"Naomba tuzae sitakusumbua kulea." Hii haipo

"Naomba tuzae sitakusumbua kulea." Hii haipo

Mwanangu ni chotara fulani wa kijerumani aliombwa awe sperm donor akachomoa, baada ya mwezi akapewa dola buku mbili na demu ili alegeze msimamo wake lakini akachomoa tena na hela akala, demu ni single mama alizaaga na kibabu
Kaka mbona hao mademu ukiwaigizia huna kitu hawataki mzae!!!!Inaonekana bro alikua anaonyesha hali yake ya kiuchumi waziwazi!!!!!!Mimi wadada waga nawaambia mimi dereva wa daladala a.k.a day worker(DEIWAKA)🤣🤣🤣🤣Kesho yake au baada ya mda mawasiliano yanapungua au nakuta wameniblock naishia kucheka maisha yanaendelea
 
Mwanangu ni chotara fulani wa kijerumani aliombwa awe sperm donor akachomoa, baada ya mwezi akapewa dola buku mbili na demu ili alegeze msimamo wake lakini akachomoa tena na hela akala, demu ni single mama alizaaga na kibabu
Kitu kizito mkuu .....got realized them ni [emoji3103] to [emoji3103]
 
Mwanangu ni chotara fulani wa kijerumani aliombwa awe sperm donor akachomoa, baada ya mwezi akapewa dola buku mbili na demu ili alegeze msimamo wake lakini akachomoa tena na hela akala, demu ni single mama alizaaga na kibabu cha kizungu kilishakufa alipangiwa masaki na hiko kibabu, baada ya miezi miwili mwamba akapewa tena dola buku mbili,
Dah! Nmemuonea huruma jamaa[emoji26]
 
Wsnsume acheni uoga, mtoto ni utajiri kwa mwanaume. We zaa hata wakifika 20 hakuna shida
 
Back
Top Bottom