Kuna mmoja aliniwekea ofa ya kiwanja Kigamboni, mara naanza kusikia stori za kaungua, ikabidi nivute handbrake mwaka wa tatu saivi najitafakari mbele trafiki, nimevuka zebra na sina bima [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mmoja akanambia kwetumasoko, mi nataka mtoto, nikamuuliza kwa kipato kipi eti mi ntalea mwenyewe. Hapo nikaona asiniletee uchuro! marathoni iliniokoa
Labda dudu yake ina mabega[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa kipi ulichonacho?
Super woman eti atalea mwenyeweKuna mmoja akanambia kwetumasoko, mi nataka mtoto, nikamuuliza kwa kipato kipi eti mi ntalea mwenyewe. Hapo nikaona asiniletee uchuro! marathoni iliniokoa
Mwanaume hasifiwi sura acha ubwegeMie sijaoa ila nina mtoto wakiume HB kunishinda mimi Baba yake.
Naomba uniambie na unisumbue kulea [emoji1317]Ila tuzae wakike [emoji8]
At least ungeficha sura za hawa watoto. JF inatakuwa iwe na policy ya kulinda watoto, kwako Max melloUnamwangalia hivi huyu ndio yule alisema hatanisumbua??View attachment 1456913
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hela tu ya Kitanzania ya kuhakikisha napata huduma mimi na familia yangu.. NINAYO.Mwanaume hasifiwi sura acha ubwege
Sure broKijana usiingie mkenge
Hebu usitudhalilishe. Yaani sisi wanaume tuwe wajinga, are you even serious?!Mwanamke anayo akili kubwa ya maisha kuliko mwanamme. Hawa watu wanacalculate mambo yao kwa uwezo mkubwa.
Soft psychology inawapa uwezo mkubwa wa kumdanganya mwanamme. Na kwa ujinga wa mwanamme kumuona Mwanamke kama mama yake hadi kufika hatua ya kumuita mke wake Mama inamcost sana.
Men Be careful with women . You must have some elements of Hatred towards these people, a little hatred indeed.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Juzi tu nimetoka kuikwepa moja ilikuja na gia hiyo1. Wadada wa mjini ndo zao wanaku-approach eti tuzae tu (sperm donor) hasa Wanaume walio kwenye ndoa na angalau unajiweza kiuchumi. So anakuanbia anaomba mzae tu eti hatakusumbua, haipogo hivyo Wakulungwa ukijichanganya ukazaa naye utajutraa.
2. Kabla, Bibie hufanya Risk assessment (Cost-Benefit Analysis) kulingana na kipato chako, hawaji kichwa-kichwa, so kama Huna hela hawa utawasikia kwa wenye hela tu.
3. Siku analianzisha unashangaa hivi huyu si ndo alisema hatanisumbua?
Wazungu wote njeYanini Condom...samaki watarushwa ufukweni tu πππ
Wareno wote outsideWazungu wote nje
Hello curvaceous Karucee.Ticking time bomb.
Heeeeeee π€£π€£π€£Hello curvaceous Karucee.