Naomba uniulize chochote kuhusu kufanikiwa katika Biashara na Ujasiriamali

Naomba uniulize chochote kuhusu kufanikiwa katika Biashara na Ujasiriamali

Aisee, sasa kwa kijana ambaye ni mgeni kwenye ishu za ujasiliamali, namaanisha hajakomaa vizuri,
wewe kama wewe unamshauri atumie njia ipi kati ya hizi tatu kwa kuanzia(yenye afadhali)
Forex, kilimo, ufugaji(natambua unauzoefu nayo thats why nimekuuliza kuhusu hayo)

Hahaa hahaa - swali hili liko tricky sana.

Mimi napenda Kilimo kwasababu kinaonekana, kina make sense hata ukimwambia mtu na pia usimuone mtu kama rais mstaafu Dr. J. Kikwete anatoka nyumbani kwake anaenda mashambani kupiga picha na mahindi afu anapost Twitter, kuna raha yake aisee. Yani there's that feeling you get, kwamba ili watu wale inabidi wewe ulime, yani kuna kitu fulani sijui kama unanifeel.

Kuhusu poultry nafanya kwasababu ni passion, kifaranga unakibreed kutoka Day Old chick hadi anakua mkubwa. Afu watu wote wanajua Ontario ni mtu wa poultry, na network yangu kubwa nimeshaijenga upande huo so lazima nikomae.

Lkn ukija kwenye Forex, kama leo nikifilisika kila kitu nikabaki na laki 3, yotr naingia nayo kwenye forex. Nina uhakika baada ya mwezi nina mil 2 mkononi, kitu ambacho si kuku wala shamba vinaweza kunipa hiyo reward. So naeza kusema, if I were to start again from zero I'd go for forex.
 
Swali la ziada, ONTARIO je, una kipaji chochote? umeshawahi kukitumia kipaji chako kwa njia yoyote ile?
I read and write a lot my boss. Nikikwambia kitu huwezi kuamini, mpk sasa tangu mwaka uanze nimeshasoma vitabu 37. So, ktk huku kusoma soma nimejikuta najua sana kuandika na kupangilia maandishi.

Again nimeshawahi kuongea as a motivational speaker kwenye makongamano kama ma4 hapa Bongo. The feedback from audience was beyond my expectations.
2de0e5e83751e17c39d1daea4e4790bd.jpg
 
Hahaa hahaa - swali hili liko tricky sana.

Mimi napenda Kilimo kwasababu kinaonekana, kina make sense hata ukimwambia mtu na pia usimuone mtu kama rais mstaafu Dr. J. Kikwete anatoka nyumbani kwake anaenda mashambani kupiga picha na mahindi afu anapost Twitter, kuna raha yake aisee. Yani there's that feeling you get, kwamba ili watu wale inabidi wewe ulime, yani kuna kitu fulani sijui kama unanifeel.

Kuhusu poultry nafanya kwasababu ni passion, kifaranga unakibreed kutoka Day Old chick hadi anakua mkubwa. Afu watu wote wanajua Ontario ni mtu wa poultry, na network yangu kubwa nimeshaijenga upande huo so lazima nikomae.

Lkn ukija kwenye Forex, kama leo nikifilisika kila kitu nikabaki na laki 3, yotr naingia nayo kwenye forex. Nina uhakika baada ya mwezi nina mil 2 mkononi, kitu ambacho si kuku wala shamba vinaweza kunipa hiyo reward. So naeza kusema, if I were to start again from zero I'd go for forex.
Sasa mkuu c ndo ungetuinua wengi kwa njia hii?kuliko turisk kwenye kilimo then ile kwetu?
 
Mkuu kilimo ni kubet.Nimelima ekari tano nikajua maisha nimeyakatia denge.,........Aisee kilicho tokea mvua wa april to may.....Yaani acha tu.
Nakwepa sana kilimo cha mvua, yani nakiogopa kama ukoma.

Boss! Fanya utafiti makini wa soko, then ingia kilimo cha kisasa.

Katua shamba kwa trekta, piga harrow, chora terrains vizuri. Funga water pump, vuta mabomba, unganisha sprinklers, mwagilia maji kadri ya mahitaji ya shamba. Tumia mbegu bora, tumia mbolea za kisasa sulfate, urea, NKP, DAP... fata proticals zote.

Kilimo kikikupiga mtama njoo hapa nitukanie mamangu. Tatizo tunafanya vitu walivyofanya babu zetu 1950, na tuliona babu zetu wanakufa na shati 1 lenye viraka 50, bado na sisi tunatumia njia hizo hizo. Wazungu wanasema "You can never do the same thing, expecting different results".

Hii dunia ya technology usipoenda na wakati unaachwa nyuma.
 
mkuu mimi napenda sana kujifunza na kuja kuwa mjasiriamali katika mambo ya kilimo cha mbogamboga na matunda pamoja na ufugaji especially wa kuku,na nipo katika hatua za kujifunza bado sijahitimisha na kuingia field kufanya kazi,naomba nisaidie mawili matatu,kuhusu ufugaji wa kuku nikiwa na kama mtaji wa kiasi 1M unashauri nifuge kuku wa aina gani na mchanganua wa gharama kutoka mtaji wa hiyo 1M yangu,kwa kuwa naenda kufugia mbeya....asante ukinijibu.
ila umeniinsipire sana kwa sababu nami ni kijana kama wew na kila siku napigana kutengeneza ideas mbalimbali na kusoma vitabu,pia kushiriki workshops trainings na madarasa ya entrepereneurship nikiwa chuo,kujifunza zaidi....nami malengo yangu ni kufikia miaka 25 niwe nimefanikiwa kutimiza ndoto zangu kwa asilimia 70 na kufanya investment kubwa sana.
 
Nakwepa sana kilimo cha mvua, yani nakiogopa kama ukoma.

Boss! Fanya utafiti makini wa soko, then ingia kilimo cha kisasa.

Katua shamba kwa trekta, piga harrow, chora terrains vizuri. Funga water pump, vuta mabomba, unganisha sprinklers, mwagilia maji kadri ya mahitaji ya shamba. Tumia mbegu bora, tumia mbolea za kisasa sulfate, urea, NKP, DAP... fata proticals zote.

Kilimo kikikupiga mtama njoo hapa nitukanie mamangu. Tatizo tunafanya vitu walivyofanya babu zetu 1950, na tuliona babu zetu wanakufa na shati 1 lenye viraka 50, bado na sisi tunatumia njia hizo hizo. Wazungu wanasema "You can never do the same thing, expecting different results".

Hii dunia ya technology usipoenda na wakati unaachwa nyuma.
Safi boss umemjibu vyema saana.
 
I read and write a lot my boss. Nikikwambia kitu huwezi kuamini, mpk sasa tangu mwaka uanze nimeshasoma vitabu 37. So, ktk huku kusoma soma nimejikuta najua sana kuandika na kupangilia maandishi.

Again nimeshawahi kuongea as a motivational speaker kwenye makongamano kama ma4 hapa Bongo. The feedback from audience was beyond my expectations.
mkuu kama hutojali naomba nisaidie softcopies au majina ya hivyo vitabu 37 au baadhi yake ambavyo umeweza kuvisoma.niweze kuvitafuta...
 
Nilikaa kimya kwa sababu maalum ili nione maswal mengi na majib mengi,ili nisije uliza maswal yaliyokwsha ulizwa,,

Kwanza nikupe heko kwa kushare nasi uzi huu maalum na muhim kabsa na kuwapa matumain vijana wengi wanaotaka kujikwamua kutoka sehem moja na kusonga mbele,,

Swali langu linatokana na mahindi mabich,,je yanafaida gan zaid tofauti mahindi yaliyokauka kibiashara? Kwa shamba ambalo lina heka nzima je panaweza kuwepo na miche mingap ya mahindi na bei naweza ikawa bei gn kwa kila muhindi mmoja ambao utakatwa?

Mwsho je kuna mbegu maalum ya mahindi ya kuchoma tofaut na haya mengine tuliyozoea ya kuvuna na kusaga? Kama ipo je inachukua miez mingap shambani? Asante kwa kila jibu ulilotoa hapa toa mchana wa leo mpka saa hizi...
Naomba unijib hilo ndugu
 
Nilikaa kimya kwa sababu maalum ili nione maswal mengi na majib mengi,ili nisije uliza maswal yaliyokwsha ulizwa,,

Kwanza nikupe heko kwa kushare nasi uzi huu maalum na muhim kabsa na kuwapa matumain vijana wengi wanaotaka kujikwamua kutoka sehem moja na kusonga mbele,,

Swali langu linatokana na mahindi mabich,,je yanafaida gan zaid tofauti mahindi yaliyokauka kibiashara? Kwa shamba ambalo lina heka nzima je panaweza kuwepo na miche mingap ya mahindi na bei naweza ikawa bei gn kwa kila muhindi mmoja ambao utakatwa?

Mwsho je kuna mbegu maalum ya mahindi ya kuchoma tofaut na haya mengine tuliyozoea ya kuvuna na kusaga? Kama ipo je inachukua miez mingap shambani? Asante kwa kila jibu ulilotoa hapa toa mchana wa leo mpka saa hizi...
Huwezi hata siku 1 kumshauri mkulima aliyelima mahindi mabichi alime mahindi makavu, anaona bora akae nyumbani apumzike. Sasa hivi ukienda ruvu hukuti watu wakilima mahindi, wanasubiri mvua zipite warudi shamba. Wengi sasa hivi wanalima mpunga.

Utamu wa pesa ya mahindi mabichi upo hapa, unapata faida kwa kila hindi 1, tena pale pale shambani. Mara ya mwisho mimi kuvuna ilikua Feb. Takwimu za haraka haraka ni kua, kila hindi niliuza shambani kwa 200 Tsh, na wastani wa pesa niliyopata kila heka ilikua na mahindi 10,500. Yani kiufupi kila heka 1 nilikua nauza na kupata 2.1 mil, na gharama zangu zooooote ni laki 4 kwa heka.

Sasa mara nyingi wajanja huku tunalima in series, unakua na mahindi ya mwezi mmoja, miezi miwili na miezi mi3 ambayo ndio inavunwa, sasa unakuta mtu anaweka mzunguka wa heka tano tano. Kila mwezi anavuna, akivuna anapanda tena, mwezi ujao kuna series nyingine ya kuvunwa hivyo hivyo.

Mbegu ni ile ile, lkn unachofanya ni kuwa na wateja kabla hayajakomaa. Mbegu nzuri ni ile ya miezi mi3, lkn utavuna ikiwa na miezi miwili na wiki mbili.
 
Nakwepa sana kilimo cha mvua, yani nakiogopa kama ukoma.

Boss! Fanya utafiti makini wa soko, then ingia kilimo cha kisasa.

Katua shamba kwa trekta, piga harrow, chora terrains vizuri. Funga water pump, vuta mabomba, unganisha sprinklers, mwagilia maji kadri ya mahitaji ya shamba. Tumia mbegu bora, tumia mbolea za kisasa sulfate, urea, NKP, DAP... fata proticals zote.

Kilimo kikikupiga mtama njoo hapa nitukanie mamangu. Tatizo tunafanya vitu walivyofanya babu zetu 1950, na tuliona babu zetu wanakufa na shati 1 lenye viraka 50, bado na sisi tunatumia njia hizo hizo. Wazungu wanasema "You can never do the same thing, expecting different results".

Hii dunia ya technology usipoenda na wakati unaachwa nyuma.
Ahsnte mkuu,Nitajipanga mkuu na kufanyia kazi mawazo na ushauri wako......Pia tambua mimi ni mdau sana wa maada zako.....Naamini kwa uwezo wa Mungu kupitia post zako nitatosoa one day......
 
Kaka Ongera Sana Mungu aendelee kukupigania kila nikisoma thread zako uwa naumia Sana najiona nimechelewa mno natamani ata nisimame Sasa hivi nifanye hiki na kile lkn too late, mbaya Zaid umekuwa mtu WA kutu-inspire tu kwa maneno nikikufata PM ata unielekeze wapi pa kuanzi unakua mgum.
All in all kaka kubali kubeba watu wachache ili huwe mwalimu watu tujisifu kufanikiwa kupitia mgongo wako.
Du aisii kwa maelezo yote haya bado huwezi kupata kitu cha kufanya, hata ukianzishiwa hutaweza ku - manage. bado unaendelea kulalamika tu... kweli mlalamikaji anaweza kulalamika hata ufanye nn. so sad!
 
I read and write a lot my boss. Nikikwambia kitu huwezi kuamini, mpk sasa tangu mwaka uanze nimeshasoma vitabu 37. So, ktk huku kusoma soma nimejikuta najua sana kuandika na kupangilia maandishi.

Again nimeshawahi kuongea as a motivational speaker kwenye makongamano kama ma4 hapa Bongo. The feedback from audience was beyond my expectations.
2de0e5e83751e17c39d1daea4e4790bd.jpg
Aisee hongera sana mwana, Keep it up, then unihesabu katika group la wanafunzi wako wa mwanzo endapo darasa la FRX likikamilika.
 
mkuu kama hutojali naomba nisaidie softcopies au majina ya hivyo vitabu 37 au baadhi yake ambavyo umeweza kuvisoma.niweze kuvitafuta...
Kusoma soft copy nilishaga shindwa boss wangu, so nimekubali kuingia gharama za kununua vitabu kila nipatapi muda.
FB_IMG_1481057529863.jpeg
FB_IMG_1481058425920.jpeg
2017-01-20+19.57.jpg
Insta-image-68.jpeg
hiki 48 lawsa of power ukigoogle unapata pdf yake
Insta-image-44.jpeg
 
Mimi penda sana hii jibu, haijalishi changamoto nitakazo pitia, kilimo ni ndoto yangu kubwa kuliko means yoyote ya production in my life
 
mr ontario we unafkir n nini hasa kikubwa behind ur success
Man!! My hustle is real since day 1. Niliosoma nao wanajua boss. Na hata leo nikisema niingie kwenye kiwanda cha kufanya refinery ya mafuta naeza choma kiwanda chote, maana hata sikumbuki chuo nilikua nasoma nini.

Pia kuna nguvu kubwa sana katika vitabu. These things look average, but they're mightier than you'd think.
 
Hahaa hahaa - swali hili liko tricky sana.

Mimi napenda Kilimo kwasababu kinaonekana, kina make sense hata ukimwambia mtu na pia usimuone mtu kama rais mstaafu Dr. J. Kikwete anatoka nyumbani kwake anaenda mashambani kupiga picha na mahindi afu anapost Twitter, kuna raha yake aisee. Yani there's that feeling you get, kwamba ili watu wale inabidi wewe ulime, yani kuna kitu fulani sijui kama unanifeel.

Kuhusu poultry nafanya kwasababu ni passion, kifaranga unakibreed kutoka Day Old chick hadi anakua mkubwa. Afu watu wote wanajua Ontario ni mtu wa poultry, na network yangu kubwa nimeshaijenga upande huo so lazima nikomae.

Lkn ukija kwenye Forex, kama leo nikifilisika kila kitu nikabaki na laki 3, yotr naingia nayo kwenye forex. Nina uhakika baada ya mwezi nina mil 2 mkononi, kitu ambacho si kuku wala shamba vinaweza kunipa hiyo reward. So naeza kusema, if I were to start again from zero I'd go for forex.
Mkuu naomba ufafanuzi hapo kwenye forex,nami nipate kitu.
 
Huwezi hata siku 1 kumshauri mkulima aliyelima mahindi mabichi alime mahindi makavu, anaona bora akae nyumbani apumzike. Sasa hivi ukienda ruvu hukuti watu wakilima mahindi, wanasubiri mvua zipite warudi shamba. Wengi sasa hivi wanalima mpunga.

Utamu wa pesa ya mahindi mabichi upo hapa, unapata faida kwa kila hindi 1, tena pale pale shambani. Mara ya mwisho mimi kuvuna ilikua Feb. Takwimu za haraka haraka ni kua, kila hindi niliuza shambani kwa 200 Tsh, na wastani wa pesa niliyopata kila heka ilikua na mahindi 10,500. Yani kiufupi kila heka 1 nilikua nauza na kupata 2.1 mil, na gharama zangu zooooote ni laki 4 kwa heka.

Sasa mara nyingi wajanja huku tunalima in series, unakua na mahindi ya mwezi mmoja, miezi miwili na miezi mi3 ambayo ndio inavunwa, sasa unakuta mtu anaweka mzunguka wa heka tano tano. Kila mwezi anavuna, akivuna anapanda tena, mwezi ujao kuna series nyingine ya kuvunwa hivyo hivyo.

Mbegu ni ile ile, lkn unachofanya ni kuwa na wateja kabla hayajakomaa. Mbegu nzuri ni ile ya miezi mi3, lkn utavuna ikiwa na miezi miwili na wiki mbili.
Bas imetosha siulizi tena,,,niachie kazi ipo siku nitakupa mrejesho
 
Back
Top Bottom