"Naomba tuzae sitakusumbua kulea." Hii haipo

Mimi kuna mwanamke aliniambia nikimpa mimba ,ataninunulia nyumba aisee.,!..Ila nilikataa.

Kuna mmoja aliniwekea ofa ya kiwanja Kigamboni, mara naanza kusikia stori za kaungua, ikabidi nivute handbrake mwaka wa tatu saivi najitafakari mbele trafiki, nimevuka zebra na sina bima [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…