezaje?

We kaa pembeni Waafrika tufufue dini zetu kwani wewe ni mzungu au mwarabu na dini yako.
 
Unaongea under the influence ya dini za kuletewa,ideology zao zimekufunika uwezo wa kufikiri.
Kabisa mkuu ,alichokipanda mzungu kwenye ubongo wa mwafrika duni ni tofauti na anachokipanda Mwafrika kwa Mwafrika mwenzie hatokubalika.
 
Mfumo wa nature chenye nguvu umeza kinyonge.
Kama miungu ya kiafrica ilishindwa kumlinda mwafrika asichukuliwe utumwani plus kutawaliwa je kwa sisi kizazi cha SAsa tuna haja ipi kuabudu miungu dhaifu iliyoshindwa.
Muafrika na mzungu wali "interact kwa kipindi gani hadi wakafikia kutawaliwa??haohao unaosema wana miungu yenye nguvu walishaanza kufanyiana hayo mambo ya utumwa na kutawaliwa na wengine miaka maelfu huko sembuse afrika juzi tu..........shida waafrika wengi wanadhani historia yao ilianzia pale mzungu alipokuja ndo maana wengi hata uzao wao unakuta anavijua vizazi vi 3 a u 4 tu vya nyuma na ambavyo aidha vilifata ya mwarabu au ya mzungu, nyuma ya hapo kapa
Hao mnaowaita taifa teule walikua utumwani kwa miaka ya kutosha na leo ndo mnaamini vitabu vyao na kusema miungu yao ndo ina nguvu
 
Nazungumzia reality nimestudy pote
Hakuna ulipostudy sema umefundishwa na wazungu na wazazi wako maisha ya wazungu na hujawahi kutafakari iwapo wazungu au warabu walikuwa sahihi kwa wao kueneza dini zao Afrika na kuua dini za Kiafrika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…