Kingdom_man
JF-Expert Member
- May 19, 2010
- 405
- 462
1. Kupanua uzalishaji wa Bidhaa maana yake ni kua bidhaa unazozalisha ni chache kuliko mahitaji ya clients wako. Kama bado unastruggle kupata clients, njia 1 na rahisi ni kuadd new features kwenye product yako ambayo wengine hawana, hata aina ya packaging pekee inaweza kukutofautisha, pia kuangeza quantity kwa bei ile ile.
Unajua kwenye biashara kitu cha kwanza kbs ni kuWin people's hearts, then ukitoka hapo ndio uanze kufikiria kutengeneza faida. Kama hauna consistent clients hauwezi kutoa products zako hivyo hauwezi kutengeneza faida. Kwahiyo uwe tayari kuingia gharama za kuwavutia wateja ambayo wazungu wanaita 'client acquisition'.
2. Mimi nahisi kwa products zako soko la ndani lenyewe ni kubwa sana, nahisi bado haujafanya utafiti wa kutosha. Lkn again sio mbaya kuingia kwenye soko la nje kama upo tayari.
Mimi mwaka jana nilivuna vitunguu November, lkn soko la bongo lilikuwa ovyo mno mno. Ukienda Kkoo na Buguruni bei ni elfu 70-80 wakati kipindi kama hiko mwaka 2015 bei ilikua 180k. So nilichokifanya ni kuuza Kenya, nilienda kwa bus hadi Nairobi, nikakutana na madalali wakanipa dira na kila kitu. Baadae nilivuna na kuuza mzigo wangu Garissa krb na mpaka wa Somalia kusini mwa kenya mbapo niliuze kwa bei mara 3 ya iliyokuepo bongo.
Nice one.
How do you win the master card prize?!
You have seen my products. All I need are funds to take off. You have links for grants and sort?!
Thanks for your time.